MyGov APRILI 4, 2023 Flipbook PDF


61 downloads 122 Views 3MB Size

Story Transcript

TEKNOLOJIA

UTAMADUNI

AFYA

Unganeni nasi kufadhili miradi ya dijitali, serikali yahimiza wawekezaji wa kibinafsi

Baraza lashauri Busia kukumbatia teknolojia kupunguza visa vya Malaria

UK 3

UK 5

Utafiti wa hivi punde wa chembechembe za DNA warejesha turathi ya watu wa

APRILI 4, 2023

www.mygov.go.ke

TATHMINI YAKO YA WIKI

TOLEO No. 38/2022-2023

Uk 6

Serikali sasa kupunguza ada za NHIF kuvutia sekta ya jua kali Waziri wa Afya Dkt Susan Nakhumicha anasema serikali itapunguza ada za kila mwezi zinazochangwa kwa Bima ya Taifa ya Afya (NHIF) kutoka Sh500 hadi Sh200 NA EKUWAM SILVESTER (KNA)

Wakenya katika sekta isiyo rasmi watapata huduma bora za matibabu baada ya Serikali kutangaza kupunguza ada wanazochanga kila mwezi kwa Hazina ya Bima ya Taifa ya Afya kutoka Sh500 hadi Sh200. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya Kifua Kikuu Ulimwenguni mjini Eldoret, Waziri wa Afya Dkt Susan Nakhumicha Wafula alisema kwamba serikali imeweka mipango ya kutekeleza Afya Bora Mashinani na kutia nguvu uwezo wa Wahudumu wa Kujitolea wa Afya ambao ni muhimu katika kuinua upatikanaji wa huduma endelevu za afya katika kiwango cha mashinani. Wahudumu hao wa kujitolea, akasema Waziri, watabadilika kutoka kuwa

200

Kiasi cha shilingi za Kenya wanachama wa NHIF watalipa

wakujitolea na kuwa Wahudumu wa Afya katika Jamii ambao watakuwa wakilipwa marupurupu kila mwezi. Waziri alihimiza umma kujisajili na NHIF ili kupata huduma nafuu za afya kupitia mpango wa Afya kwa Wote (UHC) unaolenga kuhakikisha kila Mkenya anapata huduma bora na endelevu za afya kote nchini. “ Wakati mtu anasajiliwa na NHIF, inamaanisha inamhudumia yeye na watu wote wa familia wakiwemo watoto,” alisema Nakhumicha. Alisema kwamba serikali ilikumbwa na changamoto ilipozindua usajili wa NHIF kwa kuwa watu wengi hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa. Alihimiza Gavana wa Uasin Gishu Jonathan Chelilim kusaidia wakazi

Serikali ya Kitaifa itaweka ekari milioni tatu za ardhi chini ya kilimo cha unyunyuzaji kufikia 2030. Ili kuafikia haya, Waziri wa Maji na Unyunyuzaji Bi Alice Wahome alisema kwamba tayari miradi kadhaa inatekelezwa katika sehemu tofauti za nchi

Mwaka ambapo serikali inaazimia kupanda miti kwenye ekari milioni tatu za ardhi kupitia kilimo cha unyunyizaji

70 Wahalifu walionaswa katika jiji la Nairobi na eneo la Kati kwa kuendesha biashara ya kuuza dawa

1200

Wakati wa usajili, basi mwanachama na familia yake wakiwe watoto wanajumuishwa – Nakhumicha

ENDELEA UK 2

kupiga jeki kilimo cha unyunyuzaji kwa lengo la kuafikia utoshelevu wa chakula, Bi Wahome alisema kwam ba katika miaka mitano ijayo, ekari 1.8 za ardhi zitakuwa zimewekwa chini ya unyunyuzaji hasa kwa kulenga wakulima wa mashamba madogo. Waziri alizungumza

200 Kiasi kipya cha pesa ambacho NHIF itatoza ili kuongeza idadi ya walio na bima hiyo ya kitaifa

2030

Vyeti vya mashamba ambavyo wakazi wa Maweni, Mtwapa walipewa na Waziri wa Ardhi, Ujenzi na Nyumba Zachariah Njeru Waziri wa Afya Susan Nakhumicha akihutubu wakati wa Siku ya Kuadhimisha Kifua Kikuu Duniani Ijumaa Machi 24, 2023, Huruma Grounds, Eldoret, kaunti Uasin Gishu.

Serikali kuweka ekari 3M za ardhi chini ya unyunyuzaji NA BERNARD MUNYAO (KNA)

Takwimu za Wiki

alipozindua miradi ya unyunyuzaji ya kijamii katika kaunti ya Murang’a . mitadi hiyo inajumuisha Nyanjigi katika kaunti ndogo ya Kangema , Maragua Ridge katika kaunti ndogo ua Murang’a Kusini na Boboti Kiamande katika kaunti ndogo ya Kandara, ambayo

imegharimu serikali Sh500 milioni. Miradi hiyo inanuiwa kutoa maji ya kusaidia wakulima wadogo 2000 kushiriki kilimo cha unyunyuzaji . Alisisitiza umuhimu wa kusaidia unyunyuzaji mashamba na akaongeza kwamba nchi kwa wakati huu nchi iko na

uhaba wa magunia 10 milioni ya mahindi. “Ili serikali iweze kuafikia utoshelevu wa chakula, kuna haja ya kusaidia kilimo cha unyunyuzaji. Hii itahitaji ushirikiano kati ya serikali, jamii na sekta ya kibinafsi,”

ENDELEA UK 2

350,000 Idadi ya watu watakaonufaika na mradi mkubwa wa maji katika kaunti ya Kirinyaga

1,910 Idadi ya watu waliopatikana wameambukizwa na ugonjwa wa kifua kikuu Uasin Gishu mwaka jana kulingana na gavana wa eneo hilo

ENDELEA UK 1

kupata vyeti vya kuzaliwa ili waweze kusajiliwa na NHIF pamoja na watoto wao. Wakati huo huo, Waziri alilalamika kuhusu watu wanaotumia vibaya wagonjwa kwa kuongeza ada za matibabu katika vituo kadhaa vya afya akisema kwamba Wizara ya Afya haitakubali tabia hiyo mbaya. Katika hotuba yake, Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi alisema kwamba serikali inaendelea kushughulikia maslahi ya Wahudumu wa Afya wa Jamii katika juhudi za kubadilisha afya ya msingi mashinani. “Serikali imechukua suala hilo la Wahudumu wa Afya katika Jamii na jinsi wanaweza kupatiwa motisha. Tuko na wafanyakazi wapatao 90,000 kote nchini. Kuanzia Aprili, inaweka mipango ya kutenga pesa katika bajeti ili wafanyakazi hao waweze kulipwa marupurupu,” alisema. Alihimiza watoaji wa huduma za afya kuwazia kuandika maelezo ya dawa kwa lugha ya Kiswahili ili mwananchi wa kawaida aweze kufahamu maa-

Mkuu wa Mawaziri, Musalia Mudavadi akihutubu wakati wa siku ya kimataifa ya Kifua Kikuu Machi 24, 2023, Huruma Grounds, Eldoret, Uasin Gishu.

gizo ya jinsi ya kutumia dawa anazopatiwa. “ Njia ya haraka ya kuponya watu ni mawasiliano kwanza, iwapo tunataka kusaidia Wakenya wenzetu kuelewa tunachofanya, unapoandikia mgonjwa dawa, usiandike kwa kiingereza pekee, pia andika meza tembe tatu mara mbili kwa siku, hata tunaweza kuandika hilo kwa lugha zetu za mama,” aliongeza.

WA NA K

H IC

WA

UM

IVU KO

I

M AU

WA KU

ND HI

KIKOHOZI

KU S

Serikali sasa kupunguza ada za NHIF kuvutia sekta ya jua kali

ON

M

2 | MATANGAZO

H O MA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”

KOMESHA

MUA

KU

DALILI APRILI 4, 2023

PU

Serikali kuweka ekari 3M za ardhi chini ya unyunyuzaji kufikia 2030 ENDELEA KUTOKA UK 1

aliongeza,. Wahome alisema kwamba Wizara ya Maji pia itachimba visima kusaidia maji yanayotoka kwa mito na mabwawa. Alieleza kuwa mradi wa maji wa Nyanjigi ulioko Kangema, utasaidia wakulima 500 na wizara itajitahidi kutoa ufadhili kusambaza maji kwa wakulima wengine 500. “Mradi wa Nyanjigi ulifadhiliwa na jamii na serikali. Tumekuja kutoa muundo msingi unaoelekeza usambazaji wa maji mashambani,” alisema. “Mradi huo utasaidia kilimo cha matunda na mboga na unakadiriwa kwamba kila mwaka, watakaonufaika wataweza kupata zaidi ya Sh100 milioni,” aliongeza. Waziri alisema kwamba mazungumzo na mashirika ya kibinafsi na kimataifa kufadhili miradi tofauti ya unyunyuzaji inaendelea. “Galana-Kulalu utabadilishwa kuwa unyunyuzaji wa kibiashara na kwa kuwa serikali haitahitajika kutoa ufadhili, tunakaribisha mashirika ya kimataifa kushirikiana nayo kufadhili miradi hii,” aliongeza. Wakati huo huo, waziri alihimiza wakulima kuunfa

Waziri wa Maji Alice Wahome aonyeshwa kwenye ramani mradi wa unyunyiziaji maji wa Nyanjigi. Picha na Bernard Munyao

makundi na kuanza miradi ya unyunyuzaji akisema ni rahisi serikali kusaidia miradi ya kijamii kwa miundomsingi unaohitajika kama mabomba.. Gavana wa Murang’a Irungu Kang’ata alisema kwamba serikali yake itasaidia miradi hiyo iliyoanzishwa na serikali ya kitaifa kwa kuhakikisha inatun-

zwa vyema. “Maji ni muhimu kwa kupata chakula cha kutosha na kama serikali ya kaunti ya Murang’a tutaendeleza miradi hii,” aliongeza. Mbunge wa Kangema Peter Kihungi alisema miradi hiyo iatahakikisha wakazi wanaendelea kupata chakula.

MINISTRY OF LANDS, PUBLIC WORKS, HOUSING AND URBAN DEVELOPMENT STATE DEPARTMENT FOR HOUSING AND URBAN DEVELOPMENT

TENDER NOTICE

TENDER ADVERTISEMENT The Government of Kenya through the Ministry of Lands, Public Works, Housing and Urban Development, State Department for Housing and Urban Development, intends to procure suitably qualified service provider(s) for the following services: NO.

NAME OF PROJECT

TENDER NO.

1.

Provision of Underwriting for Group Mortgage Protection Insurance Cover for various Housing Estates

MLPWHUD/SDHUD/ CSHS/142/2022-2023

Provision of Underwriting for Group Fire and Related Perils Insurance Cover for various Housing Estates

MLPWHUD/SDHUD/ CSHS/143/2022-2023

2.

1.

BID SECURITY 500,000.00

500,000.00

CATEGORY

S/NO

Tender No.

Tender Description

Eligibility

1.

KICC/14/2022-2023

Supply, Installation, Testing and Commissioning of Electrical Installations Works for the Proposed Refurbishment of Tsavo Ballroom at KICC

ALL Bidders

2.

KICC/15/2022-2023

Proposed Supply, Delivery, Installation, Testing and Commissioning of Air Conditioning Systems, Mechanical Ventilation Works, Plumbing, Drainage, Sanitary Fittings, Fire Protection Services and Associated Works for Tsavo Ballroom at KICC

ALL Bidders

3.

KICC/16/2022-2023

Supply, Installation, Testing and Commissioning of Data and Voice Installations Works for the Proposed Refurbishment of Tsavo Ballroom at KICC

ALL Bidders

4.

KICC/17/2022-2023

Proposed Refurbishment Works to Existing Tsavo Ballroom at the Kenyatta International Convention Centre (KICC)

ALL Bidders

5.

KICC/18/2022-2023

Proposed Refurbishment and Upgrade Works of the Existing Fountains at the KICC

ALL Bidders

Open Tender

Open Tender

Interested bidders may access the tender document from the State Department’s website www.housingandurban.go.ke or the Public Procurement Information Portal (PPIP) https://tenders.go.ke free of charge. Bidders may download the tender documents from the website and are required to provide their details by registering with the Supply Chain Management Office, located at Ardhi house 6th floor Wing B, 1st Ngong Avenue, during normal working hours. All enquiries and clarifications should be sent via email to: [email protected]

2.

Tenderers shall provide Tender Security inform of a Bank Guarantee in the amount Five Hundred Thousand Shillings (Kshs. 500,000.00).

3.

Completed tender documents enclosed in plain sealed envelopes and clearly marked with the Tender Number and Tender Description shall be delivered to the address below or be deposited in the Tender Box located at 6th Floor, Ardhi House so as to be received on or before 17th April, 2023 at 11:00am. Bulky documents shall be delivered and registered at the office of the Head Supply Chain Management Services on 6th Floor, Wing B, Ardhi House, and 1st Ngong Avenue.

4.

Tenders will be opened immediately thereafter at State Department for Housing and Urban Development Boardroom, located on 6thFloor wing “B” - Ardhi House, 1stNgong Avenue off Ngong Road, in the presence of tenderers or their representatives who choose to attend.

5.

Late tenders shall be rejected.

6.

The Procuring Entity reserves the right to accept or reject all tenders received before award.

Head Supply Chain Management Services For: The Principal Secretary State Department for Housing and Urban Development. P.O. Box 30119 -00100 NAIROBI

The Kenyatta International Convention Centre invites sealed bids from eligible candidates to tender for the provision of the following services:

A complete set of tender documents may be downloaded from PPIP Portal ( https://tenders.go.ke) Or the Corporation’s website (www.kicc.co.ke) for free. Duly completed tender document in two (2) sets of copies in plain sealed envelopes marked “Application for Tender No..........................Tender Description……………’’should be addressed to the: Chief Executive Officer The Kenyatta International Convention Centre P.O. Box 30746-00100 NAIROBI OR be deposited in the tender box situated at KICC 4th floor so as to reach on or before Wednesday 26th April, 2023 at 10.00a.m. East Africa Time Tender documents will be opened thereafter in the presence of the tenderers or their representatives who choose to attend at KICC Taifa Hall on the Lower Ground as stated above.

CHIEF EXECUTIVE OFFICER, THE KENYATTA INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE.

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

UZUIAJI

KOMESHA

APRILI 4, 2023

MATANGAZO | 3

Unganeni nasi kufadhili miradi ya dijitali, serikali yaomba wawekezaji NA FATUMA SAID (KNA)

W

tosheleza kwa ICT.

aziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi Dijitali Eliud Owalo ameomba sekta ya kibinafsi kuungana na serikali kuwekeza katika miradi ya kupiga jeki dijitali nchini. Owalo alisema kwamba kuwekeza katika miradi kama Konza Technopolis kutasaidia Wakenya kunufaika na kutimiza malengo yao yanayohusiana na Tekinolojia ya Habari. Aidha alisisitiza umuhimu wa uhusiano bora wa kikazi kati ya serikali na sekta ya kibinafsi, na akaiomba kuweka pesa zake kusaidia serikali kuharakisha sera zake na kutekeleza shughuli zake za dijitali. Alisema kwamba serikali itafanya kila iwezalo kufanikisha ushirikiano na wawekezaji ili kutimiza ndoto ya Kenya kuji-

wadau muhimu kuhusu mikakati ya kukumbatia ICT na kutambua nafasi katika sekta hiyo,” alisema. Waziri alisema kwamba Kenya imepiga hatua katika utoaji wa huduma ambapo huduma 5,7000 zimewekwa katika tovuti ya e-Citizen huku zinazotiliwa mkazo zikiwa huduma za Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru Kenya KRA, huduma za afya, uchumi wa burudani, masomo dijitaji na majukwaa ya biashara dijitali. Vile vile, Waziri alisema kwamba ujasiriamali ni sehemu nyingine ya kukumbatiwa katika kufanya uchumi kuwa wa dijitali, na akaongeza kuwa juhudi zinaendelea kutumia tekinolojia kufanya nchi kuwa inayotengeneza program za kompyuta. “Tumeshirikiana na sekta ya kibinafsi ili katika muda sana, tutatengeneza simu za kisasa za mkono kwa

Akizungumza katika mkutano wa mashauriano kati ya Kamati ya ICT ya Baraza la Magavana, Kamati ya Seneti kuhusu ICT na Washirika katika sekta hiyo mjini Mombasa, Owalo alisema kwamba serikali iko na miradi ya kutosha ya majaribio inayohitaji kufadhiliwa ili iweze kutumika. “Uhusiano mwema utatuwezesha kutimiza jukumu la kufanya nchi kuwa ya dijitali. Ajenda ya mkutano huu ni kufanikisha mazungumzo kati ya viwango viwili vya serikali na

Hivi karibuni tunaanza kutengeneza simu za rununu nchini Kenya,”Owalo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi Dijitali Eliud Owalo ahutubu wakati wa mkutano wa baraza la magavana na kamati za bunge na seneti katika Pride Inn Hotel, Mombasa. PICHA: ANDREW HINGA

soko la Kenya kwa bei ya Sh4,000,” alisema. Owalo aliongeza kuwa hivi karibuni serikali itafungua chuo kikuu ambacho kitatoa wahitimu wa tekinolojia ambao watakidhi mahitaji. Mwenyekiti wa Kamati ya ICT ya Baraza la Magavana Wisley Rotich alisema

kwamba Wizara ya Habari, Mawasiliano na Uchumi Dijitali, kwa ushirikiano na Serikali za Kaunti, itaharakisha uwekaji wa kilomita 100,000 za nyaya za intaneti kuhakikisha kuna intaneti kote nchini. Rotich alisema kwamba kaunti zimejitolea kushirikiana kwa karibu na Serikali ya Kitaifa na

wawekezaji wa kibinafsi kutoka rasilmali zinazohitajika. Kulingana na Rotich, ambaye ni Gavana wa Elgeyo Marakwet, serikali za kaunti zimeshirikiana na wizara kuanzisha maeneo mawili ya WIFI katika kila kaunti kufikia Juni 2023 kwa kulenga vituo vya mabasi na masoko.

