MyGov NOVEMBA 29, 2022 Flipbook PDF

MyGov NOVEMBA 29, 2022

73 downloads 107 Views 10MB Size

Story Transcript

UTAMADUNI Tamasha za Kitamaduni za zanoga huku maelfu ya watalii wakihudhuria Uk 6 BURUDANI Watengenezaji filamu kupokea leseni moja kwa moja kutoka KFCB kuanzi Desemba UK 3 MAKAZI Ujenzi wa nyumba nafuu kuanza huku mwanakanadasi akikabidhibiwa eneo la ujenzi UK 5 TATHMINI YAKO YA WIKI www.mygov.go.ke TOLEO No. 22/2022-2023 NOVEMBA 29, 2022 UFUATILIAJI NA HUSSEIN ABDULLAHI (KNA) Mamlaka ya Taifa ya Uchukuzi na Usalama (NTSA) na washirika imezindua mfumo wa utakaogharamu Sh2.2 milioni wa kamera (CCTV) kufuatilia malori ya safari ndefu katika ukanda wa Kaskazini. Barabara za ukanda wa Kaskazini ni njia muhimu ya uchukuzi hadi nchi za Afrika Mashariki na Kati za Burundi, Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), Kenya, Rwanda, Sudan Kusini na Uganda. Mtandao mkuu wa Uchukuzi ukanda wa Kaskazini umeunganishwa na Bandari ya Mombasa na unajumuisha barabara, reli ya Shirika la Reli la Kenya na Shirika la Reli la Uganda, uchukuzi wa reli na Ziwa, njia za majini kwenye maziwa ya ndani ya nchi, vituo vya makontena za ndani ya nchi maarufu kama ICDs, Bandari ya Tororo Inland na Bomba la mafuta. N T SA i me a n z i s ha mpango huo wa mamilioni wa CCTV ambao utasaidia wamiliki wa malori ya usafirishaji wa bidhaa kufuatilia shughuli za madereva wakiwa safari kwenye Ukanda wa Kaskazini. Kamera hizo zitawekwa katika maeneo hatari kwa Kamera kuwekwa kwenye barabara kufuatilia malori NTSA inasema kwamba tekinolojia ya kusimamia safari inayoitwa Checkmate itatoa jukwaa muhimu kwa wamiliki wa malori kufuatilia, kutathmini na kupanga safari za barabara za kila aina na kuzuia ajali kwenye barabara kuu Bodi yaonya kuhusu ongezeko la visa vya watu kujitibu NA JUDY SHERI (PCO) Bodi ya Kuthibiti Dawa na Sumu imeonya Wakenya dhidi ya kujitibu na badala yake wanunue dawa wanazoandikiwa na wataalamu wa afya walio na leseni. Onyo hili, bodi ilisema, linanuiwa kuepuka hali ya mili kuzoea dawa jambo ambalo ni tishio kwa afya ya umma kote ulimwenguni. Bodi inaonya kuwa kujitibu na dawa za kuua bakteria kunaweza kusababisha matitizo yanayohusisha na mili kukosa kinga, kuzidisha dawa, matumizi mabaya ya dawa na hata kifo. Dkt Karim Wanga, Mkuu wa Ufuatiliaji wa Baada ya Uuzaji katika Bodi ya Kuthibiti Dawa na Sumu alishauri umma dhidi ya kujitibu na kununua dawa madukani alipokuwa akihutubia washiriki Nairobi katika mkutano wa Chama cha Matabibu Kenya (KMA) kuadhimisha wiki ya uhamasishaji wa dawa za kuua bakteria ulimwenguni. “Umma, watoaji huduma za afya na vituo vya afya vina jukumu la kutekeleza katika kuhakikisha matumizi yanayofaa ya dawa zikiwemo za kuua bakteria. Hii inaweza kupunguza kuzuka au kuenea kwa visa vya ukosefu wa mwili kukosa kinga dhidi ya bakteria hizi,” ENDELEA UK 2 ENDELEA UK 2 10,000 Miche ambayo imepandwa kwenye msitu wa Mukogodo, kaunti ya Laikipia kwa lengo la kuhifadhi mazingira ya sehemu hiyo 40 Idadi ya nyumba za chumba kimoja zinazojengwa katika awamu ya kwanza ya mpango wa makazi nafuu kaunti ya Homa Bay 7.2M Gharama ya vifaa vya matibabu vilivyopelekwa katika hospitali ya Chuka Referral, Tharaka Nithi na serikali za Hungary na Austria 9B Kiasi cha pesa wakulima kutoka Murang'a wanapata kila mwaka kutokana na mauzo ya avocado 4000 Wahamiaji kutoka Ethiopia ambao serikali imeagiza warudi nchini mwao mara moja 2000 Mwaka ambapo Lamu Cultural Festival, ambayo sherehe zake hufanyika Mji wa Kale, ilizinduliwa Takwimu za Wiki Wasiwasi uliopo ni kuchipu- ka kwa viini ambavyo ni sugu dhidi ya dawa zilizopoDkt Wanga