Kenya National Highways Authority Quality Highways, Better Connections

TENDER NOTICE RETENDERS FOR ROAD MAINTENANCE WORKS FOR THE 3rd & 4th QUARTER OF FINANCIAL YEAR 2022-2023

INVITATION TO TENDER The National Museums of Kenya (NMK) invites bids from interested and reputable suppliers for the following tenders:S/No

TENDER NO.

ITEM DESCRIPTION

TARGET GROUP

1.

NMK/T/15/WJR-IBAE/2022-23

Construction of Proposed Interpretation Centre, Boundary Wall, Ablution Block and Educational Hall at Wajir Museum in Wajir County

ALL

2.

NMK/T/16/ESB/2022-2023

Construction of Exhibition, Signage and Ticket booth at Fort Jesus in Mombasa County

ALL

3.

NMK/T/17/APS/2022-2023

Supply, Delivery and Automation of Payment Solution at Fort Jesus in Mombasa County

ALL

The Kenya National Highways Authority (KeNHA) is a State Corporation established under the Kenya Roads Act, 2007 with the responsibility for Management, Development, Rehabilitation and Maintenance of National Roads. The Authority hereby invites bids from eligible contractors for retendered Maintenance works under third and fourth (3rd & 4th) Quarter for the FY 2022-2023 to be funded through the Road Maintenance Levy Fund (RMLF). There shall be a mandatory pre-tender site visits as specified in the detailed tender notice uploaded onto the KeNHA website. A complete set of tender documents may be obtained by interested tenderers from the Kenya National Highways Authority website: www.kenha.co.ke or PPIP portal: www.tenders.go.ke free of charge. Bidders are encouraged to download tender documents to minimise physical visits to the respective KeNHA Regional Offices. The tender closing date will be on Thursday, 27th April, 2023 at 11.00 A.M.

Interested and eligible Tenderers may obtain detailed information and inspect the tender documents at the Office of the Chief Procurement Officer, NMK Headquarters on Museum Hill during normal working hours Monday – Friday 9.00 am – 4:00 pm. Alternatively, the tender documents may be downloaded free of charge from the NMK Website – www.museums.or.ke A complete set of tender documents may also be obtained upon payment of a non-refundable fee of Kshs. 1,000 in cash payable at the Cash Office – Heritage Centre. Completed tender document shall be sealed and marked as instructed in the tender document, addressed to:Director General, National Museums of Kenya, P.O.Box 40658-00100, NAIROBI.

All interested bidders are required to continually check the Kenya National Highways Authority website: www. kenha.co.ke for any tender addenda or clarifications that may arise before submission date.

and deposited in the Tender Box located at the Earth Sciences Building reception area on or before 20th April, 2023 at 12:00 Noon.

Deputy Director, Supply Chain Management For: DIRECTOR GENERAL

Tenders will be opened immediately thereafter in the Old Board Room in the presence of the Tenderers or their representatives who choose to attend. For all your queries email us on: [email protected],

@KeNHAKenya

Customer Care : 0700 423 606, #Road Safety Starts With You

Website : www.kenha.co.ke ISO 9001:2015 Certified

Kenya National Highways Authority

DIRECTOR GENERAL

H IC

WA

UM

WA NA K

IVU KO

I

M AU

ND HI

WA KU

KIKOHOZI

H O MA

KU S

4 | MATANGAZO

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”

ON

M

KOMESHA

MUA

KU

DALILI APRILI 4, 2023

PU

WIZARA YA MADINI, UCHUMI WA BAHARI &MASUALA YA BAHARI

IDARA YA MADINI OMBI LA KUONYESHA NIA (EOI) KUHUSU UFUFUZI WA UCHIMBAJI FLOURSPAR KATIKA KIMWARER, KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET, KENYA NA YA TENDA. MMBE & MA/SDM/EOI/009/2022-2023 Usuli

Wizara ya Madini, Uchumi wa Blahari na Masuala ya Bahari, Idara ya Madini (baadaye “Wizara”), ina jukumu la kudhibiti na kukuza maendeleo ya madini nchini Kenya. Sekta ya Madini ina jukumu kubwa katika uchumi wa kijamii wa Kenya maendeleo. Idara inakaribisha maoni kutoka kwa wazabuni waliohitimu kuanzisha na kuanzisha upya shughuli za mgodi katika Mgodi wa Fluorspar ulioko Kimwarer, Kaunti ya Elgeiyo Marakwet, Jamhuri ya Kenya chini ya mpango wa Ushirikiano wa Sekta ya Umma na Sekta ya Kibinafsi. Mgodi huo utatumia amana za madini ya fluorite kwa kutumia miundombinu ya mradi iliyopo ikiwa ni pamoja na kiwanda cha usindikaji na vifaa vya uchimbaji madini, kutumia vyombo vya usafiri vilivyopo na kusafirisha bidhaa hiyo hadi Mombasa kwa mauzo ya nje hadi katika masoko ya kimataifa. Inakadiriwa kuwa kwa wastani wa uzalishaji wa fluorspar makini wa tpa 74,000, (tpa 35,000 hadi tpa 129,000) katika maisha ya mgodi, mgodi unaweza kuwa katika uzalishaji kwa hadi miaka 40. Inatarajiwa kuwa mradi huu utafaidi wakazi wa Kaunti ya Elgeyo Marakwet kwa kuboresha maisha ya jamii zinazofaidika, kupitia kubuni nafasi za ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja. Malengo ya mradi: • Kufufua shughuli za uchimbaji madini katika Kimwarer na kutumia amana za fluorspar ndani yake; • Kutumia na kutumia vyema vifaa vilivyoachwa na mwendeshaji wa mgodi wa fluorspar aliyeachwa; • Kutoa chanzo cha riziki kwa wakaazi wa eneo la Kimwarer na Kaunti ya Elgeyo Marakwet kwa jumla; • Kuboresha hali ya kiuchumi ya kijamii ya jumuiya zinazofaidika; na • Kuongeza mapato kwa ngazi za kaunti na kitaifa za serikali.

Eneo la Mali na Maelezo Mali ya Kimwarer iko ndani ya Bonde la Kerio, karibu na kitongoji cha Kimwarer chenye wakazi wa takriban 1,500 na takriban KM 300 kaskazini-magharibi mwa Nairobi. Mali iko takriban kilomita 70 (mstari wa moja kwa moja) kusini-mashariki mwa Eldoret, jiji la takriban watu 500,000 wenye huduma za hewa za kawaida za kibiashara kwenda na kutoka Nairobi. Eneo la mali lina unafuu wa chini hadi wastani, kuanzia 25m hadi 100m. Topografia ya eneo hilo inajumuisha bonde pana lililopakana na miinuko (maporomoko ya miinuko) kwenye mipaka yake ya mashariki na magharibi, inayoenea katika ardhi tambarare kiasi na uoto mdogo hadi wa wastani.

Miundombinu iliyopo

Miundombinu ya sasa ya tovuti inajumuisha: • Kiwanda cha usindikaji; • Vifaa vya kuhifadhi mabaki; • Ghala na maduka; • Jarida la Vilipuzi; • Yadi ya matengenezo ya mgodi na karakana kuu; • Jenereta za dizeli; • Sehemu ya ofisi • Maabara ya metallurgiska; • Makazi ya wafanyakazi na kantini ya wafanyakazi na jumuiya • Shule ya msingi na kituo cha afya • Kituo cha polisi • Mashine mbalimbali – compressor, mashine za kulehemu n.k

Jiolojia na Madini

Malipo ya fluorspar ya Kerio Valley yanapatikana ndani ya eneo la Bonde la Ufa, linaloenea kutoka Zimbabwe hadi Ethiopia katika Afrika Mashariki. Kanda zenye madini ziko ndani ya kanda za kaskazini, kaskazini-mashariki na kaskazini-magharibi zinazovuma za ukataji miti zenye mabadiliko makali ya halijoto ya maji. Miamba waandaji ni vitengo vinavyopishana vya umri wa Precambrian vya kuzamisha kwa kasi hadi chini ya mlalo wa quartzofeldspathic gneiss, marumaru, biotite gneiss na quartzite. Vipimo vya uso vya vitengo vyenye madini, vilivyounganishwa na miamba ya meta-sedimentary, vinaonyesha kuwa vinaweza kuwakilisha mfuatano uliokunjwa isoclinal. Kwa ujumla, athari za uso wa kanda zenye madini zinapatana na mtaro wa topografia, na katika maeneo, yenye maeneo ya hali ya chini ya topografia, na ukanda wa mabadiliko/madini huanzia 50m hadi 140m kwa upana.

Rasilimali za Madini

Rasilimali za Madini huko Kimwarer zimekadiriwa katika daraja la uondoaji wa madini la 10% CaF2 na upana wa chini wa mlalo wa 5m wa madini. Katika daraja hili la mwisho, Rasilimali za Madini Zilizoonyeshwa ni takriban Mt 21.9 kwa wastani wa daraja la 31.4% CaF2. Aidha, kanda mbalimbali zenye madini zina baadhi ya Mlima 6.4 za Rasilimali za Madini Zilizoidhinishwa kwa wastani wa daraja la 31.1% CaF2. Kutoka kwa masomo ya awali mkusanyiko wa fluorspar wa 97% wa daraja la CaF2 katika

uokoaji wa 99.8% inawezekana, kulingana na madini ya sampuli. CaCO3 ndio kichafuzi kikuu katika mkusanyiko. Katika daraja la 97% la CaF2, kiwango cha CaCO3 kitakuwa 1.9%, ambayo ni mara mbili ya kikomo kinachokubalika cha 1%. Vichafu vingine vyote viko chini ya kiwango cha juu.

Maelezo ya Huduma

Serikali inatafuta mwekezaji ambaye atafadhili, kufufua na kuendesha Mgodi wa Fluorspar ulio katika eneo la Kimwarer katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet. Kunaweza kuwa na haja ya mwekezaji kukarabati na kutunza mitambo na mali nyingine zilizoachwa na iliyokuwa kampuni ya uchimbaji madini. Inatarajiwa kwamba mzabuni aliyefaulu, miongoni mwa wengine, atafanya tafiti zifuatazo kabla ya kuanza shughuli: • Kuboresha rasilimali zilizoangaziwa kwa rasilimali zilizoainishwa kwa kuchimba visima; • Fanya utafiti wa kijioteknolojia kwa mashimo yaliyo wazi (4) ili kuthibitisha pembe za mteremko wa shimo na kupunguza uwiano wa utepe; • Fanya kazi zaidi ya kuboresha miundo ya shimo wazi ili kupunguza tofauti ya jumla ya nyenzo kati ya ganda la shimo la Whittle na miundo ya mwisho ya shimo; • Fanya upangaji wa kina wa mgodi ili kupanga uchanganyaji mpango wa kukidhi kiwango cha chini cha daraja la kichwa cha 35% CaF2 na mahitaji ya uwezo wa kusaga kinu; • Fanya kazi zaidi ya majaribio ya metallurgiska ili kuthibitisha urejeshaji wa mchakato wa 70% na vipimo vya fluorspar ya daraja la asidi vinaweza kufikiwa kwa usindikaji. nyenzo za daraja la chini kuliko darasa za uzalishaji wa kihistoria; na • Fanya utafiti wa chaguo la eneo la kutupa miamba na usanifu wa dampo kwa makadirio ya tani za taka kutoka kwenye mashimo yaliyo wazi ili kupunguza umbali wa kuzoa na kuthibitisha uthabiti wa dampo. Kustahiki na sifa za wazabuni • Wasifu wa kampuni; • Uwezo wa kiufundi na kifedha katika uchimbaji madini na usindikaji wa madini; • Uthibitisho wa uzoefu katika uuzaji wa madini na bidhaa zinazohusiana na madini; • Muhtasari mfupi wa ramani ya uendeshaji wa mgodi wa fluorspar; • Onyesho la wazi la manufaa yanayopendekezwa kutolewa kwa Jumuiya na Serikali ya Kitaifa; • Maonyesho ya wazi ya uhifadhi mzuri wa mazingira; • Onyesho la wazi la Uwajibikaji madhubuti wa Shirika kwa Jamii; • Nakala ya cheti cha usajili wa biashara; • Nakala ya PIN na vyeti vya kufuata Kodi; • Nakala ya CR 12 au toleo linalolingana nayo. Orodha fupi ya wazabuni itazingatia vigezo vilivyo hapo juu. Mchakato wa tathmini ya EOI utajumuisha utendakazi/tathmini ya kiufundi. Hakuna tathmini ya bei itafanywa katika hatua hii.

dhamana au viingilio kwa mtoa huduma kuhusu EOI, iwe kwa kuzingatia usahihi, ukamilifu au vinginevyo na Wizara haitakuwa na dhima yoyote kuhusu mtoa huduma au mhusika mwingine yeyote kuhusiana na hilo.

Uwasilishaji wa EOI: Makampuni yanayostahiki ni kuwasilisha yao yaliyoandikwa wazi “OMBI LA KUONYESHA NIA (EOI) YA KUFUFUA UCHIMBAJI FLUORSPAR KATIKA KIMWARER, KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET, KENYA ZABUNI NA. MMBE & MA/ SDM/EOI/009/2022-2023” kwa nakala ngumu kuwekwa kwenye Sanduku la Zabuni liko kwenye Ghorofa ya 2, Jengo la Ujenzi ili lipokewe kabla ya Jumatano, tarehe 26 Aprili, 2023 saa 10:00 asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki. Bahasha inapaswa kutumwa wazi kwa: Katibu Idara ya Uchimbaji Madini Wizara ya Madini, Uchumi wa Bahari na Masuala ya Bahari P.O. Box 30009-00100 Nairobi. Ufunguzi wa EOI: Hati za EOI zitafunguliwa mara baada ya hapo mbele ya wawakilishi wa wazabuni wanaochagua kuhudhuria katika Jengo la Works, Orofa ya 3, Chumba cha Mikutano cha Wizara. Ni makampuni yaliyofanikiwa tu yataalikwa kwenye hatua inayofuata ya Ombi la Pendekezo (RFP) la Ufufuaji wa Uchimbaji wa Fluorspar huko Kimwarer katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet, Kenya. Zabuni zilizochelewa hazitakubaliwa. EOI hii pia inapatikana katika Tovuti ya Zabuni ya Serikali ya Kenya www.tenders.go.ke. Na katika tovuti ya Wizara www.mibema.go.ke Wizara inahifadhi haki ya kukubali au kukataa maombi yoyote au yote.

KIAMBATISHO A Uwezo

Kigezo

Mambo Muhimu ya Kigezo

Uzoefu

Mzabuni ana uzoefu katika utafutaji, ukuzaji wa migodi, uchimbaji madini na utafiti unaohusiana

Uzoefu wa zaidi ya miaka 10

20

Uzoefu wa kati ya miaka 5-10

10

Uzoefu wa kazi wa miaka 3-5

7

Chini ya uzoefu wa kazi wa miaka 3

3

Marejeleo ya Kazi Iliyotangulia

Njia ya Mawasiliano Hati zote zinazowasilishwa kwa kujibu Onyesho hili la Kuvutiwa lazima ziwe katika Kiingereza. Gharama ya Kuonyesha Maslahi Kampuni zote zinatarajiwa kujifahamisha kikamilifu na masharti, mahitaji na vipimo vya EOI hii kabla ya kuwasilisha majibu. Kila kampuni inachukua hatari zote za kujitolea kwa rasilimali na gharama, za moja kwa moja au zisizo za moja kwa moja, za maandalizi ya EOI na ushiriki katika mchakato wa EOI. Wizara haiwajibiki moja kwa moja au kwa namna nyingine kwa gharama zozote zinazotumika na Makampuni. Usahihi wa Majibu Waombaji wote lazima wathibitishe kuridhika kuhusu usahihi na uhalali wa EOI. Wizara inahifadhi Haki ya: • Kuongeza tarehe ya kufunga; • Thibitisha taarifa yoyote iliyomo kwenye jibu; • Omba suala la uthibitisho wa hati; • Kughairi au kuondoa EOI hii kwa ujumla au sehemu; na • Kutojumuisha msambazaji yeyote kwenye orodha ya wasambazaji kwenye hifadhidata iliyoidhinishwa kulingana na vigezo vya utendaji ambavyo havijafikiwa.