NOVEMBA 29, 2022 2 | MATANGAZO NOVEMBA 29, 2022 Funika mdomo unapopiga chafya Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza Jitenge na walio na virusi Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi Hakikisha maeneo yote ni safi MATANGAZO | 3 H O MA K KI O H OZI UK HS NI D W A KUPUMUA MAUM VI U KOONI UK UMW A NA KICHWA DALILI UZUIAJI KOMESHA KOMESHA “ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa” ajali katika barabara kuu. Uzinduzi wa mradi ambao ulifanyika Mombasa ni matokeo ya ushirikiano kati ya NTSA na kampuni ya kibinafsi ya usalama barabarani, Pioneer Road Safety Consultant Limited (PRSC). Lengo la kuhakikisha majshatns vifaa vinalindwa barabarani kupitia mipango ya usalama. PRSC imekuwa ikiendesha vituo 13 vya ukaguzi tangu ilipoanzishwa 2017 kuhakikisha madereva wako salama na katika hali nzuri ya kuendelea na safari zao. Kampuni hiyo imeunda huduma ya kusimamia safari inayoitwa ‘Checkmate’ ikiwa na vituo katika barabara kuu za uchukuzi ukanda wa Kaskazini. Hivi majuzi, kampuni hiyo iliongezeka vituo mbili kstlt Idudi na Tororo nchini Uganda. Amakobe alisema kwamba inachofanya kampuni hiyo ni kusimamia safari za dereva yakiwemo maslahi ya dereva na tabia nzuri barabarani katika vituo vyote vya ukaguzi. “Tuko na kampuni 75 za uchukuzi zinazotumia huduma zetu, kufikia sasa tunashughulikia madereva Wapato 15,000 wa malori barabarani tangu tulipoanza kampuni 2017 na wamekuwa salama tangu wakati huo,” alisema Amakobe Alisema kwamba mpango huo umefadhiliwa na mmoja wa wateja wao, Motrex Limited kwa Sh1.7 milioni pamoja na ada za utengenezaji. Kampuni hiyo pia imetoa vivuta pumzi tisa kwa gharama ya Sh92, 000 kila moja na ada ya urekebishaji ya Sh7, 000 kwa mwaka. Akizungumza katika hafla hiyo, meneja wa ukanda wa Pwani wa NTSA Bi Eva Nyawira alisifu mpango huo akisema utaleta mabadiliko nchini ambayo yasaidia kupunguza ajali za barabarani na kuhakikisha usalama wa madereva katika barabara kuu. Bi Nyawira anasema kwamba tekinolojia ya usimamizi wa safari inayoitwa Checkmate itatoa jukwaa muhimu kwa wamiliki wa malori kufuatilia, kutathmini na kupanga safari za barabara za kila aina na kuzuia ajali kwenye barabara kuu. alishauri Dkt Wanga. Daktari huyo alisema kwamba ingawa dawa za kuua bakteria zimeokoa maisha ya mamilioni ya watu kwa miaka mingi, kuzitumia kwa wingi, matumizi mabaya katika afya ya binadamu, afya ya wanyama, sekta ya mimea, ufugaji wa samaki na utupaji mbaya wa dawa hizo unaongeza ukosefu wa kinga dhidi ya bakteria (AMR). Dkt Wanga aliongeza kuwa dawa bora za kuua bakteria zinahitajika kwa huduma za kinga na uponyaji wa matatizo ya afya, akisema zinapotumiwa vyema, zinakinga wagonjwa kutoka maambukizi yanayosababisha kifo na kuimarisha matokeo katika matibabu kama vile upasuaji na matibabu ya kansa kwa wagonjwa ambao kinga ya mili yao imepungua. lisema AMR inasababishwa na matumizi mabaya, matumizi yasiyofaa, na kuzidisha dawa katika watu, wanyama, mimea na ufugaji wa samaki. Daktari huyo pia alitaja sababu zingine kama mbinu duni za utupaji na uwepo wa dawa za kuua bakteria katika mazingira, vyanzo vya maji na mito. Aliongeza kuwa ingawa Kenya imetayarisha na kuchapisha miongozo kadhaa kuhusu uzuiaji wa AMR, miongozo hii haijatumiwa kikamilifu. Hasara ya AMR kwa uchumi kote ulimwenguni inakadiriwa kuongezeka hadi dola za Amerika 100 trilioni ifikapo 2050. “Wasiwasi mkubwa ni kuzuka na kusambaa kwa bakteria zinahimili dawa, ambapo inaonekana tutakosa njia za matibabu,” aliongeza na kushauri ufuatiliaji mkubwa unafaa kwa dawa zinazotumiwa kutibu Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria. “Kuna matumaini katika vita dhidi ya AMR. Tunaweza kuzuia kuzuka kwa hali mpya au kuzuia na kupunguza kuenea kwa hali hii,” alisema. Bodi yaonya huku visa vya watu kujitibu vikiongezeka Kamera kuwekwa kwenye barabara kufuatilia malori Dkt Karim Wanga akihutubia wataalamu wa matibabu Kutoka kushoto Newton Wangoo, mwenyekiti wa Kenya Transporters Association, afisa wa NTSA Eva Nyawira na mkurugenzi wa Pioneer Road Safety Consultants (PRSC) Habel Okema wakati wa uzinduzi wa mitambo ya ufuatiliaji wa madereva wa malori. ENDEELEA KUTOKA UK 1 ENDEELEA KUTOKA UK 1 NOTISI YA ZABUNI KNEC is ISO 9001:2015 Certified BARAZA LA KITAIFA LA MITIHANI KENYA 1 Kenya National Examinations Council (KNEC) ni shirika la kiserikali lililoanzishwa 1980 chini ya Sheria ya Bunge, Kenya National Examinations Council Act Chapter 225A of (1980). Sheria hii ilibatilishwa mnamo 2012 na mahali pake kukawa na Kenya National Examinations Council Act No. 29 ya 2012. Baraza hilo limepewa jukumu la kuendesha mitihani ya kitaifa katika ngazi za msingi, upili na kuwatunuku vyeti watahiniwa. 2.0 KNEC inaalika maombi ya tenda kwa wale waliohitimu kwa zabuni zifuatazo: S/No. NAMBARI YA TENDA MAELEZO YA TENDA KUNDI LENGWA 2.1 KNEC/ONT/2022-2023/14 Tenda ya kuondoa vifaa kuukuu na ambavyo haviwezi kukarabatika Wazi 2.2 KNEC/EOI/2022-2023/15 Kurekebisha na kutunza magari Wazi 2.3 KNEC/ONT/2022-2023/16 Framework Contract for Provision of Conference Facilities Open 3.0 Wanaotaka kutuma maombi wanaweza kupata stakabadhi za tenda kutoka kwa tovuti zifuatazo: www.knec.ac.ke au www.supplier.tresury.go.ke. au www.tender.go.ke 4.0 Tarehe ya mwisho kutuma maombi ni Desemba, 2022 saa 4.00 asubuhi Nafasi ya kutuma maombi ni wazi kwa wanaopenda kufanya hivyo. AFISA MKUU MTENDAJI Wazabuni Wenye Nia wanaweza kutazama na kupakua hati za zabuni bila malipo kutoka kwa tovuti ya Mamlaka ya Kutwaa Mali ya Ufisadi: www.assetsrecovery.go.ke. Wazabuni watakaopakua hati za zabuni watahitajika kutoa maelezo yao kwa kujisajilisha katika Afisi ya Kuratibu Usambazaji iliyo katika UAP Toer, Orofa ya 22, Upper Hill wakati wa saa rasmi za kazi. Nakala ngumu ichukuliwe kutoka kwa afisi za Mamlaka ya Kutwaa Mali ya Ufisadi baada ya kuwasilisha ithibati ya malipo ya Kshs 1,000/= (Shilingi Elfu Moja Pekee) katika akaunti ya Kenya Commercial Bank Namba 1210028794 KICC Branch. Hati za zabuni zilizojazwa na kuwekwa kwenye bahasha iliyofungwa na kuandikwa Namba na Maelezo ya Zabuni zitatumwa kwa anwani ifuatayo ama ziwekwe katika Sanduku la Kupokea Zabuni lililo katika UAP Tower, Orofa ya 22 ambapo zitapokewa Jumatano, 14 Desemba 2022 saa 11.00 asubuhi au kabla. Nakala kubwa zitawekwa katika sanduku la kupokea zabuni lililo katika UAP Tower, Orofa 22, Upper Hill. Zabuni zitafunguliwa mara moja baadaye katika chumba cha mikutano cha Mamlaka ya Kutwaa Mali ya Ufisadi katika UAP Old Mutual Tower, Orofa ya 22 chini ya wazabuni au wawakilishi wao watakaoamua kuhudhuria. Zabuni zitakazowasilishwa zikiwa zimechelewa hazitakubaliwa. Kwa maelezo yoyote zaidi, tembelea Afisi ya Kuratibu Usambazaji wakati wa saa rasmi za kazi. Fahamu:-Wazabuni watakaomua kuhudhuria kikao cha ufunguzi LAZIMA wazingatie masharti ya kudhibiti Covid-19 kama ilivyoelezwa na Wizara ya Afya na Mamlaka. Mkurugenzi Mamlaka ya Kutwaa Mali ya Ufisadi. P.O BOX 52420-00100, Nairobi TANGAZO LA ZABUNI Mamlaka ya Kutwaa Mali ya Ufisadi inawaalika wazabuni waliohitimu kwa zabuni ifuatayo. Na. NAMBA YA ZABUNI MAELEZO YA ZABUNI KIWANGO 1. ARA/RT/002/2022-2023 Usambazaji, Uwekaji, Utekelezaji, Utahini, Utoaji Mafunzo, Uzinduzi na Udumishaji wa Mfumo wa Kupanga Biashara (ERP) WAZI MAMLAKA YA KUTWAA MALI