Kanusho EOI hii ni onyesho la maslahi pekee na si hati ya ofa. Majibu kwa hilo lazima yasichukuliwe kuwa kukubali ofa au kumaanisha kuwepo kwa mkataba kati ya wahusika. Kwa kuwasilisha EOI yake, Kampuni zitachukuliwa kuwa zimejiridhisha nazo na zimekubali Sheria na Masharti yote ya EOI hii. Wizara haitoi uwakilishi, udhamini, hakikisho,

Pointi

Hakuna uzoefu

0

Zaidi ya marejeleo 5 ya mradi

10

Marejeleo 5-5

7

Marejeleo 2

5

Marejeleo chini ya 2

3

Hakuna marejeleo

0

Taarifa ya Fedha Iliyokaguliwa kwa miaka mitatu iliyopita

10

Uwezo Kifedha

Ushahidi wa Uwezo wa Kifedha wa kutekeleza Mradi

Marejeleo ya Benki

10

Uuzaji

Uthibitisho wa uzoefu katika uuzaji wa madini na bidhaa zinazohusiana na madini

Kutoa orodha ya wateja watarajiwa

5

Uthibitisho wa miamala ya hivi karibuni kuhusiana na madini na bidhaa za madini

5

Mbinu

Muhtasari wa ramani inayopendekezwa ya utendakazi wa mgodi wa Fluorspar

Ratiba ya shughuli zinazopelekea pendekezo la mgodi kuanza kutumika

20

Sifa

Mzabuni anatarajiwa kuwa sifa katika utafutaji, uendelezaji migodi, uchimbaji madini na utafiti unaohusiana nao.

Sifa Husika

20

Sifa haihitajiki

0

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

UZUIAJI

KOMESHA

APRILI 4, 2023

MATANGAZO | 5

Baraza lahimiza Busia kutumia tekinolojia kudhibiti Malaria

KENYA UTALII COLLEGE Gateway to International Careers in Hospitality & Tourism

NA ABSALOM NAMWALO (KNA)

TENDER NOTICE

Serikali ya Kaunti ya Busia, kwa ushirikiano na Baraza la Kuangamiza Malaria, imezidisha kampeni ya kusaidia kutatua shida ya viwango vya juu vya maambukizi ya malaria, ambao umeuw watu wengi katika kaunti hiyo. Busia inaongoza nchi kwa viwango vya juu vya maambukizi ya malaria kwa asilimia 39, kiwango ambacho ni hatari na kinahitaji kushughulikiwa kwa dharura. Mshauri wa Baraza la Kuangamiza Malaria, Dkt Willis Akhwale, alitambua juhudi zilizochukuliwa kufikia sasa na serikali ya kaunti na akaahidi kuendelea kushirikiana nayo kupitia kutafuta pesa za kuendeleza ajenda ya Kuthibiti malaria. “Tunataka kuthibitisha kujitolea kwetu kikamilifu katika vita dhidi ya Malaria kwa kutafuta pesa na kutumia tekinolojia mpya katika vita dhidi ya Malaria katika kaunti ya Busia. Ni matumaini yetu kwamba kufikia mwisho wa mwaka huu wa 2023,

ANNUAL TENDER FOR SUPPLY OF GOODS, SERVICES & WORKS FOR FINANCIAL 2023-2024 Droni yanyunyiza dawa katika eneo la mbu kutaga mayai kusaidia kudhibiti Malaria.

tutaweza kuwa tumepunguza viwango vya malaria,” akasema Akhwale. Baraza ilihimiza kaunti hiyo kutumia tekinolojia ya droni ya kunyunyiza dawa maeneo ya kuzaana mbu na kuwekeza katika utafiti ili kupata mbinu mpya za kutumia katika sekta ya afya. “Baadhi ya kaunti kama Migori zimepunguza visa vya Malaria kwa kunyunyiza ndani ya nyumba. Kama Baraza tunatafuta jinsi tunaweza kuendeleza, ufanisi uliopatikana na tunaamini kwamba sekta ya kibinafsi inaweza kuwa mshirika mzuri katika kumaliza Malaria Kenya,” aliongeza. Vile vile, alisifu serikali ya kaunti kwa kuhakikisha kwamba Wahudumu wa

kujitolea wa afya wanapatiwa mafunzo ya kutambua maeneo ya mbu kuzaana, na hivyo basi kuwa katika nafasi ya kuelekeza timu iliyojukumiwa unyunyuzaji. “Droni hizo zinalenga mayai ya mbu kwa kunyunyiza kemikali za kuua mbu katika maeneo ambayo ugonjwa wa malaria unapatikana kwa wingi,” akasema Akhwale. Waziri wa Afya wa Kaunti , Beatrice Nakholi, aliyeandamana na Mkurugenzi wa Huduma za Matibabu, Dkt Janerose Ambuchi na mwenzake wa Afya ya Umma Dkt Melsa Lutomia alishukuru Baraza kwa kupatia kaunti kipaumbele katika kuthibiti Malaria kwa kutumia tekinolojia ya droni.

Kenya Utalii College invites interested, competent and eligible bidders for supply of Goods, Services & Works in financial Year 2023-2024. Details of these tenders can be accessed through link PPIP portal or KUC Website www.utalii.ac.ke Completed Tender documents in plain sealed envelopes clearly indicating the tender number and name as indicated in the List provided should be addressed to: The Principal & CEO Kenya Utalii College P O Box 31052 – 00600 Ngara NAIROBI. And should be placed in the Tender Box at the College Reception, not later than 10:00 a.m. on the closing date; Wednesday 19th April, 2023. The tenders will be opened in Madaraka Hall at 10.15 a.m. in the presence of tenderers/representatives, who may wish to attend. Kindly observe Government Directives on COVID-19 preventive Measures. Canvassing will lead to automatic disqualification. Report corruption issues to: [email protected]

PRINCIPAL & CEO KENYA UTALII COLLEGE ISO 9001:2015 Certified

NGOs CO-ORDINATION BOARD JOB OPPORTUNITIES The NGOs Co-ordination Board is a state corporation established under the NGOs Coordination Act, 1990 and is charged with the responsibility of registration, co-ordination, regulation and facilitation of Non-Governmental Organisations (NGOs) operating in Kenya. Applications are invited from qualified persons for the positions shown below:

TENDER NOTICE

JOB DESIGNATION

The Competition Authority of Kenya (the Authority) is a Statutory Agency established under the Competition Act, No. 12 of 2010. The Authority’s mandate is to enhance the welfare of the people of Kenya by promoting and protecting effective competition in markets and preventing unfair and misleading market conduct. The Authority hereby invites bids from interested bidders.

No

TENDER REFERENCE

DESCRIPTION

1.

CAK/TEND/005/2022-2023

PROPOSED OFFICE PARTITIONING WORKS ON 15th, 16th, 17th & 18th FLOORS AT CBK PENSION TOWERS, HARAMBEE AVENUE, NAIROBI.

2.

CAK/TEND/005B/2022-2023

PROPOSED STRUCTURED CABLING WORKS AT CBK PENSION TOWERS, HARAMBEE AVENUE, NAIROBI.

TENDER SECURITY (Ksh)

CLOSING DATE & TIME

Ksh 2,000,000

TUESDAY, 11th APRIL, 2023 AT 12.00PM

Ksh 530,000

TUESDAY, 11th APRIL, 2023 AT 12.00PM.

Detailed tender documents, outlining the description of goods, works/services required, and the instructions, are accessible free of charge on the Authority’s Website www.cak.go.ke and on the Public Procurement Information Portal (PPIP) https://www.tenders.go.ke Duly completed tender documents should be submitted in a plain, sealed envelope, clearly marked with the tender name and reference number. The documents should be deposited in the Tender Box located on the Ground Floor of the Authority’s Headquarters or sent to the address below. The Ag. Director General, Competition Authority of Kenya, Kenya Railways, HQs, Ground Floor, P.O.Box 35265-00200, Haile Selassie Avenue, Workshop Road, NAIROBI. Tender documents that cannot fit in the Tender Box should be deposited at the Authority’s Registry.

Ag.Director General

POSITIONS VACANT

JOB REFERENCE

1

MANAGER, HUMAN RESOURCE & ADMINISTRATION

1

MHRAM/NGOB3

2

PRINCIPAL INVESTIGATIONS & ENFORCEMENT OFFICER

1

PIEO/NGOB4

Interested and qualified persons are requested to get the comprehensive job description from the Board’s website: www.ngobureau.go.ke (i)

Applicants should provide all the details requested for in the advertisement. It is an offence to include incorrect information in the application. Details of academic and professional certificates not obtained by closure of the advert will not be accepted thereafter.

(ii)

Only shortlisted and successful applicants will be contacted.

(iii)

Canvassing in any form will lead to automatic disqualification.

(iv)

The NGOs Co-ordination Board is committed to implementing the provisions of the Constitution Article 232 (1) on fair competition and merit, representation of Kenya’s diverse communities and affording equal employment opportunities to men and women, members of all ethnic groups and persons with disabilities. People with disabilities, the marginalized and minorities are encouraged to apply.

(v)

Shortlisted candidates shall be required to produce ORIGINAL documents of their National Identity Card, Academic and Professional certificates and transcripts during interviews.

(vi)

All applicants are notified that it is a criminal offence to present fake certificates/documents.

(vii)

Terms of engagement: Permanent and Pensionable

Applications should reach the Board on or before 24th April, 2023 by close of business at 5.00 pm (East African Time). Applicants should forward their applications to [email protected]. with detailed curriculum vitae and copies of certificates/testimonials addressed to: Executive Director/CEO, NGOs Coordination Board, Cooperative Bank House, 15th Floor, P.O. Box 41617 – 00100, NAIROBI.

Uchunguzi wa hivi punde wa DNA warudisha urithi wa Waswahili

WA NA K

IVU KO

I

H IC

WA

UM

M AU

ND HI

WA KU

KIKOHOZI

H O MA

KU S

6 | MATANGAZO

ON

M

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”

KOMESHA

MUA

KU

DALILI APRILI 4, 2023

PU

BY ROSELAND LUMWAMU (KNA)

Uchunguzi wa kwanza mkubwa kuwahi kufanywa wa DNA ya kale kutoka Pwani ya Afrika Mashariki, ambao unarudisha urithi wa Waswahili umechapishwa katika jarida la Sayansi la Uingereza, Nature. Utafiti huo unahusu miaka zaidi ya 500 ya ukoloni wa eneo hilo ambao athari zake zinadumu mpaka wakati huu. Utafiti huo uliochukua muongo mmoja uliongozwa na kundi la watafiti kutoka Amerika wakiongozwa na mtafiti mkuu Profesa David Reich wa Harvard Medical School. Timu hiyo inajumuisha mwanathropolojia mzaliwa wa Kenya Profesa Chapurukha Kusimba wa Chuo Kikuu cha South Florida, Jeffrey Fleisher wa Chuo Kikuu cha Rice na Stephanie Wynne- Jones wa Chuo Kikuu cha York pamoja na Esther Brielle, mwanasayansi wa maabara ya jeni ya

Prof. David Reich wa Havard Medical School. Harvard Medical School. Watafiti hao walioshirikiana kuandika makala yenye kichwa “ Mizizi iliyoshikana ya Jeni za Afrika na Asia za Waswahili wa kale wa Pwani” ambayo yalichapishwa na gazeti ya New York Times la Amerika, wanafichua utafiti unaoonyesha kwamba Wahindi walichangia pakubwa kuwepo kwa Waswahili. Wanaonyesha kuwa karibu 1000 AD, wahamiaji wa kwanza kutoka Asia walichanganyikana na Waafrika katika maeneo

Mojawapo ya maeneo ya makaburi katika Songo Mnara kusini mwa Tanzania ambapo watafiti walifanya uchunguzi wao wa DNA

Prof Kusimba akiwa katika mji wa kale wa Mtwapa, Kilifi mnamo 2012.

tofauti kwenye Pwani ya Afrika Mashariki na kuchangia nusu ya uzao wa watu- mseto wa asilimia 90 kutoka Uajemi na asilimia 10 Wahindi. Utafiti huo unasadifu simulizi ya kale ya Waswahili 'The Kilwa Chronicles',

inayoeleza wafanyabiashara wa Uajemi (Shirazi) au Wana wa mfalme ambao walichangia kuanzishwa kwa jamii za Waswahili. Vile vile, pia, unakanusha mtazamo wa enzi za ukoloni kwamba Waafrika hawakuchangia pakubwa miji ya Waswahili. Profesa Reich aliandika; “ utafiti huo unakinzana na dhana iliyoshikiliwa awali katika nyanja za akaeokolojia, historia na kisiasa- ku-

changia kwa njia ya maana kurudisha urithi wa Waswahili wenyewe. Watafiti hao wanasema kwamba kuchanganyikana huko kulikuwa kwa kingono, huku vyanzo vya uzao vikiwa hasa wanaume kutoka Uajemi na wanawake Waafrika. Utafiti huo ulifanywa Lamu, Mtwapa, Songo Mnara na Kilwa Kisiwani ambako kwa wakati huu, jamii ziko na utamaduni ulio

PUBLIC SERVICE COMMISSION

PUBLIC SERVICE COMMISSION

Our Vision

Our Vision

“A citizen-centric public service”

“A citizen-centric public service”

Our Mission

Our Mission

“To reform and transform the public service for efficient and effective service delivery”

“To reform and transform the public service for efficient and effective service delivery”

ADVERTISEMENT OF VACANT POSITIONS IN PUBLIC UNIVERSITIES

VACANT POSITIONS IN THE PUBLIC SERVICE Applications are invited from qualified persons for the positions shown below.

Pursuant to the provisions of Section 35(1)(a) (v) of the Universities Act, 2012 amended through Statute Law (Miscellaneous Amendments) Act No. 18 of 2018, the Public Service Commission invites applications from suitably qualified persons for the following vacant positions in public universities.

V/NO.

POST

No. of Vacancies

24/2023

S/No.

University

Position

1.

Tom Mboya University

Vice-Chancellor (Re-advertisement)

1

Vice-Chancellor

1

Deputy Vice Chancellor (Academics, Student Affairs and Research)

1

Vice-Chancellor

1

Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Student Affairs)

1

2. 3.

Jaramogi Oginga Odinga University of Science and Technology

4. 5.

Tharaka University

6.

Kenyatta University

Deputy Vice Chancellor (Research, Innovation and Outreach)

1

7.

Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology

Deputy Vice Chancellor (Research, Production and Extension)

1

Deputy Vice Chancellor (Administration, Finance and Planning)

1

Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Student Affairs)

1

8. Laikipia University 9.

The details of the posts and mode of application can be accessed on the Commission’s website: www.publicservice.go.ke

GRADE

NO. OF VACANCIES

Chief Engineer Structural

CSG 5

1

25/2023

Director-Kenya Building Research Centre

CSG 5

1

26/2023

Deputy Chief Architect

CSG 5

2

CSG 7

6

CSG 7

1

CSG 7

2

27/2023

Chief Superintending Architect

28/2023

Chief Superintending Engineer (Electrical- BS)

29/2023

Chief Superintending Engineer (Structural)

MINISTRY/STATE DEPARTMENT

State Department for Public Works

30/2023

Architect I

CSG 9

29

31/2023

Engineer II (Electrical)

CSG 10

16

32/2023

Engineer II (Mechanical- BS)

CSG 10

20

The details of the posts and mode of application can be accessed on the Commission’s website. Interested and qualified persons are required to make their applications ONLINE through the Commission website: www.publicservice.go.ke or jobs portal: www.psckjobs.go.ke so as to reach the Commission on or before 24th April, 2023 (Latest 5 pm East African Time).

Applications should reach the Commission on or before 24th April, 2023 latest 5.00 pm (East African Time). SECRETARY/CEO PUBLIC SERVICE COMMISSION

na mizizi ya miji ya kale ya pwani. Wanasema kwamba wanaume kutoka Uajemi walioa katika familia walizofanya biashara nazo na kukumbatia desturi na eneo hilo kuwawezesha kufaulu zaidi kibiashara. Ku m b u k u m b u ya ustaarabu wa Waswahili wa zamani ni wa kujivunia Afrika Mashariki inavyoonekana katika Kiswahili kuwa lugha ya ukanda huo.