254 703-042000 Tovuti: www.ca.go.ke Head Offi ce CA Centre P.O.Box 14448 Nairobi 00800 Mobile: : 0703042000 Email: [email protected] Coast Regional Offi ce 3rd Floor, NSSF Building P.O.Box 8041 Mombasa 80100 Mobile:0703042152 Email: [email protected] Central Regional Offi ce Ground Floor, Advocates Plaza P.O Box 134 Nyeri 10100 Mobile : 0703042181 Email : [email protected] Nyanza Regional Offi ce 2nd Floor Lake Basin Mall, P.O Box 2016 Kisumu 40100 Mobile: 0703042130 Email: [email protected] Western Regional Offi ce 1st Floor KVDA Plaza P.O.Box 2346 Eldoret 30100 Mobile: 0703042105 Email: [email protected] MWALIKO KWA WARSHA YA UHAMASISHAJI WA WASAMBAZAJI MTANDAONI KUHUSU UFIKIAJI WA FURSA ZA UNUNUZI WA SERIKALI (AGPO) Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya (CA) ni mamlaka inayodhibiti sekta ya ICT nchini Kenya yenye majukumu katika mawasiliano, usalama wa mitandaoni, biashara za mtandaoni, utangazaji na huduma za posta/kutuma na kupokea mizigo. Vilevile, CA ina jukumu la kusimamia rasilimali za kutoa nambari na masafa nchini, kusimamia Hazina ya Huduma kwa Wote (USF) na pia kulinda maslahi ya watumiaji wa huduma za ICT. Kwa mujibu wa sera ya Serikali ya Kenya ya kuzipa biashara zinazomilikiwa na Vijana, Wanawake na Walemavu fursa za ununuzi wa serikali, Mamlaka hii itafanya warsha ya kuhamasisha wasambazaji mtandaoni kuhusu AGPO kama ifuatavyo;


NOVEMBA 29, 2022 4 | MATANGAZO NOVEMBA 29, 2022 Funika mdomo unapopiga chafya Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza Jitenge na walio na virusi Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi Hakikisha maeneo yote ni safi MATANGAZO | 5 H O MA K KI O H OZI UK HS NI D W A KUPUMUA MAUM VI U KOONI UK UMW A NA KICHWA DALILI UZUIAJI KOMESHA KOMESHA “ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa” MRADI WA KILIMO CHA HEWA SAFI KENYA (KCSAP) MWALIKO WA ZABUNI (HUDUMA ZA USHAURI – KUTEUA MASHIRIKA) MRADI WA KILIMO KINASTAWISHA TABIA-NCHI KENYA (KCSAP) Nchi Kenya Jina la Mradi Mradi wa Kilimo cha Hewa Safi Kenya Namba ya Mradi P154784 Namba ya Mkopo 5945-KE Jina la Kazi Huduma za Ushauri katika Kutayarisha Ripoti ya Kumaliza Mradi Namba ya Marejeleo KE-MOALF-326579-CS-CQS Serikali ya Kenya imepokea ufadhili kutoka kwa Benki ya Dunia kugharamia Mradi wa Kilimo cha Hewa Safi na inalenga kutumia sehemu ya fedha hizo kwa huduma za ushauri. Huduma za Ushauri (“Huduma”) zinajumuisha Huduma za Ushauri za Kutayarisha Ripoti ya Kukamilisha Mradi (PCR). Malengo ya Mradi na Masuala Maalum Serikali ya Kenya inatafuta washauri waliohitimu kufanya kazi pamoja na kikosi cha KCSAP kuandaa PCR. Lengo kuu la kazi hiyo ni kutathmini ikiwa mradi huo umetimiza malengo yaliyokusudiwa; na kunakili mafunzo muhimu yaliyoibuka kutoka kwa utekelezaji wake. Muda utakavyosonga, mshauri atatathmini hati muhimu, akutane na maafisa wa Serikali, Mfadhili na washikadau wengine kutafuta maoni yao, na kufanya ziara za nyanjani, na kuandaa PCR. Mradi wa Kilimo cha Hewa Safi Kenya unawaalika wazabuni walihitimu (“Washauri”) kuonyesha nia yao katika utoaji wa Huduma hizo. Washauri wenye nia wanafaa kutoa maelezo yanayoonyesha kuwa wana uhitimu unaohitajika na tajriba ya kutosha kutoa Huduma hizo. Utaratibu wa uteuzi • Awe amesajiliwa na kuhudumu kwa miaka mitano • Awe ameonyesha tajriba hiyo katika miradi iliyofadhiliwa na Benki ya Dunia kwa miaka mitano iliyopita • Aonyeshe tajriba na ujuzi wa angaa miaka mitano iliyopita katika ukamilishaji wa unakili wa ripoti katika miradi sawa au inayohusiana katika ufadhili. • Angaa tajriba ya miaka mitano katika utengenezaji, utathmini na ukaguzi wa miradi ya kilimo • Angaa tajriba ya miaka mitatu katika utengenezaji wa mifumo ya IRR/ERR ya miradi ya uwekezaji wa kilimo. • Angaa tajriba ya miaka mitano katika ustawishaji wa kilimo na maeneo ya mashambani, utathmini na ukaguzi wa miradi na mipango ya kilimo Wataalamu muhimu hawatatathminiwa katika kiwango hiki Washauri wanaweza kushirikiana na mashirika mengine ili kuongeza nafasi ya kuhitimu kwao, lakini wanafaa kuonyesha ikiwa ushirikiano wao ni wa pamoja na/au wa muda. Ikiwa ushirikano huo ni wa pamoja, washirika wote katika ushirikiano wa pamoja watahusika katika zabuni yote, ikiwa watateuliwa. Washauri wenye nia wanaraiwa kuangalia sehemu 1.9 ya Mwongozo wa Benki ya Dunia: Uteuzi na Uajiri wa Washauri (chini ya Mikopo ya IBRD na Misaada na Mikopo ya IDA) na Wakopaji wa Benki ya Dunia (ya Januari 2011 na kutathmimiwa Julai 2014 (“Miongozo ya Washauri”), ikiweka wazi sera ya Benki ya Dunia kuhusu watu wanaolenga kujifaidi. Mshauri atateuliwa kulingana na Utaratibu wa Kubaini Uhitimu wa Mshauri (CQS) kama ulivyo katika Kanuni za Benki ya Dunia: Uteuzi na Uajiri wa Washauri. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana kutoka kwa Mshirikishi wa Kitaifa wa Mradi, Mradi wa Kilimo Safi Kenya, aliye katika Capitol Hill Towers, Orofa ya 3, Cathedral road, Nairobi kutoka Jumatatu hadi Ijumaa, bila kuzingatia wikendi na sikukuu za kitaifa kutoka saa 8.00 asubuhi hadi saa 5.00 jioni. Zabuni lazima ziwasilishwe kwa njia ya maandishi kupitia anwani ifuatayo, kwa barua au barua pepe iliyoandikwa kwa:- Katibu, Idara ya Ustawishaji wa Mazao, SL.P. 30028 -00100 Nairobi, Kenya na kuwekwa katika Sanduku la Zabuni lililo katika Eneo Kuu la Mapokezi la Jumba la Kilimo-Orofa ya Chini, Cathedral Road Nairobi, Desemba 13, 2022 saa 11.00 asubuhi au kabla zikiwa zimeandikwa Huduma za Ushauri katika Kutayarisha Ripoti ya Kukamilisha Mradi Washauri wanaolenga kutuma zabuni zao kupitia barua pepe wanafaa kuzituma kwa [email protected], Mradi wa Kilimo cha Hewa Safi (KCSAP) Desemba 13, 2022 saa 11.00 asubuhi au kabla. Hati zitakazowasilishwa ziwe zimeandikwa ‘Huduma za Ushauri katika Kutayarisha Ripoti ya Kukamilisha Mradi.” Msimamizi Mkuu wa Huduma za Uratibu wa Usambazaji Kwa; Katibu Idara ya Ustawishaji wa Mazao NA SEBASTIAN MIRITI, KNA Serikali imeagiza wahamiaji haramu wapatao 4,000 kutoka Ethiopia ambao wamepiga kambi katika eneo la Lataka, lokesheni ya Uran kaunti ndogo ya Sololo warudi katika nchi yao mara moja. Kamishna wa Kaunti ya Marsabit Paul Rotich alisema kwamba familia hizo 854 zilizohamia eneo hilo miezi mwili iliyopita ziko nchini kinyume cha sheria na zinafaa kuondoka ili kuepuka mzozo wa kimazingira na afya. Bw Rotich alisema kwamba raia hao wa kigeni sio tu tishio kwa mazingira mbali ni hatari kwa usalama. Kamishna wa Kaunti alisema kwamba uko wa chakula na maji katika nchi yao sio sababu ya kutosha ya kuhamia Kenya kinyume cha sheria kwa kuwa serikali yao ina uwezo wa kuwapa usaidizi. Alisema aliwasiliana na mwenzake wa Ethiopia ambaye alithibitisha kuwa mvua ya kutosha imenyesha katika maeneo waliyotoka. Vile vile, serikali ya Ethiopia imechukua hatua za kusaidia raia wake kukabili ukame. Bw Rotich alisema kwamba ofisi yake imezungumza na idara zingine za serikali na mashirika ikiwemo Shirika Umoja wa Mataifa kuhusu Wakimbizi (UNHCR) na ikagunduliwa kwamba wahamiaji hao hawahitimu kuwa wakimbizi au watafutaji