SECRETARY/CEO PUBLIC SERVICE COMMISSION

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

UZUIAJI

KOMESHA

APRILI 4, 2023

MATANGAZO | 7

Katibu ahimiza kaunti kufanya upimaji ili kushughulikia ongezeko la TB NA EKUWAM SILVESTER (KNA)

Katibu wa viwango vya afya na Usimamizi wa Utaalamu Dkt Josephine Mburu amehimiza serikali ya Uasin Gishu kupima watu wengi katika kiwango cha jamii ili kushughulikia ongezeko la visa vya Kifua Kikuu katika kaunti hiyo. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kifua yaliyofanyika katika

uwanja wa Huruma, Eldoret, Dkt Mburu alisema kwamba data kutoka upimaji katika muda wa wiki moja iliyopita zinaonyesha maambukizi ya Kifua Kikuu yangali yanaendelea. “Tulipoanza kupima familia 132 hadi 420 wiki iliyopita, kati ya 132, tulipata 112, hii inatuonyesha kwamba katika eneo hili, hatufai kuacha kupima,” alisema. “Ninaomba Ga-

vana kufanya hivi kwa wiki zingine 2-3 kwa sababu inaonyesha kwamba miongoni mwa waliopimwa, asilimia 5 wa Kifua Kikuu,” aliongeza. Katibu aliomba Gavana kupitia Waziri wa Afya wa Kaunti kuwatumia wahudumu wa kujitolea wa afya kutambua na kuanza kufuatilia waliotangamana na wanaougua ili kusaidia kuzuia maambukizi. Akisema

kwamba ajenda ya serikali ni kuinua huduma za kinga za afya katika afya ya msingi Dkt Mburu alipongeza serikali ya kaunti ya Uasin Gishu kwa hatua ilizochukua kuanzisha muundo msingi bora wa afya kwa kuwekeza katika vifaa vya kupima upimaji TB. Wakati huo huo, Katibu alisisitiza haja ya kutia nguvu ufuatiliaji katika vituo vya kuingia nchini kwa ugonjwa wa

virusi vya Marburg (MVD) ambao uliripotiwa majuzi katika nchi jirani. Gavana wa Uasin Gishu Jonathan Chelilim alifichua kaunti ina ongezeko la asilimia 30 la visa vya Kifua Kikuu, vikiwa vingi zaidi katika miaka kumi iliyopita. Kufuatia ongezeko la visa mwaka jana Chelilim alisema serikali yake iliweka mikakati ya kuzuia ugonjwa huo kwa kununua vifaa vya kupima.

Katibu wa Viwango vya Ubora na Usimamizi wa Kitaaluma Dkt Josephine Mburu akihutubu katika Huruma Grounds, Eldoret, Uasin Gishu. PICHA: EKUWAM SYLVESTER

THE NATIONAL TREASURY AND ECONOMIC PLANNING TOM MBOYA UNIVERSITY

INVITATION TO TENDER

KNOWLEDGE FOR SUSTAINABLE INNOVATION ENTERPRISE

The National Treasury invites sealed Tenders from eligible candidates for the following: -

S/ No 1.

2.

3.

4.

5.

Tender No.

Description

TNT/023/2022-2023

Tender for Supply and Delivery of ICT Equipment and Software

TNT/024/2022-2023

TNT/025/2022-2023

TNT/026/2022-2023

TNT/027/2022-2023

Bid Security (Kshs)

Closing Date

Pre bid meeting date

VACANCY ADVERTISEMENT

ICT Equipment

160,000.00

Software

300,000.00

21st April, 2023 at 11.00 a.m.

11th April, 2023 at 10.00 a.m.

In pursuit of its mission and mandate, the University invites applications from qualified candidates to fill the following advertised positions.

25th April, 2023 at 11.00 a.m.

11th April, 2023 at 10.00 a.m

ACADEMICS

Provision of Consultancy Services for the Development of a Public Procurement Item Master Database for the Electronic Government Procurement System of Kenya

400,000.00

Provision of Bulk SMS services for Electronic Government Procurement (e-GP) System

90,000.00

Provision of Consultancy Service for the Development of an Electronic Government Procurement Stakeholder Management (Communication, Change Management and Branding) Strategy

280,000.00

Provision of Consultancy Services for Baseline Survey on the National Treasury and Economic Planning Communication Function

20th April, 2023 at 11.00 a.m.

11th April, 2023 at 10.00 a.m

25th April, 2023 at 11.00 a.m.

11th April, 2023 at 10.00 a.m

Position

Reference Number

Grade

No. of Positions

ASSOCIATE PROFESSOR (Pure Mathematics)

TMU/ACA/FBPS/02/23

GRADE 14 A

One (1) Position

ASSOCIATE PROFESSOR (Aquatic and Fishery Science)

TMU/ACA/FBPS/03/23

GRADE 14 A

One (1) Position

ASSOCIATE PROFESSOR (Accounting)

TMU/ACA/FBE/02/23

GRADE 14 A

One (1) Position

ASSOCIATE PROFESSOR (Educational Foundations)

TMU/ACA/FE/02/23

GRADE 14 A

One (1) Position

ADMINISTRATION Position

135,000.00

19th April, 2023 at 11.00 a.m.

Not Applicable

A complete set of Tender Documents may be downloaded by interested firms free of charge at www.treasury. go.ke or www.tenders.go.ke and those who download the document from the website must forward their particulars immediately for recording and any further clarifications and addenda to [email protected].

INTERNAL AUDITOR

Reference Number TMU/ADM/01/23

Grade

No. of Positions

GRADE 12

One (1) Position One (1) Position

ASSISTANT LIBRARIAN

TMU/ADM/02/23

GRADE 11

CLINICAL OFFICER

TMU/ADM/03/23

GRADE 10

One (1) Position

SECURITY OFFICER

TMU/ADM/04/23

GRADE 8

One (1) Position

DRIVER

TMU/ADM/05/23

GRADE 5

Three (3) Positions

Application Mode

A Mandatory Pre-Bid Conference shall be held with the interested Bidders as indicated above at 10.00 a.m. through video conferencing. Invitations shall be send to all interested tenderers who shall submit their emails to [email protected] before 10.00 a.m. as indicated above.

Each application should be submitted together with updated Curriculum Vitae giving details of the applicant’s age, marital status, academic and professional qualifications, working experience, present post and latest pay slip, telephone contact, email address names and referees plus copies of the certificate and testimonials.

Completed Tender Documents, both “Original” and “Copies”, enclosed in plain sealed envelopes, marked with the relevant Tender Number and Title shall be addressed to:

Qualified candidates should submit ten (10) hard copies of the application clearly indicating the reference number of the position applied for on or before Tuesday 25th April, 2023 at 1700hrs addressed to:

The Principal Secretary, The National Treasury, P. O. Box 30007 – 00100, Nairobi, Kenya and be deposited in the Tender Box provided at the Treasury Building, 6th Floor, Harambee Avenue, Nairobi, so as to be received on or before the closing dates indicated above. Bids shall be accompanied by an Original Bid Security from a Reputable Bank or by an insurance company registered and licensed by the Insurance Regulatory Authority listed by the Public Procurement Regulatory Authority in Kenya, valid for 30 days beyond the Tender Validity period as indicated above. All Bid Documents must be sequentially serialized / paginated. Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of the tenderers or their representatives who choose to attend the opening at The National Treasury, Treasury Building, Harambee Avenue, Nairobi, 6th Floor, Conference Room No. 603 on the indicated closing dates.

HEAD, SUPPLY CHAIN MANAGEMENT SERVICES. FOR: PRINCIPAL SECRETARY / NATIONAL TREASURY

The Ag. Vice-Chancellor Tom Mboya University P. O. BOX 199 - 40300 HOMA-BAY Recommendations from at least three (3) referees should be sent separately under sealed envelopes on or before the advertisement deadline to the address above.

Terms of Service

The terms for the advertised positions will be on permanent and pensionable terms. N/B: Only shortlisted candidates will be contacted. Tom Mboya University (TMU) offers equal employment opportunities to men and women, members of all ethnic groups and persons with disabilities. THEREFORE, WOMEN, PEOPLE WITH DISABILITIES, THE MARGINALIZED AND THE MINORITIES ARE ENCOURAGED TO APPLY. Any canvassing will lead to automatic disqualification. The University does not charge any fee for the recruitment and selection process. Only shortlisted candidates will be contacted. Interested applicants should visit Tom Mboya University website: www.tmu.ac.ke to view detailed requirements.

Wakazi 350,000 wa Kirinyaga kufurahia mradi mpya wa maji safi

NA IRUNGU MWANGI (KNA)

Wizara ya Maji, Usafi na Unyunyuzaji itazindua mradi mpya wa kusambaza maji kunufaisha watu 350,000 katika miezi miwili ijayo kaunti ya Kirinyaga. Waziri wa Maji, Usafi na Unyunyuzaji Bi Alice Wahome alisema kwamba mradi huo wa maji utakaosambaza maji katika miji

mitatu mikubwa katika kaunti hiyo uko karibu kukamilika. Bi Wahome alisema kwamba mradi huo utaimarisha kiwango cha maji, ubora na utegemeaji katika miji ya Kerugoya, Kutus, Kagio na Sagana. Akizungumza katika ziara ya kukagua mradi huo, Waziri Wahome aliyeandamana na Gavana wa Kirin-

yaga Anne Waiguru alisema kwamba mfumo huo mpya utasambazia wakazi lita 30 milioni zaidi kila siku. Mfumo huo wa usambazaji wa maji utatoa maji kutoka mito ya Kiriga na Thiba, huku kiwanda kikuu cha kuwekea dawa kikiwa eneo la Muratiri. “Mradi huu utachochea uchumi wa kaunti, vi-

Waziri wa Maji, Usafi na Unyunyiziaji Alice Wahome akiandamana na Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maji katika kaunti ya Kirinyaga. PICHA: IRUNGU MWANGI.

WA NA K

H IC

wanda vitakua na jukumu letu la usaidizi kama wizara ni kuhakikisha tunaweza kufanya hivi kote nchini. Kuna mahitaji makubwa ya maji kila mahali na tunajua hatujaweza kufikia kila mtu,”alisema Waziri Wahome. Alisema kwamba mradi huo unafadhiliwa na Serikali na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa gharama a cost of Sh1.1 bilioni.Miji hiyo pia itanufaika na Sh500 milioni za mifumo ya maji taka ambayo inakaribia kukamilika.

WIZARA YA MASUALA YA VIJANA, SANAA NA MICHEZO

WIZARA YA BARABARA NA UCHUKUZI

IDARA YA MASUALA YA VIJANA NA SANAA

IDARA YA BARABARA

MWALIKO WA ZABUNI (ITT)

(MCHAKATO WA ZABUNI WA BAHASHA MOJA)

Katibu, Idara ya Masuala ya Vijana na Sanaa anakaribisha zabuni zilizofungwa kwa kazi zifuatazo zinazopendekezwa: -

NAMBARI YA ZABUNI.

MAELEZO

KIWANGO

DHAMANA

KUFUNGA

W.P. ITEM NO. D1132 NB/ NB/2202 JOB NO 11131A

PENDEKEZO LA KUGAWANYWA KWA OFISI ZA ABSA TOWERS NAIROBI - Orofa ya 15 - Kazi Kuu na Kazi za Mkataba Mdogo wa Ndani.

NCA 5 kwenda juu

690,000.00

Ijumaa 14/04/2023 saa 10.00 asubuhi (Saa za kawaida)

1.

Utoaji wa zabuni utafanyika chini ya njia ya Kitaifa ya Ushindani kwa kutumia nyaraka sanifu za zabuni.

2.

Wazabuni waliohitimu na wanaovutiwa wanaweza kupata maelezo zaidi na kukagua hati za zabuni wakati wa saa za kazi (8.00AM-1.00PM na 2.00PM-5.00PM Saa za Kawaida) katika Idara ya Masuala ya Vijana Makao Makuu, yaliyo katika Kencom House, Moi Avenue kando ya City Hall Way, Orofa ya 3, ofisi ya Usimamizi wa Mfumo wa Usambazaji, Chumba Na.362.

3.

Seti kamili ya hati za zabuni inaweza kutazamwa na kupakuliwa na wazabuni wanaotaka bila mal ipo kutoka kwa tovuti za Idara : https:// www.youth.go.ke au Tovuti ya Taarifa ya Ununuzi wa Umma (tenders.go.ke)

4.

Mzabuni anayepakua hati ya zabuni lazima apeleke taarifa zake mara moja kwa Mkuu, Huduma ya Usimamizi wa Mfumo wa Usambazaji kupitia Barua pepe. [email protected]; Simu. 020 - 2240068/33340594; P.O Box 34303 - 00100 Nairobi ili kuwezesha ufafanuzi au nyongeza yoyote zaidi.

5.

Bei zilizotajwa ziwe halisi; pamoja na kodi zote, lazima ziwe katika shilingi za Kenya na zitasalia kuwa halali kwa Siku 126 kutoka tarehe ya kufungwa kwa zabuni

6.

Zabuni zote lazima ziambatane na Dhamana katika muundo uliowekwa wa Shilingi Elfu Mia Sita na Tisini (Ksh. 690,000.00), ikiwa ni dhamana ya Benki kutoka kwa benki inayotambulika iliyoidhinishwa na kupewa leseni na Benki Kuu ya Kenya au dhamana ya kampuni ya bima iliyosajiliwa na kupewa leseni na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima na iliyoorodheshwa na Umma. Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi, inayolipwa kwa Katibu Mkuu, Idara ya Jimbo la Masuala ya Vijana na Sanaa.

7.

Dhamana ya Zabuni itakuwa halali kwa muda wa siku Mia Moja Hamsini (150) kuanzia tarehe ya ufunguzi wa zabuni.

8.

Mzabuni ataratibu kurasa zote za hati za zabuni zilizowasilishwa kwa kufuatana.

9.

Mzabuni atatoa nakala moja halisi na moja ya hati ya Zabuni.

10.

Nyaraka za zabuni zilizokamilishwa zinapaswa kuambatanishwa katika bahasha iliyofungwa iliyoandikwa nambari ya kumbukumbu ya Zabuni na Jina/Maelezo ya Zabuni na kutumwa kwa:Katibu, Idara ya Masuala ya Vijana na Sanaa, P.O. BOX 34303-00100. Nairobi.

MWALIKO WA ZABUNI (RFB) MNUNUZI:

IDARA YA BARABARA

MRADI:

MRADI WA USAFIRI, BIASHARA NA KUKUZA MAENDELEO WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI

KICHWA CHA MKATABA:

USAMBAJAJI WA MRADI WA USAFIRI, BIASHARA NA KUKUZA MAENDELEO WA KAND YA AFRIKA MASHARIKI

NCHI:

KENYA

NA YA MKOPO:

5638-KE

NA YA ZABUNI:

KE-MOTI-322277-GO-RFB

IMETOLEWA:

4/4/2023

1.

Serikali ya Kenya imepokea ufadhili kutoka kwa Benki ya Dunia kugharamia MRADI WA USAFIRI, BIASHA RA NA KUKUZA MAENDELEO WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI na inakusudia kutumia sehemu ya mapato kulipia kandarasi ya Usambazaji, usakinishaji na uanzishaji wa Mfumo wa Kupanga Rasilimali za Biashara (ERP).

2.

Idara ya Barabara sasa inaalika Zabuni zilizofungwa kutoka kwa Wazabuni wanaostahiki kwa Usambazaji, usakinishaji na uagizaji wa Mfumo wa Kupanga Rasilimali za Biashara (ERP).

3.

Zabuni itafanywa kupitia manunuzi ya kitaifa yenye ushindani kwa kutumia Ombi la Zabuni (RFB) kama ilivyobainishwa katika “Kanuni za Ununuzi za Wakopaji wa IPF” za Benki ya Dunia za Novemba 2020 (“Kanuni za Ununuzi”), na iko wazi kwa Wazabuni wote wanaostahiki kama ilivyofafanuliwa katika Kanuni za Ununuzi.

4.

Wazabuni wanaostahiki wanaweza kupata maelezo zaidi kutoka Tovuti ya Taarifa ya Ununuzi wa Umma katika www.tenders.go.ke na/au kukagua hati ya zabuni wakati wa saa za kazi saa 0900 hadi 1600 kwa anwani iliyotolewa hapa chini:

5.

Seti kamili ya hati ya zabuni kwa Kiingereza inaweza kupatikana kwa Wazabuni wanaostahiki kwa kupakua hati ya zabuni kutoka Tovuti ya Taarifa ya Ununuzi wa Umma katika www.tenders.go.ke bila malipo. Wazabuni wanaopakua hati ya zabuni lazima watume maelezo yao mara moja kwa [email protected] kwa kunakiliwa na mawasiliano ya ufafanuzi wowote wa zabuni.

6.

Zabuni lazima ziwekwe kwenye kisanduku cha zabuni kilicho kwenye Orofa ya Chini ya Works Building au kutumwa kwa anwani iliyo hapa chini ili kupokelewa mnamo au kabla ya Alhamisi 4/5/2023 saa 10:00 asubuhi. Zabuni zinapaswa kuandikwa vizuri “USAMBAZAJI, USANIKISHAJI NA UANZISHAJI WA MFUMO WA KUPANGA RASLIMALI ZA BIASHARA (ERP) kwa Idara ya Barabara: KE-MOTI-322277-GO-RFB” Zabuni zilizochelewa zitakataliwa. Zabuni zitafunguliwa mara moja mbele ya wawakilishi wa Wazabuni, ambao wataamua kuhudhuria katika Chumba cha Mikutano, Orofa ya 9, Jengo la Works, Nairobi tarehe 4/5/2023.

7.

Zabuni zote lazima ziambatane na dhamana ya zabuni katika mfumo wa Dhamana ya Benki ya shilingi laki saba za Kenya (KES. 700,000) au sawa na sarafu zinazobadilishwa virahisi) ambayo lazima isalie na kutumika kwa hadi siku 28 baada ya tarehe ya mwisho wa uhalali wa Zabuni.

8.

Tahadhari inatolewa kwa Kanuni za Ununuzi zinazomtaka Mkopaji kufichua maelezo kuhusu umiliki wa manufaa wa mzabuni aliyefaulu, kama sehemu ya Notisi ya Tuzo ya Mkataba, kwa kutumia Fomu ya Ufichuzi wa Umiliki wa Faida kama ilivyojumuishwa katika hati ya zabuni.

9.

Anwani (zi) iliyorejelewa hapo juu ni (ni):

Anwani ya mahali ulipo kwa Uwasilishaji wa Courier kwa ofisi au Sanduku la Zabuni itakuwa Nairobi, Moi Avenue nje ya City Hall Way, Kencom House, Orofa ya 3, Chumba Namba 362. 11. Nyaraka za zabuni zilizokamilishwa lazima ziwekwe kwenye Sanduku la Zabuni lililo Kencom House Orofa ya 3, ili zipokewe kabla ya Ijumaa tarehe 14/04/2023 saa 10.00 asubuhi (Saa za Kawaida). Zabuni za Kielektroniki hazitaruhusiwa. Hati nyingi ambazo haziwezi kutoshea sanduku la zabuni zinapaswa kupelekwa katika Ofisi ya Mkuu wa Ununuzi iliyoko Kencom House, Moi Avenue nje ya City Hall Way, Orofa ya 3, Chumba Na.362. 12. Zabuni zitafunguliwa hadharani mara baada ya tarehe ya mwisho, tarehe na wakati uliotajwa hapo juu au tarehe ya mwisho na nyakati zilizotajwa baadaye mbele ya wazabuni au wawakilishi walioidhinishwa ipasavyo ambao wataamua kuhudhuria Kencom House, Orofa ya 3 - Chumba Kikuu cha Mikutano cha SDYA SDYA kilichopo Barabara ya Moi kando ya Barabara ya City. 13.

Zabuni zilizochelewa zitakataliwa.

14.

Matembeleo ya tovuti yatafanywa Alhamisi tarehe 6 Aprili 2023 saa 10.00 asubuhi katika Absa Towers, orofa ya 15 iliyoko kando ya Barabara ya Loita.

15.

Idara ya Masuala ya Vijana na Sanaa haijifungi kupokea zabuni ya chini kabisa au yoyote.

Katibu Idara ya Masuala ya Vijana na Sanaa

WA

UM

IVU KO

I

M AU

ND HI

WA KU

KIKOHOZI

H O MA

KU S

8 | MATANGAZO

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”

ON

M

KOMESHA

MUA

KU

DALILI APRILI 4, 2023

PU

Katibu Kwa: Msimamizi Mkuu wa Huduma za Mfumo wa Usambazaji Idara ya Barabara Works Building, Barabara ya Ngong P.O. Box 30260 - 00100 NAIROBI, KENYA

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

UZUIAJI

KOMESHA

APRILI 4, 2023

MATANGAZO | 9

Furaha Waziri akitoa hatimiliki 1,200 kwa wakazi wa Maweni, Kilifi NA CATHERINE MUINDI(PC)

NLC wakiongozwa na Mwenyekiti Gershom Otachi alihimiza walionufaika kutumia hati miliki hizo kujiendeleza na waepuke kuuza ardhi yao kwa bei ya chini. Waziri aliongeza kusema kwamba serikali imejitolea kutafuta suluhu ya kudumu kwa ukosefu wa ardhi na haitaruhusu mitandao ya walaghai kufurusha watu masikini kwa kutumia

Ilikuwa furaha kwa wakazi wa Maweni, Mtwapa, kaunti ya Kilifi baada ya Waziri wa Ardhi, Ujenzi, Nyumba na Ustawi wa Miji Zachariah Njeru kuwapa hati 1,200 za kumiliki ardhi. Njeru ambaye alikuwa ameandamana na Katibu wa Wizara ya Ardhi Nixon Korir, Kamati ya Bunge kuhusu Ardhi, Tume ya Ardhi na maafisa wengine wa

stakabadhi za kughushi. Njeru alisema kwamba mbali na hatimiliki hizo 1200 alizopeana, serikali imetenga ardhi ya maeneo ya umma kama misikiti, makanisa na kumbi za jamii. Katibu Korir alifurahia kutoa hatimiliki za kwanza tangu alipoingia ofisini. “Ni matumaini yangu kwamba hati miliki mlizopata leo zitakuwa baraka kwenu na kwa jamii kwa

jumula,” alisema Korir. Alihimiza walionufaika kutumia ardhi kujinufaisha wenyewe na waache tabia ya kuiuza na kurudia maisha ya kuwa maskwota. Mbunge wa Kilifi Kusini Ken Chonga alisema kwamba suala la hatimiliki kwa wakazi wa Maweni ni la kihistoria kwa sababu linasuluhisha dhuluma za kihistoria. “Wazazi wa baadhi ya

walionufaika waliishi katika ardhi hii na wamezikwa katika ardhi hii lakini hawangeiita yao kwa sababu watu wenye ushawishi waliwanyima haki yao ya kuzaliwa,” alisema mbunge huyo. Awali siku hiyo, Waziri na Katibu waliongoza wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi katika mkutano na Kamati ya Bunge kujadili sheria iliyopendekezwa ya kuinua

mapato yanayokusanywa na serikali za kaunti. Maafisa hao wawili waliongoza wafanyakazi wakuu wa Idara ya Ardhi na Mipango ya Ardhi kujadili Mswada wa Kitaifa wa Ada na wanachama wa Kamati ya Bunge kuhusu Ardhi. Mkutano huo katika hoteli ya Serena, Mombasa, pia ulihudhuriwa na maafisa wakuu wa Wizara ya Fedha.

WIZARA YA BARABARA NA UCHUKUZI

WIZARA YA BARABARA NA UCHUKUZI

IDARA YA BARABARA

IDARA YA BARABARA

(MCHAKATO WA ZABUNI WA BAHASHA MOJA)

(MCHAKATO WA ZABUNI WA BAHASHA MOJA)

MWALIKO WA ZABUNI (RFB)

MWALIKO WA ZABUNI (RFB)

NCHI:

KENYA

MNUNUZI:

IDARA YA BARABARA

JINA LA MRADI:

(MAENDELEO YA MLANGO WA UPEMBE WA AFRIKA)

KENYA:

KENYA

KICHWA CHA MKATABA:

USANIKISHAJI WA HUDUMA NA KUJARIBU VIFAA VYA IT 1 (a) Tabuleti Aina ya A 5No. (b) Tabuleti Aina B 8No. Sehemu ya 2 a) Kipakatalishi Aina A 3No. (b) Kipakatalishi Aina ya B 20No. Sehemu ya 3 Kinakili cha Kazi Nyingi 1No. Sehemu 4 IKVA UPS 100No

JINA LA MRADI:

MAENDELEO YA MLANGO WA UPEMBE WA AFRIKA (HOAGDP)

JINA LA MKATABA:

USAMBAZAJI NA UWASILISHAJI WA MAGARI 2 YA MATUMIZI YA MAFUTA CHINI YA 3000CC KWA MAZINGIRA NA ULINZI WA JAMII (ESS) NA MIRADI MAALUM/TIMU YA UTEKELEZAJI WA MIRADI

NAMBA YA MKOPO:

67680KE

CR 67680

NAMBA YA ZABUNI:

KE-SDOI-290326-GO-RFB

NAMBARI YA MKOPO/ RUZUKU: NAMBARI YA RFB:

KE-KURA-217986-GO-RFB

1.

2.

3.

Serikali ya Kenya imepokea ufadhili kutoka kwa Benki ya Dunia kugharamia Mradi wa Maendeleo ya Mlango wa Upembe wa Afrika, na inakusudia kutumia sehemu ya mapato kulipia kandarasi ya USANIKISHAJI NA KUJARIBU VIFAA VYA IT. Sehemu 1 a) Tabuleti Aina A 5No.

(b) Tabuleti Aina B 8No.

Sehemu 2 a) Kipakatalishi Aina A 3Na.

(b) Kipakatalishi Aina B 20No

Sehemu 3

Kinakili chenye Kazi nyingi 1No

Sehemu 4

1KVA UPS 100No

Idara ya Barabara sasa inakaribisha Zabuni zilizofungwa kutoka kwa Wazabuni wanaostahiki kwa USANIKISHAJI WA HUDUMA NA KUJARIBU VUFAA VYA IT 1 a) Tabuleti Aina ya A 5No. (b) Tabuleti Aina B 8No. Sehemu ya 2 a) Kipakatalishi Aina A 3No. (b) Kipakatalishi Aina ya B 20Na. Sehemu ya 3 Kinakili cha kazi nyingi 1Na. Sehemu ya 4 1KVA UPS 100No. Zabuni itafanywa kupitia manunuzi ya kimataifa yenye ushindani kwa kutumia Ombi la Zabuni (RFB) kama ilivyoainishwa katika Kanuni za Ununuzi za Benki ya Dunia za “Kanuni za Ununuzi kwa Wakopaji wa IPF” kwa Wakopaji wa Ufadhili wa Mradi wa Uwekezaji (IPF): Novemba 2020 (“Kanuni za Ununuzi”) , na iko wazi kwa Wazabuni wote wanaostahiki kama ilivyofafanuliwa katika Kanuni za Ununuzi.

4.

Wazabuni wanaostahiki wanaweza kupata maelezo zaidi kutoka kwa tovuti ya Idara ya Barabara ya www. transport.go.ke na tovuti ya Wizara ya Fedha www.tenders.go.ke.

5.

Hati ya zabuni kwa Kiingereza inaweza kupakuliwa na Wazabuni wanaovutiwa kutoka tovuti ya Idara ya Barabara www.transport.go.ke na tovuti ya Wizara ya Fedha www.tenders.go.ke na kuwasilisha maelezo yao kwa usajili kwa [email protected].

6.

Zabuni lazima ziwasilishwe kwa anwani iliyo hapa chini ya Idara ya Barabara mnamo au kabla ya tarehe 4 Mei, 2023. Zabuni ya Kielektroniki haitaruhusiwa. Zabuni zilizochelewa zitakataliwa. Zabuni zitafunguliwa hadharani mbele ya wawakilishi walioteuliwa wa Wazabuni na yeyote atakayeamua kuhudhuria katika anwani iliyo hapa chini.

7.

Zabuni zote lazima ziambatane na Dhamana ya KES 300,000 (shilingi za Kenya laki tatu) pekee.

8.

9.

Tahadhari inatolewa kwa Kanuni za Ununuzi zinazomtaka Mkopaji kufichua taarifa kuhusu umiliki wa manufaa wa mzabuni aliyefaulu, kama sehemu ya Notisi ya Tuzo ya Mkataba, kwa kutumia Fomu ya Ufichuzi wa Umiliki wa Faida kama ilivyojumuishwa katika hati ya zabuni.

1.

Serikali ya Jamhuri ya Kenya imepokea ufadhili kutoka kwa Benki ya Dunia kugharamia Mradi wa Maendeleo ya Mlango wa Upembe wa Afrika na inakusudia kutumia sehemu ya mapato kwa malipo chini ya mkataba wa Usambazajina Uwasilishaji wa Magari ya Matumizi ya Mafuta chini ya 3000cc kwa Mazingira na Ulinzi wa Jamii (ESS) na Miradi Maalum / Timu ya Utekelezaji wa Mradi (PIT)

2.

Idara ya Barabara sasa inakaribisha Zabuni zilizofungwa kutoka kwa Wazabuni wanaostahiki kwa Usambazaji na Uwasilishaji wa Magari 2 yanayotumia mafuta yasiyozidi 3000cc kwa Mazingira na Ulinzi wa Jamii (ESS) na Miradi Maalum / Timu ya Utekelezaji wa Mradi (PIT) kulingana na Kura zifuatazo. Maelezo ya Gari

1

Heavy Duty, Single Cab, 9 Seater Passenger Vehicle (Tourist Type Conversion), 4x4, L.W.B., 2,900-4,200cc, DIESEL.

Unit No

Kiwango 2

3.

Zabuni itafanywa kupitia manunuzi ya kimataifa yenye ushindani kwa kutumia Ombi la Zabuni (RFB) kama ilivyoainishwa katika “Kanuni za Ununuzi kwa Wakopaji wa IPF” Novemba 2020 (“Kanuni za Ununuzi”) na iko wazi kwa Wazabuni wote wanaostahiki kama inavyofafanuliwa katika Kanuni za Ununuzi.

4.

Wazabuni wanaovutiwa wanaweza kupata maelezo zaidi na kukagua hati ya zabuni kwenye www.transport. go.ke chini ya menyu ya nyenzo, Tovuti ya IFMIS Kenya Suppliers Portal http://supplier.treasury.go.ke au www.kura.go.ke au tembelea Ofisi ya Usimamizi wa Mfumo wa Usambazaji, Works Building, Orofa ya Chini, Barabara ya Ngong, Chumba Na.48, Nairobi wakati wa saa za kawaida za kazi za kazi (saa 0800 hadi 1700 EAT). Wale wanaopakua hati wanapaswa kutuma maelezo yao mara moja kwa [email protected] kwa madhumuni ya kusajili na kupokea ufafanuzi na nyongeza yoyote zaidi.

5.

Hati ya zabuni iliyo katika Kiingereza inaweza kupakuliwa kutoka kwa www.transport.go.ke au tovuti ya Ununuzi ya IFMIS www.supplier.treasury.go.ke bila malipo kutoka kwa tovuti. Wazabuni wanahimizwa kupakua hati ya zabuni ili kupunguza ziara katika Workd Building.

6.

Zabuni lazima ziwasilishwe kwa anwani iliyo hapa chini mnamo au kabla ya saa 10.00 asubuhi kwa saa za kawaida tarehe 5 Mei 2023. Zabuni ya Kielektroniki haitaruhusiwa. Zabuni zilizochelewa zitakataliwa. Zabuni zitafunguliwa hadharani mara baada ya hapo mbele ya Wazabuni.

7.

Zabuni zote lazima ziambatane na dhamana ya zabuni katika mfumo wa dhamana ya benki au rasimu ya benki iliyotolewa na benki inayotambulika iliyoko nchini Kenya, au Bima ya 2% (Jumla ya zabuni) kutoka kwa kampuni inayotambulika ya bima iliyoidhinishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA).

8.

Tahadhari inatolewa kwa Kanuni za Ununuzi zinazomtaka Mkopaji kufichua maelezo kuhusu umiliki wa manufaa wa mzabuni aliyefaulu, kama sehemu ya Notisi ya Tuzo ya Mkataba, kwa kutumia Fomu ya Ufichuzi wa Umiliki wa Faida kama ilivyojumuishwa katika hati ya zabuni.

9.

Anwani iliyorejelewa hapo juu ni:

Anwani (zi) iliyorejelewa hapo juu ni (ni): Katibu Idara ya Barabara Kwa: Msimamizi Mkuu wa Huduma za Mfumo wa Usambzaji Sanduku la Zabuni kwenye Chumba cha Chini, Kinyume cha Chumba 48. Works Building, Barabara ya Ngong NAIROBI, KENYA

Lot

Katibu Wizara ya Barabara na Uchukuzi Idara ya Barabara Works Building, Barabara ya Ngong, Ground Floor, Chumba 48 Nairobi

Nguzo nne za wizara kuafikia shabaha yake ya Afya kwa Wote

NA JUDY SHERI (PCO)

Wizara ya Afya itakita lengo la Kenya la Kuafikia Afya kwa Wote (UHC) katika nguzo nne za kusajili wafanyakazi wapya wa afya, kulipa marupurupu kwa wafanya wa afya ya jamii, kutuma na kuajiri wafanyakazi zaidi wa afya, kuzindua mpango nafuu wa bima, kuimarisha ubora wa

mifumo ya afya na kupunguza gharama ya kupata huduma za afya. Akizungumza katika mkutano wa Sekta ya afya katika kongamano la Biashara la Chama cha Wafanyabiashara cha Amerika, Katibu Mkuu wa Idara ya Huduma za Matibabu. Peter Tum alieleza mipango ya Wizara ya kuafikia Afya kwa

Wote (UHC) na akaahidi kutoa huduma bora za afya kwa wote kwa Wakenya kwa kuwa ni sehemu muhimu ya Manifesto ya Kenya Kwanza. Mhandisi Tum alisisitiza kujitolea kwa serikali kutatua uhaba wa wafanyakazi wa afya kwa kulipa marupurupu wafanyakazi 90,000 wa afya ya jamii na

MWALIKO WA ZABUNI Na

NAMBARI YA ZABUNI

MAELEZO

UHITIMU

TAREHE YA KUFUNGA

1

KGN-HYD-12-2023

Usanifu, Usambazaji, Kujaribiwa na Uagizaji wa Vyumba vya Kuvunja Mzunguko wa KV 11 kwa Kituo cha Umeme cha Masinga. Ziara ya Lazima ya Eneo,13 Aprili, 2023-Kituo cha Umeme cha Masinga Kuanzia 10.00 asubuhi