hifadhi Kenya. Kamishna wa Kaunti aliagiza maafisa wa utawala eneo hilo kutekeleza amri hiyo na hakuna mhamiaji haramu anabaki nyuma. Wahamiaji hao walisema kwamba walihamia eneo hilo wakitafuta chakula na maji baada ya ukame kuua mifugo wao wote ambao walikuwa wakitegemea. Serikali yaagiza raia 4,000 wa Ethiopia walio nchini waondoke Msemaji wa wahamiaji 4000 kutoka Ethiopia wanaoishi eneo la Lataka, lokesheni ya Uran Marsabit, akielezea namna ukame uliwafanya wakatoroka makwao. Technical University of Mombasa P.O. BOX 90420-80100 Mombasa, KENYA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MAELEZO KUHUSU CHUO Chuo Kikuu cha Ufundi cha Mombasa (TUM) ni chuo kamili cha ufundi cha umma nchini Kenya kilicho katika Kaunti ya Mombasa chenye wanafunzi 18,622 na wafanyikazi 601. Chuo hiki kinalenga kuongeza kozi zake, idadi ya wanafunzi wanaojiunga nacho na uwezo wake wa rasilimali watu. Ili kutimiza maono yake ya kimkakati ya kuwa chuo kikuu cha viwango vya kimataifa katika kuendeleza ujuzi wa Sayansi na Teknolojia. Ili kutekeleza maono yake, dhamira na malengo yake ya kimkakati, chuo hiki kinapania kuajiri watu wabunifu walio na viwango vya juu vya uadilifu na utaalumu ili kujaza nafasi zifuatazo. S/No Cheo Daraja Kitengo/Kitivo Idara Nafasi 1 Msajili (Usimamizi na Mpangilio) (Kandarasi) 15N Akademia, Utafiti & Ushauri Usimamizi 1 2 Afisa Mkuu wa Sheria (Kudumu na yenye Pensheni) 12N Usimamizi Ofisi ya Kisheria 1 3 Mhasibu Msaidizi II (Kudumu na yenye Pensheni) 8N Usimamizi Fedha 1 4 Mwanateknolojia wa Kutunza (Kudumu na yenye Pensheni) 8N Usimamizi Utunzaji 1 Interested applicants should access the advertisement and detailed descriptions of the requirements of the positions posted in the University Website (www.tum.ac.ke) MWONGOZO WA KUTUMA MAOMBI 1. Maombi yanafaa kujumuisha wasifukazi (CV) iliyosasishwa, yenye maelezo ya umri, sifa za kitaaluma na kielimu, tajriba ya kazi, cheo cha sasa na mshahara, baruapepe, nambari ya smu, jina na anwani za mawasiliano za wasimamizi watatu ambao wanafahamu uwezo wa mwombaji, nakala ya kitambulisho cha taifa, nakala za vyeti husika na ushahidi. 2. Waombaji waliosomea nje ya nchi LAZIMA wawasilishe cheti cha kutambuliwa kutoka kwa Tume ya Elimu ya Vyuo Vikuu (CUE). 3. Maelezo ya vyeti vya kielimu na kitaaluma ambayo hayakuwa yamepokelewa kufikia muda wa kufungwa kwa tangazo hili hayatazingatiwa. 4. Waombaji waliofaulu pekee ndio watatakiwa kutoa vyeti halali vya kibali kutoka kwa tume zifuatazo: a. Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru nchini Kenya. b. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu. c. Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi. d. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai e. Tume Iliyosajiliwa ya Malipo ya Mikopo. 5. Waombaji walioteuliwa na waliofaulu pekee ndio ambao tutawasiliana nao. Waombaji wanavutiwa wanapaswa kutuma nakala sita (6) za maombi yao kwa nafasi zilizo hapo juu. Maombi yenye taarifa za uongo yatachujwa. Barua za maombi na mapendekezo kutoka kwa wasimamizi zinapaswa kutumwa kwa; Vice Chancellor, Technical University of Mombasa, P.O Box 90820-80100. Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi ni tarehe 13 Desemba, 2022. Maombi yatakayotumwa baada ya arehe hii hayatazingatiwa. Tafadhali nukuu nambari ya marejeleo katika ombi lako. Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Mombasa ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote. Wanawake, walemavu na wanaotoka katika jamii maskini wanahimizwa kutuma maombi. Chuo kikuu haki ada yoyote kutoka kwa waombaji.