Wazi Kimataifa

Aprili 26, 2023 saa 2:00 mchana

Kampuni zinazovutiwa zinaweza kupata maelezo zaidi kutoka kwa afisi ya Meneja Mkuu, Mfumo wa Usambazaji, Simu: (254) (020) 3666230, Barua pepe: [email protected] katika siku za kawaida za kazi kuanzia tarehe ya tangazo. Hati za zabuni zinaweza kukusanywa baada ya malipo ya ada isiyoweza kurejeshwa ya KShs. 1,000.00 kulipwa kwa pesa taslimu au kupitia hundi ya benki katika ofisi yoyote ya fedha ya KenGen. Hati hii pia inaweza kutazamwa na kupakuliwa kutoka kwa tovuti www.kengen.co.ke na kwenye E-procurement https://eprocurement.kengen.co.ke:50001/irj/portal. Wazabuni wanashauriwa kurejelea tovuti na ununuzi wa kielektroniki mara kwa mara kwa maelezo yoyote ya ziada /ufafanuzi/addenda. Nakala zilizopakuliwa ni BURE. KUWASILISHA ZABUNI: 1. Nyaraka za zabuni lazima ziwasilishwe mtandaoni kupitia tovuti ya KenGen E-Procurement nayopatikana kwenye tovuti ya KenGen (www.kengen.co.ke) Wazabuni wanaopenda zabuni hii LAZIMA wahakikishe kuwa wamesajiliwa katika E-Procurement Portal. Tafadhali hakikisha unazingatia yafuatayo; • Kwa wasambazaji wanaojisajili kwa mara ya kwanza hakikisha kisanduku tiki cha “Ununuzi wa Umma” kimetiwa alama ili maelezo ya kuingia yatumwe kwa wasambazaji kiotomatiki. • Hati zote Lazima zipakiwe kwa Mfumo wa SRM kupitia https://eprocurement.kengen.co.ke:50001/irj/ portal inapatikana katika www.kengen.co.ke • Bei zitakazowekwa chini ya kipengee cha RFx zitakuwa sawa na bei katika ratiba ya bei. Kumbuka; Wale Wazabuni ambao wamewasilisha zabuni zao na wanaotaka kuzirekebisha zaidi hawapaswi kubofya ONDOA bali bonyeza BONYEZA ili kuwawezesha kurekebisha majibu yao ya zabuni na kufanya mabadiliko yanayofaa. Wazabuni wanaohitaji usaidizi wa aina yoyote kuhusu jinsi ya kutoa zabuni kupitia mfumo wanashauriwa kupakua mwongozo kutoka kwa tovuti au wanaweza kuwasiliana na [email protected] Dhamana ya Zabuni pale inapotumika katika fomu na kiasi kilichobainishwa na lazima kiwasilishwe katika bahasha iliyofungwa na iliyoandikwa nambari ya zabuni na maelezo ya zabuni kabla ya tarehe ya kufungwa kwa anwani ifuatayo: Meneja Mkuu- Mfump wa Usambazaji, Kenya Electricity Generating Company PLC, Orofa ya 9, KenGen Pension Plaza II, Barabara ya Kolobot, Parklands, P.O. Box 47936, 00100 NAIROBI Zabuni zitafunguliwa mtandaoni punde tu baada ya muda wa kufunga mbele ya wawakilishi wa wagombeaji wanaochakuhudhuria KenGen Pension Plaza II, chumba cha ufunguzi wa Zabuni, orofa ya 6. N/B: KenGen inazingatia viwango vya juu vya uadilifu katika shughuli zake za kibiashara. Ripoti tabia yoyote isiyo ya kimaadili mara moja kwa huduma iliyotolewa bila kutambulisha jina. 1) 2) 3) 4)

Piga Simu Bila Malipo: 0800722626 Faksi Bila Malipo: 00800 007788 Barua pepe: [email protected] Tovuti: www.tip-offs.com

MENEJA MKUU, MFUMO WA USAMBAZAJI

WA NA K

H IC

WA

UM

IVU KO

M AU

WA KU

Wanajopo katika kikao cha sekta ya afya wajadili namna ya kuboresha huduma za afya kwa Wakenya.

I

kuajiri 20,000 kuinua utoaji wa huduma. Aidha, aliahidi kuhakikisha wafanyakazi zaidi wa afya wamesajiliwa na kutumwa katika maeneo walio wachache. Katibu alifichua lengo la wizara la kuafikia bima ya afya kwa Wakenya, kuhakikisha kwamba kila mmoja anapata huduma bora za afya bila kutatizika kifedha na akaongeza kwamba wizara inajitahidi kuanzisha mpango wa bima ya afya ya jamii kwa Wakenya wote bila kujali mapato yao.

Kituo cha kukabili ugaidi chatayarisha mswada wa kuzuia misimamo mikali

MWALIKO WA ZABUNI

2.

ND HI

KIKOHOZI

H O MA

KU S

10 | MATANGAZO

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”

ON

M

KOMESHA

MUA

KU

DALILI APRILI 4, 2023

PU

NA EMMANUEL MASHA (KNA)

K

ituo cha Kitaifa cha Kukabiliana na Ugaidi (NCTC) kinatayarisha kielelezo cha sheria ya kuzuia ugaidi kupatia serikali za kaunti mfumokazi wa sheria wa kushughulikia masuala yanayohusiana na misimamo mikali. Mkurugenzi wa NCTC anayesimamia Kinga na Ustahimilivu Bw Njenga Miiri alisema kwamba sheria hiyo kielelezo imepiga hatua na kwamba serikali zote 47 za kaunti zitatarajiwa kuitumia kulingana na maeneo yao kupitia mabunge ya kaunti. M k u r u gen z i huyo alisema kwamba NCTC iko katika hatua za mwisho za kutayarisha kielelezo hicho cha sheria baada ya shirika hilo kusaidia kaunti za Nairobi, Mombasa, Nakuru na Laikipia kuunda sheria kuhusu suala hilo; na linatumia tajiriba iliyopata kutoa sheria kielelezo kwa kaunti kutumia zinazoandaa sheria zao. Miiri alikuwa akizungumza katika hoteli moja ya Malindi katika hafla iliyoandaliwa na mpango wa Collective Resilience Against Extremism Programme (CREATE) kufunza watungaji wa sera kuhusu haja ya kuungana kuzuia misimamo mikali na ugaidi nchini. Alisema kwamba mipango inaendelea kushirikisha wawakilishi wa wadi katika shughuli zao ili kuhakikisha ugaidi unaangamizwa kwa kutumia njia za kuuzuia badala ya njia za kuukabili ambazo serikali na wadau wengine wamekuwa wakitumia. “Pia tumezungumza na

Mkurugenzi msimamizi wa uzuiaji na udhibiti katika NCTC, Bw Njenga Miiri

Baraza la Magavana na Gavana Dhadho (Godhana) wa Tana River, ambaye ni mwanachama wa Kamati ya Usalama katika CoG na mwakilishi wa magavana,” akasema. “Vile vile, tumeshirikisha Chama cha Mabunge ya Kaunti (CAF) ili tuweze kuwa na mfumo kazi bora wa ushirikiano na niko na hakika hivi karibuni, Mungu akipenda na pesa zikipatikana, tutaweza kushirikiana zaidi na Mabunge ya Kaunti,” aliongeza. Miiri alisema kwamba ni muhimu Kenya iwe na suluhu zake kwa tatizo la ugaidi, na akaongeza kuwa haiwezekani kuendelea kutegemea wafadhili kwa suala hili. “Hatuwezi kutegemea wafadhili kila wakati. Hizi ni shida zetu; la-

Tumeshirikisha mabaraza ya kaunti ili tuweze kushirikiana kwa njia bora zaidiNjenga Miiri

zima tuzimiliki, na lazima tuwezekeze katika shida hizo. Sharti tuweke pesa pale ambako tatizo lipo,” alisema. CREATE ni mpango wa Kuzuia Misimamo Mikali (PVE) unaofadhiliwa na Uingereza ambao unatekelezwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Nchini Kenya, unatekelezwa katika kaunti za Kilifi, Lamu, Mombasa, Kwale, Isiolo na Nairobi. Mpango huo umetekeleza miradi inayolenga vijana ya kuzuia misimamo mikali kwa kutoa ulezi, ushauri nasaha, kukuza ujuzi na kuwaondoa vijana katika maeneo hatari, kusaidia kupunguza hatari yao ya kujiunga na makundi yenye misimamo mikali. Hafla hiyo ilileta pamoja wabunge wa kaunti za Kilifi na Lamu na Mawaziri wa serikali za kaunti, Kituo cha Kitaifa cha Kukabiliana na Ugaidi, maafisa wakuu, wakurugenzi, washirika watekelezi na wawakilishi wa serikali ya kitaifa.

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Mawaziri wasifu Kenya kuidhinisha Biashara huru baina nchi za kikanda NA MWANGI GAKUNGA (PCO)

Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Shirika la Soko la Pamoja la nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika (COMESA), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) limesifu Kenya kwa kuongoza

utekelezaji wa mkataba wa biashara huru baina ya mashirika hayo matatu. Wakizungumza katika mkutano wa tano wa SADC kwa njia ya video, Baraza hilo la Mawaziri lililoleta pamoja mawaziri wanaohusika na biashara ya kikanda wanaounda baraza hilo ambalo ni la pili kubwa kwa ufanyaji maamuzi,

baraza hilo liliidhinisha makubaliano yote ya kisheria yanayohusu biashara na forodha na uchukuzi wa barabara kufanikisha biashara ya kikanda. Makubaliano hayo chini ya biashara na forodha yanajumuisha mkataba kuhusu usafiri wa wafanya biashara, kuondoa ushuru wa kuagiza bidhaa, ku-

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

S/ No

Description

Tender No.

Reservation

Closing date and time

1

Provision of Medical Insurance Cover for Staff and Board Members

KP/MIC/010/2022-2023

Open

17th April 2023 at 11:00 am EAT

2

Provision of Group Personal Accident (GPA) Insurance Cover for Board Members

KP/GPA/011/2022-2023

Open

17th April 2023 at 11:00 am EAT

3

Provision of General Insurance Cover

KP/GIC/012/2022-2023

Open

17th April 2023 at 11:00 am EAT

4

Provision of Internet Services

KP/IS/013/2022-2023

Open

17th April 2023 at 11:00 am EAT

5

Consultancy on Provision and Implementation of Financial Reporting Software

KP/FRS/014/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

6

Consultancy on Cloud Hosting of Youth and Children Dashboard

KP/YCD/015/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

7

KIPPRA Pension Scheme Custodian

KP/CS/016/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

8

KIPPRA Pension Scheme Funds Management

KP/PFM/017/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

9

KIPPRA Pension Scheme Funds Administration

KP/PFA/018/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

10

Consultancy on Dynamics 365 Business Central support, maintenance, customization and Annual License Renewal

KP/EP/019/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

11

Provision of Consultancy and Accreditation of Psychometric Services (Re-advertisement)

KP/PS/020/2022-2023

Open

18th April 2023 at 11:00 am EAT

12

Provision of Conference Facilities Package and Accommodation under Framework Contract

KP/CF/021/2022-2023

Open

19th April 2023 at 11:00 am EAT

13

Provision of Air ticketing Services under Framework Contract

KP/AT/022/2022-2023

AGPO Groups

19th April 2023 at 11:00 am EAT

14

Provision of Outside Catering Services under Framework Contract

KP/OC/023/2022-2023

AGPO Groups

19th April 2023 at 11:00 am EAT

15

Provision of Editorial Services under Framework Contract

KP/ES/024/2022-2023

Open

19th April 2023 at 11:00 am EAT

16

Provision of Auctioneer Services under Framework Contract

KP/AS/025/2022-2023

Open

19th April 2023 at 11:00 am EAT

17

Supply of Petroleum Products and Minor Service under framework contract

KP/PP/026/2022-2023

Open

19th April 2023 at 11:00 am EAT

18

Supply and Delivery of Bottled Drinking Water and Maintenance of Dispensers

KP/BD/027/2022-2023

AGPO Groups

19th April 2023 at 11:00 am EAT

yokubaliwa ni Sheria kielelezo ya magari barabarani na Sheria kielelezo ya Usafirishaji wa Bidhaa Hatari kwa barabara. Katika kuidhinisha mikataba hiyo, baraza lilitumia msingi wa jiometriki ambao unaruhusu nchi wanachama ambazo haziko tayari kuzitumia kufanya hivyo zikiwa tayari. Hii, mawaziri hao walisema, itatoa fursa ya mazungumzo kuendelea katika kiwango cha nchi kadhaa na wakati huo huo, kuruhusu zilizo tayari kue-

NA.

1.

2.

3.

4.

NAMBARI YA ZABUNI

MAELEZO

TAREHE YA KUANZA

TAREHE YA KUZURU ENEO/ LAZIMA

TAREHE YA KUFUNGA

KP9/9A/OT/ HRA/05/22-23

Mapendekezo ya Ujenzi wa Karakana ya Usafiri, Barabara ya Karume, Kaunti ya Kisumu, Eneo la Magharibi

Jumatano 05.04.2023

Jumatano, 12.04.2023 saa 10.00 asubuhi

Jumatano 19.04.2023 saa 10.00 asubuhi

Ukarabati Unaopendekezwa wa Vituo Vidogo & Kazi za Kiraia katika Vituo Vidogo Vilivyochaguliwa

Jumatano 05.04.2023

Ukarabati Unaopendekezwa, Matengenezo Yanayohusiana na Huduma Hufanya Kazi katika Kituo Kidogo cha Embakasi 220kV Chumba cha Kudhibiti

Alhamisi 06.04.2023

Utoaji wa Kazi za Kiraia katika Kituo Kidogo cha Webuye 33/11kV

Alhamisi 06.04.2023

KP1/9A.2/OT/ 070/NW/22-23

KP1/9A.2/OT/ 067/ID/22-23

KP1/9A.2/OT/ 068/ID/22-23

(Demonstration Centre, Electricity House, Kisumu) Jumatano, 12.03.2023 saa 9.00 asubuhi (Stima Plaza, Auditorium) Jumatano, 12.04.2023 saa 10.00 asubuhi 11.00 asubuhi. Ziara ya Lazima ya Eneo Jumatano, 12.04.2023 saa 11.00 asubuhi 1.00 mchana Kituo kidogo cha Embakasi, Mombasa Road Exit, Kiang’ombe Kinyume na Depo ya Ndani ya Mamlaka ya Bandari Kenya Jumatano, 19.04.2023 saa 10.00 asubuhi 11.00 asubuhi.

Jumatano 26.04.2023 saa 10.00 asubuhi

Jumatano 26.04.2023 saa 10.00 asubuhi

Alhamisi 04.05.2023 saa 10.00 asubuhi

Ziara ya Lazima ya Eneo, Jumatano, 19.04.2023 saa 11.00 asubuhi (Kituo kidogo cha Webuye, Mji wa Sango kabla Flyover ya Weighbridge katika KPLC 33kVKituo kidogo pamoja Barabara ya Webuye Bungoma) 5.

The Executive Director, Kenya Institute for Public Policy Research & Analysis, nd 2 Floor, Bishops Garden Towers, Bishops Road P O Box 56445 -00200, Tel: 2719933/4, 4936 000 NAIROBI

ndelea na utekelezaji wao. Kuidhinishwa kwa mikataba hii ya kufanikisha biashara na uchukuzi, kinachoshughulikiwa sasa ni kutekelezwa kwa biashara huru ambayo kwa wakati huu inapungua wanachama watatu zinazopaswa kutia saini kutimiza idadi ya nchi 14 kuwezesha utekelezaji wake. TFTA ilizinduliwa 2015 na inaleta pamoja nchi 29 kuunda soko la pamoja la mashirika matatu ya ukanda ambayo ni COMESA-EACSADC.

Kenya Power inakaribisha zabuni kutoka kwa wazabuni ili kutoa yafuatayo:-

Tender documents may be viewed and downloaded for free from the website www.kippra.org or www.tenders.go.ke. Tenderers who download the tender document must forward their particulars immediately to [email protected] to facilitate any further clarification or addendum.

Complete Tender documents should be enclosed in plain sealed envelopes clearly marked “TENDER NUMBER-------------------------------FOR ---------------------- should be deposited in the TENDER BOX situated on 7th floor, Bishops Garden Towers. Large documents that cannot fit in the tender box shall be registered at the Supply Chain Management office located on 7th floor Bishops Garden Towers East Wing. The tender documents should be addressed to:

APRILI 4, 2023

MWALIKO WA ZABUNI

Interested and Eligible Bidders may obtain the bidding documents from the KIPPRA offices on 7th floor Bishops Garden Towers during normal working hours, Monday to Friday, 8.00a.m. - 5.00p.m. with exception of public holidays.

All clarifications and/or addendums shall be uploaded in the KIPPRA’s website, www.kippra.org.

UZUIAJI

KOMESHA

MATANGAZO | 11

tatua mizozo na mwongozo wa TFTA kuhusu sera ya ushindani miongoni mwa mingine. Chini ya uchukuzi wa barabara, makubaliano kadhaa yanayonuiwa kufanikisha uchukuzi na kupitia barabara za kanda iliidhinishwa. Makubaliano hayo ni Mkataba wa Usimamizi wa Magari ya kubeba mizigo, Mkataba wa uchukuzi wa barabara katika mipaka ya nchi na Sheria kielelezo ya Usimamizi wa Uzani wa Magari. Mengine yali-

TENDER NOTICE The Kenya Institute for Public Policy Research and Analysis (KIPPRA) invites interested and eligible bidders to tender for the following items:

Hakikisha maeneo yote ni safi

KP1/9A.3/OT/ 39/22-23

Usambazaji wa Nguzo za Mbao Zilizotibiwa (Watengenezaji wa Kenya pekee)

Alhamisi 06.04.2023

N/A

Ijumaa 05.05.2023 at 10.00asubuhi

Nyaraka za zabuni zinazoelezea mahitaji ya zabuni zilizo hapo juu zinaweza kupatikana kutoka kwa tovuti ya Kenya Power (www.kplc.co.ke) kuanzia tarehe zilizoonyeshwa hapo juu.

So as to reach the undersigned not later than the date and time indicated above. The opening of the bids will take place thereafter at the 7th Floor Boardroom, Bishops Garden Towers on the same day in the presence of the bidders who will be interested to attend.

ISO 9000:2015

MENEJA MKUU MFUMO WA USAMBAZAJI NA VIFAA

www.kplc.co.ke

KU S

KICHWA CHA KANDARASI:

USAMBAZAJI, UWASILISHAJI NA UWEKAJI WA USANIFU WA AUTODESK, UHANDISI NA UKUSANYAJI WA UJENZI (BARABARA, MADARAJA NA MAJIRA)

NCHI:

KENYA

NA YA MKOPO.

WA NA K

UM

(HUDUMA ZA USHAURI – UTEUZI WA MASHIRIKA)

MWALIKO WA ZABUNI (RFB) MRADI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI KUHUSU USAFIRI, BIASHARA NA KUKUZA MAENDELEO

IVU KO

OMBI LA KUONYESHA NIA (REOI)

(MCHAKATO WA ZABUNI WA BAHASHA MOJA)

MRADI:

WA

IDARA YA BARABARA

IDARA YA BARABARA

IDARA YA BARABARA

H IC

WIZARA YA BARABARA NA UCHUKUZI

WIZARA YA BARABARA NA UCHUKUZI

MNUNUZI:

I

M AU

ND HI

WA KU

KIKOHOZI

H O MA

12 | MATANGAZO

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa”

ON

M

KOMESHA

MUA

KU

DALILI APRILI 4, 2023

PU

NCHI

KENYA

NA YA MKOPO

CR.5638 -KE

MNUNUZI

IDARA YA BARABARA

MRADI

MRADI WA UKUZAJI USAFIRI, BIASHARA NA MAENDELEO KANDA YA AFRIKA MASHARIKI (EARTTDFP)

JINA LA TABA

MKA-

HUDUMA ZA USHAURI KUHUSU YA MAENDELEO YA SERA KWENYE MAKAZI YA HUDUMA NDANI YA HIFADHI ZA BARABARANI

MAREJELEO.

KE-MOTI-303040-CS-QCBS

IMETOLEWA

4 APRILI, 2023

1.

Serikali ya Kenya imepokea ufadhili kutoka kwa Benki ya Dunia kugharamia Mradi wa Ukuzaji Usafiri, Biashara na Maendeleo Kanda ya Afrika Mashariki (EARTTDFP) na inakusudia kutumia sehemu ya mapato kwa huduma za ushauri.

5638-KE

2.

Idara ya Barabara (SDoR) ni Idara iliyo chini ya Wizara ya Barabara na Uchukuzi na Chombo cha Utekelezaji wa mradi huu.

NA YA RFB:

KE-MOTI-321786-GO-RFB

3.

IMETOLEWA:

4/4/2023

Huduma za ushauri (“Huduma”) ni pamoja na Utoaji wa Huduma za Ushauri kwa ajili ya kuunda sera ya upangaji wa huduma ndani ya hifadhi za barabara, makadirio ya kiwango cha juhudi ni miezi 25 ya wafanyikazi, muda wa utekelezaji wa miezi 6, tarehe inayotarajiwa ya kuanza kwa kazi ikiwa Mei 2023, kuhakikisha uwiano kamili na TOR iliyoambatishwa au inayorejelewa katika REOI hii.

4.

Sheria na Masharti ya kina (TOR) ya kazi inaweza kutazamwa au kupakuliwa kutoka kwa www.transport.go.ke/ au katika Tovuti ya Taarifa ya Ununuzi wa Umma http://tenders.go.ke

5.

Idara ya Barabara (SDoR) sasa inakaribisha kampuni za ushauri zinazostahiki (“Washauri”) ili kuonyesha nia yao ya kutoa Huduma. Washauri Wanaovutiwa wanapaswa kutoa habari inayoonyesha kuwa wana sifa zinazohitajika na uzoefu unaofaa kutekeleza Huduma. Vigezo vya kuorodhesha ni kama vilivyoorodheshwa hapa chini. Wataalamu Muhimu hawatatathminiwa katika hatua ya kuorodhesha fupi.

1.

Serikali ya Kenya imepokea ufadhili kutoka kwa Benki ya Dunia kugharamia MRADI WA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI KUHUSU USAFIRI, BIASHARA NA KUKUZA MAENDELEO, na inakusudia kutumia sehemu ya mapato kwa malipo chini ya mkataba wa Usambazaji, Uwasilishaji na Uwekaji wa Autodesk. Programu ya Usanifu, Uhandisi na Ujenzi (Barabara, Madaraja na Mifereji ya maji).

2.

Idara ya Barabara sasa inakaribisha Zabuni zilizofungwa kutoka kwa Wazabuni wanaostahiki kwa Usambazaji, Uwasilishaji na Usakinishaji wa Programu ya Usanifu wa Autodesk, Uhandisi na Ukusanyaji wa Ujenzi (Barabara, Madaraja na Mifereji ya Maji).

3.

Zabuni itafanywa kupitia manunuzi ya kitaifa yenye ushindani kwa kutumia Ombi la Zabuni (RFB) kama ilivyobainishwa katika “Kanuni za Ununuzi za Wakopaji wa IPF” za Benki ya Dunia za Novemba 2020. (“Kanuni za Ununuzi”), na iko wazi kwa Wazabuni wote wanaostahiki kama ilivyofafanuliwa katika Kanuni za Ununuzi.

4.

Wazabuni wanaostahiki wanaweza kupata maelezo zaidi kutoka Tovuti ya Taarifa ya Ununuzi wa Umma katika www.tenders.go.ke na/au kukagua hati ya zabuni wakati wa saa za kazi 0900 hadi 1600 kwa anwani iliyotolewa hapa chini:

5.

6.

Seti kamili ya hati ya zabuni kwa Kiingereza inaweza kupatikana kwa Wazabuni wanaostahiki kwa kupakua hati ya zabuni kutoka Tovuti ya Taarifa ya Ununuzi wa Umma katika www.tenders.go.ke bila malipo. Wazabuni wanaopakua hati ya zabuni lazima wapeleke maelezo yao mara moja kwa kwa scms@roads. go.ke ili kunakiliwa na mawasiliano ya ufafanuzi wowote wa zabuni. Zabuni lazima ziwekwe kwenye kisanduku cha zabuni kilicho kwenye Orofa ya Chini ya Jengo la Works au kutumwa kwa anwani iliyo hapa chini ili kupokelewa mnamo au kabla ya Alhamisi 4/5/2023 saa 10:00 asubuhi. Zabuni zinapaswa kuandikwa vizuri “USAMBAZAJI, UWASILISHAJI NA UWEKAJI WA USANIFU WA AUTODESK, UHANDISI NA UKUSANYAJI WA PROGRAMU YA UJENZI (BARABARA, MADARAJA NA MAJI) kwa Idara ya Barabara: KE-MOTI-321786-GO-RFB. Zabuni zitakazochelewa zitakataliwa. Zabuni zitafunguliwa mara moja mbele ya wawakilishi wa Wazabuni, ambao wataamua kuhudhuria katika Chumba cha Mikutano, Oofa ya 9, Jengo la Works, Nairobi tarehe 4/5/2023.

7.

Zabuni zote lazima ziambatane na dhamana ya zabuni kwa njia ya Dhamana ya Benki ya shilingi laki tano za Kenya (KES. 500,000) au sawa na sarafu zinazobadilishwa virahisi) ambayo lazima isalie na kutumika hadi na ikijumuisha siku 28 baada ya tarehe ya mwisho wa uhalali wa Zabuni.

8.

Tahadhari inatolewa kwa Kanuni za Ununuzi zinazomtaka Mkopaji kufichua maelezo kuhusu umiliki wa manufaa wa mzabuni aliyefaulu, kama sehemu ya Notisi ya Tuzo ya Mkataba, kwa kutumia Fomu ya Ufichuzi wa Umiliki wa Faida kama ilivyojumuishwa katika hati ya zabuni.

9.

Anwani (zi) iliyorejelewa hapo juu ni (ni): Katibu Kwa: Mkuu wa Huduma za Mfumo wa Usambazaji Idara ya Barabara Works Building, Barabara ya Ngong P.O. Box 30260 - 00100 NAIROBI, KENYA [email protected]

Masharti Makuu i. Barua ya Kuonyesha Nia; ii. Nakala za vyeti vya Kuanzishwa/Usajili au cheti sawa chake katika nchi ya makazi; iii. Nakala ya Cheti halali cha Uzingatiaji Ushuru/kibali kutoka kwa KRA au cheti sawa chake katika nchi ya makazi; iv. Nakala za cheti cha CR 12 kinachotoa taarifa za Wakurugenzi wa makampuni kwa kampuni zilizosajiliwa ambazo zinapaswa kuwa za hivi majuzi ndani ya miezi kumi na miwili (12) iliyopita na nakala za Vitambulisho vya Taifa vya ubia au sawa na hivyo katika nchi ya makazi; v. Nakala ya Kibali halali cha Biashara kutoka kwa Serikali ya Kaunti ambapo biashara inamilikiwa na Kampuni za Kenya; vi. Nakala za Akaunti Zilizokaguliwa zilizoidhinishwa za miaka ya 2020, 2021 na 2022. Akaunti hizo zinapaswa kusainiwa na Mhasibu wa Umma Aliyeidhinishwa.

b)

Uzoefu wa kampuni

i.

Maelezo mafupi ya kampuni na/au makampuni husika ikijumuisha ukubwa, eneo, maeneo ya utaalamu, miaka ya biashara, na uwezo wa kutoa huduma zilizoelezwa hapo juu. Kampuni lazima iwe kampuni inayoheshimika;

ii.

Mzabuni lazima awe kampuni iliyohitimu na yenye uwezo ambayo eneo lake la msingi la biashara linafaa kwa kazi hii na ambaye anaweza kuhamasisha wataalam waliohitimu sana kwa kazi hiyo. Kampuni inapaswa kuwa na uzoefu wa kuwasilisha kwa ufanisi angalau kazi moja inayofanana/kulinganishwa katika kipindi cha miaka minane iliyopita katika utafiti, maendeleo na usimamizi wa miradi ya miundombinu ya barabara. Kampuni LAZIMA iambatishe ushahidi wa maandishi katika mfumo wa mikataba iliyosainiwa au LSOs au ankara kutoka kwa angalau mteja mmoja (1) wa shirika. Kampuni inapaswa kuonyesha wazi aina ya huduma, kiasi cha mkataba, na maelezo ya mawasiliano ya wateja kwa madhumuni ya marejeleo.

iii.

Wasilisha angalau barua moja (1) ya marejeleo kutoka kwa wateja kama uthibitisho kwamba mzabuni ametekeleza mradi sawa/husiani kwa mafanikio. Barua hiyo LAZIMA ipelekwe kwa Katibu, Idara ya Barabara (SDoR).

6.

Tahadhari ya Washauri wanaovutiwa imetolewa kwenye Sehemu ya III, aya, 3.14, 3.16, na 3.17 ya Benki ya Dunia “Kanuni za Ununuzi kwa Wakopaji wa IPF” Novemba 2020 (“Kanuni za Ununuzi”), zinazoweka bayana sera ya Benki ya Dunia kuhusu migogoro ya hamu.

7.

Washauri wanaweza kushirikiana na makampuni mengine ili kuboresha sifa zao lakini wanapaswa kuonyesha wazi kama chama kiko katika mfumo wa ubia na/au mshauri mdogo. Katika kesi ya ubia, washirika wote katika ubia watawajibika kwa pamoja na kwa kiasi kikubwa kwa mkataba mzima, ikiwa watachaguliwa.

8.

Mshauri atachaguliwa kwa mujibu wa Mbinu ya Uteuzi wa Gharama ya Ubora (QCBS) iliyowekwa kwenye Kanuni za Ununuzi.

9.

Taarifa zaidi zinaweza kupatikana katika anwani iliyo hapa chini wakati wa saa za kazi; Jumatatu hadi Ijumaa (Likizo ya Umma imefungwa) kutoka 0800hrs hadi 1700hrs Saa za kawaida.

10.

Maonyesho ya nia lazima yawasilishwe kwa njia ya maandishi kibinafsi mnamo au kabla ya Jumanne tarehe Jumanne, Aprili 25, 2023 saa 10.00 (Saa za Kawaida) na yawekwe kwenye kisanduku cha Zabuni kilicho kwenye Orofa ya Chini, Works Building, Barabara ya Ngong, kinyume cha 48. Mawasilisho ya kielektroniki HAYATAKUBALIWA.

11.

Maonyesho ya nia lazima yawasilishwe kwa njia ya maandishi kwa anwani iliyo hapa chini ana kwa ana, mnamo au kabla ya Jumanne, Aprili 25, 2023 saa 10.00 (Saa za Kawaida).

12.

Anwani (zi) iliyorejelewa hapo juu ni (ni): Idara ya Barabara Kwa: Katibu wa Wizara Anwani: Works Building, Barabara ya Ngong Nairobi

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Agency bags diversity and inclusion award as it trains its eyes on STEM education development BY YOBESH ONWONG’A

T

he Centre for Mathematics, Science, and Technology Education in Africa (CEMASTEA) has bagged the diversity and inclusion award as it focusses on the development

of Science, Technology, Engineering and Mathematics (STEM) Education in Africa. In the recent 5TH Edition of the Gala Awards dubbed “Diversity and Inclusion Awards & Recognition (DIAR),” the institution emerged as the overall win-

ner in the category of best state agency on Diversity, Equity, Inclusion and Belonging (DEIB), emerging as top employer brand. The National Diversity and Inclusion Awards & Recognition (DIAR Awards), is an initiative

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

UZUIAJI

KOMESHA

APRILI 4, 2023

MATANGAZO | 13

that recognizes employers, institutions, organizations, and individuals who champion for Diversity, and promote Equity, Inclusion, and Belonging (DEIB), in the workplace and society. Speaking after receiving the award, Jacinta Akatsa, CEMASTEA CEO noted that over the years, the institution has created an outstanding, inclusive workplace environment for its staff and external stakeholders. “The Centre has taken a

proactive approach in identifying and addressing the needs of its clients with disabilities, making physical accommodations to the infrastructure-ramps, rails, and accessible toilets to aid for their day-to-day movements,” said Akatsa. Further, the CEO observed that the centre plans and implements Continuous Professional Development (CPD) through In-Service Education and Training for practicing curriculum implementers both in public and private in-

stitutions in Kenya and Africa. Akatsa disclosed that the focus of the trainings mainly is to enhance Pedagogical Content Knowledge and integration of ICT in teaching and learning for curriculum implementers. “The Institution also builds capacity of Science, Technology and Engineering teachers on learner centered pedagogical approaches such as Inquiry Based Learning (IBL), Project Based Learning (PBL) and modeling of lessons,” she said.

WIZARA YA KILIMO NA USTAWISHAJI WA MIFUGO IDARA YA USTAWISHAJI WA MIFUGO

NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA 2023 Maombi yanaalikwa kwa ajili ya kozi za Diploma na Cheti zinazotolewa katika Vyuo vya Mafunzo katika Idara ya Maendeleo ya Mifugo. Barua ya maombi inapaswa kutumwa kwa Mkuu wa taasisi inayopendelewa ili iwafikie kufikia tarehe 19 Mei, 2023. Mahitaji ya maombi ni kama ifuatavyo: Agizo la pesa au hundi ya benki ya Kshs. 1,000 (isiyoweza kurejeshwa), mawasiliano yako ya simu na barua pepe, nakala za vyeti vyako vya kitaaluma, kitambulisho chako cha kitaifa, cheti cha kuacha shule ya sekondari na picha mbili za hivi karibuni za saizi ya pasipoti. Maombi ya kozi ya ukaguzi wa nyama yanaweza kufanywa mwaka mzima.

KOZI ZA CHETI S/N

KOZI

TAASISI

KIWANGO CHA MAHITAJI

MUDA NA KARO

2

Certificate in Animal Health and Range Management

Livestock Training Institute Wajir AHITI-Kabete

A) i) KCSE Mean Grade Cii) Biology COR B)Credit in 1-year Certificate in: Agriculture/ Dairy Production Management/Range Mgt/Wildlife Heath/Animal Science/ Animal Husbandry/Animal Production/ Leather Technology For (B) above an applicant must possess at least D in Biology in KCSE

2 years Kshs 136,700 (4 Semesters)

3

Certificate in Leather Technology

AHITI-Kabete

KCSE mean grade D+ with Chemistry D+ and Biology D+ ii). Holders of KCE/EACE with a Division III. iii). Holders of an “A” level certificate. iv). Equivalent qualification to the above from institutions recognized by the Institute Examination Council.