254 20 5131400 Email Address: [email protected] Website: www.mmarau.ac.ke TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Chuo Kikuu cha Maasai Mara ni chuo cha umma kilichoidhinishwa mwaka wa 2013. Dhamira yetu ni kutoa elimu bora ya Chuo Kikuu kupitia kwa ufundishaji wa ubunifu, utafiti na huduma za ushauri kwa maendeleo. Maelezo zaidi ya Chuo Kikuu chetu yanaweza kupatikana katika tovuti yetu www.mmarau.ac.ke. Ili kutimiza wajibu wetu, Chuo Kikuu cha Maasai Mara kinapania kuajiri watu waliohitimu kwa nafasi zifuatazo. I. Kitengo cha Akademia S. No. Cheo Fani Daraja Nafasi 1. Mhadhiri Mwandamizi Uuguzi wa Tiba ya Upasuaji 13 1 2. Mhadhiri Mwandamizi Stadi ya Uhalifu/ Kriminolojia 13 1 3. Mhadhiri Elimu ya Uuguzi 12 1 4. Mhadhiri Ukunga 12 1 5. Mhadhiri Tiba ya Kifisiolojia 12 1 6. Mhadhiri Uuguzi (Upasuaji wa Kimatibabu) 12 1 7. Mhadhiri Stadi ya Uhalifu 12 1 II. Kitengo cha Usimamizi 1. Meneja wa ICT - Gredi 13 ( nafasi 1 ) Kwa maelezo zaidi kuhusu mahitaji na hatua ya kutuma maombi kwenye nafasi hizi, tafadhali tembelea tovuti yetu www.mmarau.ac.ke. Maombi yanafaa kutufikia mnamo au kabla ya saa kumi na moja jioni tarehe 20 Desemba, 2022. Chuo kikuu cha Maasai Mara ni mwajiri anayetoa fursa sawa kwa wote ambaye amejitolea kufaulisha uanuwai; walemavu, wanawake, vijana na wanaotoka katika jamii maskini wanahimizwa kutuma maombi. Njama yoyote ya kutaka kuendelewa itasababisha kuchujwa


NOVEMBA 29, 2022 6 | MATANGAZO NOVEMBA 29, 2022 Funika mdomo unapopiga chafya Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza Jitenge na walio na virusi Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi Hakikisha maeneo yote ni safi MATANGAZO | 7 H O MA K KI O H OZI UK HS NI D W A KUPUMUA MAUM VI U KOONI UK UMW A NA KICHWA DALILI UZUIAJI KOMESHA KOMESHA “ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa” NA WANGARI NDIRANGU (KNA) Kenya, Uganda na Madagascar, zimeunda ushirikiano wa kuimarisha utendaji wa mfumo wa uongezaji thamani wa mchele zinazozalisha kwa kutegemea ubunifu wa taasisi na ufahamu wa bidhaa kuongeza usambazaji wa chakula hicho kwa raia wa nchi hizo. Mradi huo wa miaka mitatu ambao umekuwa ukiendeshwa chini ya mada ‘ Kutia nguvu sekta ya mchele Afrika Mashariki kuimarisha uzalishaji na ushindani wa mchele (EARiSS), umesaidia wakulima kupunguza pengo lililokuwa likipanuka kati ya uzalishaji na matumizi ya mchele kati kanda hii. Mmoja wa washirika wanaotekeleza mradi huo, Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo Kenya (KALRO) limekuwa likiinua uzalishaji wa mbegu zinazostahili na njia za upatikanaji na pia aina mpya za mchele kuimarisha uzalishaji. Akizungumza wakati wa warsha ya kubadilishana mawazo nchini Kenya ya wakulima wa nchi hizo tatu kuhusu ufanisi wa mradi wa EARiSS, mtafiti wa mchele katika KALRO, Bi Emily Gichuhi, alisema kwamba wameunda kitengo cha mbegu na mfumo, ambacho jukumu lake ni kuzalisha mbegu bora chini ya ukaguzi wa KEPHIS. “Tunatengeneza mbegu zetu nchini na hatuagizi kutoka nje ya nchi, lakini licha ya uzalishaji wa mchele kuongezeka, nchi haijaweza kukidhi mahitaji ya matumizi, ambayo kwa wakati huu ni karibu tani 720,” alisema. Gichuhi alieleza kwamba ili kukidhi mahitaji, mashirika kadhaa, kama vile Kenya Seed