2 years Kshs 123,700 (4 Semesters

4

Upgrading Certificate course in Animal Health

AHITI-Kabete LTI Wajir

i)

1 Year (2 semesters) Kshs 84,300

5

Certificate in Dairy Production and Management

Dairy Training Institute Naivasha

i. ii.

6

Certificate in Dairy Technology & Management

Dairy Training Institute Naivasha

KCSE Mean Grade Biology

7

Meat Inspection Course

Meat Training Institute Athi River

BSc. Or Diploma or Certificate in Animal Health and Production or Animal Health and Range Management

6 months Kshs 77,500 January & July intakes

8

Abattoir Instructors Course

Meat Training Institute Athi River

Meat Inspection Certificate

10 weeks Kshs 45,000

9

Certificate in Footwear Design & Technology

AHITI-Kabete

KCSE Mean Grade Chemistry

1 Year Kshs 93,950 (2 semesters)

10

Certificate in Dairy Farm Technician

Dairy Training Institute Naivasha

KCSE certificate and OR experience in Dairy farming or processing

6 Months Kshs 47,800

11

Certificate in Dairy Plant Technician

Dairy Training Institute Naivasha

KCSE certificate and OR experience in Dairy farming or processing

6 Months Kshs 47,800

KOZI ZA DIPLOMA S/N

KOZI

TAASISI

KIWANGO CHA MAHITAJI

1

Diploma in Animal Health and Production

AHITI -Kabete AHITI -Ndomba AHITI -Nyahururu

A) i) KCSE Mean Grade ii) Biology or Biological sciences iii) Chemistry or Physical science iv) Mathematics or Agriculture

MUDA NA KARO C C CC-

2 1/2 years (5 Semesters) Kshs 210,300

B) Certificate in Animal Health and Production OR Credit Certificate in 2 years DST/Agriculture/Range Management /Wildlife Health/Animal Production/Animal Husbandry For (B) above an applicant must possess at least D in Biology in KCSE 2

3

Upgrading course to Diploma in Animal Health and Production

AHITI-Nyahururu Livestock Training Institute (Wajir)

2 years Certificate in Animal Health and Production OR Animal Health and Range Management from an institution recognized by KVB

1 year (3 Semesters) Kshs 111,300

Diploma in Animal Health and Range Management

AHITI-Kabete

A) i) ii) iii) iv)

2 1/2 years (5 Semesters) Kshs 210,300

KCSE Mean Grade Biology or Biological sciences Chemistry or Physical science Mathematics or Agriculture

C C CC-

B) Certificate in Animal Health and Product OR Credit Certificate in 2 years DST/ Agriculture/Range Management / Wildlife Health/Animal least D in Production /Animal Husbandry For (B) above an applicant must possess at Biology in KCSE 4

5

Diploma in Leather Technology

Diploma in Dairy Production and Processing

AHITI-Kabete

Dairy Training Institute Naivasha

A) i) ii) iii ) B)

KCSE Mean Grade Chemistry CAny other one science subject CCertificate in Leather Technology C-

(A) i) KCSE Mean Grade Cii) Biology Ciii) Any other one science subject C(B) Certificate in DST or CDM or DPM or DTM or Agriculture - Credit and above

2 ½ years (5 Semesters) Ksh 211,450

2 ½ years (5 Semesters) Kshs 203,550

KOZI ZA CHETI 1

Certificate in Animal Health and Production

AHITI-Ndomba AHITI-Kabete AHITI-Nyahururu

A) i) KCSE Mean Grade Cii) Biology COR B) Credit in 1-year Certificate in: Agriculture/Dairy Production Management/ Range Mgt/Wildlife Heath/Animal Science/Animal Husbandry/Animal Production/Leather Technology For (B) above an applicant must possess at least D in Biology in KCSE

2 years Kshs 136,700 (4 Semesters)

1. AHITI KABETE P.O. BOX 29040-00625 KANGEMI Tel: 0769702555 [email protected]

4. DAIRY TRAINING INSITITUTE P.O. BOX 449 NAIVASHA Tel: 050-50176 0720718371 [email protected]

ii)

Certificate, Diploma or BSc. in Animal Husbandry, Range management or Wildlife Health An applicant must possess at least D+ in Biology in KCSE KCSE Mean Grade D+ Biology D

2. AHITI NDOMBA P.O. BOX 32-10300 KERUGOYA TEL: 0202096540 0725838096 [email protected]

5. MEAT TRAINING INSTITUTE P. O. BOX 55-00204 ATHIRIVER Tel: 0710985744 0739934687. www.meattraininginstitute.com [email protected]

1 Year Kshs 76,300 (2 semesters)

D+ D

1 Year Kshs 76,300 (2 semesters)

D+ D+

3. AHITI NYAHURURU P.O. BOX 1-20300 NYAHURURU Tel: 0701821444 0731482523 [email protected]

6. LIVESTOCK TRAINING INSTITUTE - WAJIR P.O. BOX 339-70200 Tel: 0725684276 0715408010 0720854369 [email protected]

APRILi 4, 2023

NAIROBI-KENYA I

TOLEO No. 38/2022-2023

Wataalamu waelezea hofu kuongezeka kwa makazi kutishia utoshelevu wa chakula NAMUOKI CHARLES

W

(KNA)

ataalamu wa kilimo wameonya kuwa kupanuka kwa sekta ya ujenzi wa nyumba katika maeneo ya kilimo katika miji kunatishia utoshelevu wa chakula na kunapaswa kuthibitiwa. Naibi Mkurugenzi wa Shirika la Utafiti wa Kilimo na Chakula (KALRO) Felister Makini alisema kwamba maeneo yanayopaswa kutumiwa kwa kilimo katika miji yanaendelea kuchukuliwa na mitaa ya nyumba, mtindo unaotia wasiwasi. Akihutubia washiriki katika maonyesho ya mwaka huu ya Kilimo Biashara Expo katika uwanja wa KALRO Kandara, kaunti ya Muranga, Makini alisema kwamba huku sekta ya nyumba ikiwa na faida, kilimo kinabaki uti wa mgongo wa uchumi wa nchi. “Ardhi ya kilimo katika miji ambayo ingetumiwa kuzalisha chakula inageuzwa kuwa mitaa ya kuishi na nyumba. Ingawa sekta hiyo ina faida, inaendelea taratibu kupokonya miji ardhi ya kilimo,” alisema. Afisa huyo alisema kwamba nchi inaweza kujitosheleza kwa chakula iwapo vijana watakumbatia kilimo na kukom,a kutegemea kazi za kuajiriwa. Alisema kwamba uzal-

KUSHOTO: Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Kenya Agricultural and Livestock Research Organization (KALRO) Felister Makini ahutubia waandishi habari wakati wa maonyesho ya kilimo biashara katika Kenya Agricultural and Livestock Research Organization (KALRO), Kandara, Muranga. JUU: Baadhi ya bidhaa za kilimo kwenye maonyesho ya Kilimo Biashara yaliyoandaliwa katika Kenya Agricultural and Livestock Research Organization (KALRO), Kandara, Muranga.

ishaji wa chakula umeachiwa wazee katika maeneo ya mashambani ambao hawana uwezo unaofaa kuzalisha chakula cha kutosha. “Vijana wanapaswa kujiunga na kilimo kinachotumia tekinolojia mpya. Wanafaa kusaidiwa kwa pembejeo za kilimo na mitandao ya masoko ili kufanya sekta hiyo iwavutie. Hii ndiyo njia muhimu ya

kumaliza uhaba wa chakula ambao umekuwa ukikumba nchi,” alisema. Kelvin Nairo, anayefanya kazi katika kampuni ya Western Seeds Company aliomba serikali kuwazia kuwa na mpango wa ruzuku ambao utapunguza bei ya pembejeo za kilimo. Alisema kwamba kilimo kimekuwa ghali na kuletea wakulima faida ndogo, na kufanya wakulima wengi kuamua kuwekeza katika

sekta zenye faida kubwa. Robert Musyoka, ambaye ni mkurugenzi katika KALRO, alisema kwamba shirika hilo limeanza kufunza wakulima tekinolojia mpya akisema Kilimo Biashara Expo 2023 ni mojawapo wa hafla hizo M u s yo k a alisema kwamba wanahimiza wakulima kutumia apu za dijitali kujua watakapopata mvua miongoni mwa manufaa mengine ya dijitali.

KRA yavuna zaidi huku mapato kutoka sekta ya kamari yakiongezeka maradufu NA TREPHER LESLIE (KNA)

M

apato kutoka kwa sekta ya kamari na bahati nasibu imeendelea kuimarisha na kunufaisha Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru ya Kenya (KRA). Kulingana na takwimu kutoka kwa Mamlaka hiyo ya Ukusanyaji Ushuru, mapato kutoka kwa kampuni za bahati nasibu yamekuwa yakiongezeka mwaka baada ya mwaka. Akizungumza katika warsha ya uhamasishaj Nairobi, meneja mkuu wa Idara ya Ushuru wa Nyumbani wa KRA Bi Miriam Sila alisema

kwamba mamlaka hiyo inafurahishwa na ongezeko la ushuru kutoka kampuni za kamari na inatarajia kupata zzaidi. Bw Sila alifichua kwamba mwaka wa kifedha wa 2021/2022, Mamlaka ya Ushuru ilikusanya Sh21 bilioni, ikiwa ya juu zaidi kurekodiwa tangu kuanzishwa kwa ushuru wa kamari. Meneja huyo mkuu alisema kwamba KRA inakadiria kukusanya Sh24 bilioni na kufikia imekusanya Sh15. 8 bilioni kutoka kwa kamari na Michezo ya Bahati Nasibu. “Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru inajivunia mapato ya Sh50 bilioni. KRA imeunganisha mifumo yake

na kampuni kumi na sita za kamari ya spoti na inatarajia kuunganisha zingine 20 ikiwa ni sawa na asilimia 96 ya soko,” alisema Bi Sila. Alifichua kuwa kuna zaidi ya kampuni za kamari zaidi ya mia moja na sabini zilizo na leseni za kuhudumu nchini. Kuna zaidi ya casino 50 zilizo na leseni Kenya, nyingi zikiwa katika miji mikubwa Blackjack, Roulette na Poker ni miongoni mwa michezo maarufu ya mezani nchini Kenya,” aliongeza Sila. Alisema kwamba kampuni za kamari zinahitajika kujisajili kwa ushuru kupitia iTax ambayo imeunganishwa

kwenye mtandao. Mfumo huo unaruhusu walipa ushuru kusajili kwa ulipaji ushuru wa aina tofauti, kurudisha ripoti za ushuru na kuuliza maelezo ya moja kwa moja ya rekodi au mapato yao na kutuma maombi ya kusamehewa adhanu na riba ya ushuru. Sila alithibitisha kuwa kampuni za kamari sasa zinawasilisha ushuru kila siku na zimetengewa mameneja wanaofuatilia ulipaji. Aliongeza kuwa kamari ni maarufu miongoni mwa vijana na hivyo mapato yanayokusanywa yanalipwa kwa Hazina ya maendeleo ya Spoti, Sanaa na jamii lengwa.

KWA UFUPI Serikali kujenga eneo la Viwanda kaunti ya Busia Serikali, kupitia kwa Wizara ya Biashara na Viwanda hivi karibuni itaanzisha Eneo la Viwanda katika kaunti ya Busia katika juhudi za kufanya kaunti hiyo ya mpakani kuwa na viwanda. Akizungumza na wanahabari katika ziara ya eneo linalopendekezwa Nasewa, Kaimu Meneja Mkuu wa Mamlaka ya Utengenezaji bidhaa za Kuuza nje ya Nchi (EPZA), Alice Atogo, alisema kwamba mpango huo ni sehemu ya agizo la rais la kuanzisha mpango wa EPZ katika sehemu tofauti za nchi. “Kaunti sita tayari zimetambuliwa ikiwemo Busia, Nakuru, Murang’a, Kakamega na Kirinyaga kwa mpango huu wa kujenga maeneo ya viwanda,” alisema. Atogo alieleza kuwa mpango huo utasaidia kubuni nafasi za ajira na kuongeza thamani bidhaa. “Hatutaunda nafasi za ajira pekee kwa wale watakaofanya kazi katika kituo hicho lakini pia kwa wakulima wa eneo hilo na wafanyakazi wao,” alisema na kuongeza kuwa hii itasaidia kuongeza mapato katika eneo hilo. Alisema kwamba eneo hilo la Viwanda litahusika na samaki, nazi, matunda, mhogo, pamba

madini, simsim, njugu na alizeti na ufugaji wa nyuki. Mhandisi Alex Mumbo, kutoka Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Kenya, alisema kwamba waliotembelea eneo hilo kutathmini ufaafu wake kwa shughuli hiyo iliyopendekezwa. “Tunatarajia kwamba kwa ushirikiano na Serikali ya Kaunti, malengo haya yataunganishwa na matarajio ya jamii ili serikali zote mbili zitimize malengo yake,” alisema. Alisema kwamba ardhi ni faafu na kuna haja ya kufanya usoroveya ili kubaini aina ya miundomsingi itakayowekwa hapo. “Tunatarajia kituo ambacho kitahudumia eneo hili kwa miaka 50 hadi 60 ijayo,” alisema na kuongeza kuwa serikali itatumia ekari 850 za ardhi kuweka miundo misingi itakayohudumia wateja. Afisa huyo alieleza kwamba EPZ itatumia mali ghafi kutoka eneo hilo na itaunda bidhaa kamili na nusu kamili za kuuza nje ya nchi. Alihakikishia wakazi wa eneo hilo ambao wamekuwa wakitumia ardhi hiyo kwa kilimo cha muda kwamba watapatiwa ilani kabla ya ujenzi kuanza. Wakazi wa eneo hilo walikaribisha hatua hiyo na wakaomba serikali kujenga uwanja mdogo wa ndege ikianza kujenga EPZ.. Na Salome Alwanda(KNA)

Kenya kushiriki katika maonyesho ya petroli Kampala Matayarisho yanaendelea ya Kenya kushiriki katika kongamano lijlalo na maonyesho ya petroli linalopangwa kufanyika Mei 9 2023 Kampala, Uganda. Katibu wa Idara ya Serikali ya Petroli Mohamed Liban, alisema kwamba Kenya tayari inashiriki katika mikutano ya maandalizi ya hafla hiyo inayoitwa EAPCE’23. Hili litakuwa Kongamano la 10 na Maonyesho ya Petroli linaloleta pamoja wadau kutoka ukanda wa Afrika Mashariki na kwingine. Kongamano hilo na Maonyesho lilianzishwa mwaka wa 2013 na linaandaliwa na mataifa washirika kwa mzunguko. Kongamano lililopita liliandaliwa Mombasa, Kenya Mei 2019 na kuhudhuriwa na wajumbe 850. Makala ya 10 yatakayofanyika Uganda, 2021, hayakuandaliwa kutokana na changamoto za janga la CCovid-19.Kongamano linalokuja, lina mada ya “ Afrika Mashariki kama kitovu cha uwekezaji katika uchimbaji wa rasilmali za mafuta kwa maendeleo endelevu ya kawi na uchumi jamii.” Mambo yatakayozungumziwa ni uchimbaji na Ustawi, maendeleo ya miundomsingi na nafasi za uwekezaji.

Kutakuwa na vibanda 60 vya maonyesho vya nchi washirika, mashirika ya serikali, kampuni za gesi na mafuta, taasisi za kifedha, kampuni za bima na wadau wengine kutoka eneo hilo. Zaidi ya hayo, zaidi ya mawasilisho 120 yatafanywa kuhusiana na mada. Kati ya haya, mawasilisho 40 yamefanywa na Kenya pekee. Katibu alihakikishia Wakenya kwamba maandalizi ya mpango wa maendeleo wa nyanyani (FDP) ya visima vya mafuta vya Lokichar, kaunti ya Turkana unaendelea. Bw Liban alisema kwamba zoezi hilo linatekelezwa na Mamlaka ya Kuthibiti Kawi na Petroli (Epra). Maafisa wa kiufundi wa petroli kutoka kwa idara ya serikali na Epra wanasaidiwa na maafisa wa kisheria wa serikali kuharakisha stakabadhi haina makosa. Bw Liban alikuwa akijibu maswali kutoka kwa Kamati ya Bunge kuhusu kawi wakati wa wasilisho kuhusu jukumu la Idara ya Serikali Mombasa. Alisema kwamba kuchelewa kukamilishwa kwa stakabadhi hiyo kulitokana na mlipuko wa janga la Covid-19 na uchaguzi mkuu wa mwaka jana.

Na Njoroge Mwaura (PCO)

DESIGN AND EDITING OF MYGOV WEEKLY BY THE KENYA YEARBOOK EDITORIAL BOARD NHIF Building , 4th Floor, P.O. Box 34035-00100 Email: [email protected] Tel: 0202715390 / 0757029456 www.kenyayearbook.co.ke

Get in touch

Social

© Copyright 2013 - 2024 MYDOKUMENT.COM - All rights reserved.