na National Biosafety Authority (NBA) yamepatiwa jukumu la kuongeza aina ya mchele inayokuza nyanda za juu, ambayo inahusu aina za mchele za Basmati Pishori na BW, huku KALRO ikiwa na jukumu la kudumisha mbegu za Nerica na pia aina mpya ya Komboka, ambayo inatumiwa na wakulima wengi nchini kwa kuwa inatoa mavuno mazuri. “Aina mpya ya mchele ya Komboka tunayohimiza imegunduliwa kuwa inazalisha tani 7 za mchele kwa hektari ikilinganishwa na Basmati- Pishori inayozalisha kati ya tani 4 na 5 kwa hektari na hivyo basi kupendwa na wakulima,” Gichuhi alisema. Kenyakushirikiana na madagascar na Uganda kupanua uzalishaji wa mchele Michael Mwangi, mtaalamu wa mimea kutoka chama cha ushirika cha Mwea Rice Growers akiwa shambani. Nafaka mpya ya mchele aina ya Komboka ambayo tuna- ivumisha huzali- sha tani 7 kwa ekari-Gichuhi NA ABSALOM NAMWALO/ JOSHUA OPILI, KNA Serikali ya Kenya kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Japan (JICA) imeanzisha mafunzo kwa vijana na wanawake katika kaunti ndogo za Nambale na Bunyala kaunti ya Busia kuhusu mbinu mpya zinazowahakikishia mapato mazuri katika kilimo cha matunda na mboga. Kulingana na Mkurugenzi wa Kilimo wa kaunti ndogo ya Nambale, Jenipher Lutomia, makundi hayo yananuiwa kunufaika na mafunzo yanayolenga kuimarisha ubora wa bidhaa zao. “ Mradi huo wa kuwezesha wakulima wadogo wa mboga na matunda utawapa wakulima wetu ujuzi wa kutambua soko sahihi kabla ya kuanza kulima mazao yanayohitajika,” alisema Lutomia. Alisema kuwa wakut watafunzwa kuhusu mahitaji ya soko na kuelekeza juhudi zote kuzalisha bidhaa bora na kwa wingi, na kuondoa uharibifu mwingi unaotokea wakati utafiti unaofaa wa soko haufanywi. Akitaja changamoto ambazo wakulima hupitia, Mkurugenzi huyo alitaja gharama ya juu ya pembejeo na kutojua kama vikwazo kwa sekta ya kilimo biashara. “Wakati mwingine, mkulima anaweza kununua mbolea, lakini anakosa kufahamu kiasi cha kuweka katika mumea wake,” akasema,” Lutomia. Ongezeko la watu katika maeneo ya mijini na mashambani kumepiga jeki wakulima wa sukuma wiki. Hata hivyo, huku mahitaji yakiongezeka, ardhi inapunguza haraka. Wakulima wakumbatia mbinu ya magunia kuzalisha chakula Tamasha la utamaduni la Lamu lavuma huku maelfu ya watalii wakihudhuria BY HUSSEIN ABDULLAHI (KNA) Tamasha la 20 la Utamaduni wa Lamu linaloadhimishwa kwa mbwembwe na watalii wa humu nchini na wa kigeni limetajwa na serikali ya kaunti hiyo na wadau katika sekta ya utalii kama ‘lililofana zaidi tangu kuanzishwa kwa hafla hiyo.’ Tamasha hilo la utamaduni ambalo lilikamilika juzi na kuvutia watalii wa humu nchini na wa kimataifa limetajwa kama lililofaulu mno na wale waliohojiwa na vyombo vya habari. Tamasha hilo ambalo lilihudhuriwa na watu wengi katika Lamu Archipelago lilifanyika baada ya kusitishwa kwa miaka miwili kutokana janga la corona. Hafla hiyo ya kila mwaka ilifutwa miaka ya 2020 na 2021kutokana na marufuku ya virusi vya corona na mwaka huu kama miaka ya awali, lilionyesha utamaduni mkubwa na urithi wa Waswahili. Tamasha hilo la utamaduni wa Waswahili lilirejea kwa kishindo baada ya janga la Covid-19. Wa d a u wa n a s e m a kwamba hafla hiyo kubwa iliyomalizika mwishoni mwa wiki ilifaulu mno. Tamasha hilo lilionzishwa 2000, kwa kawaida hufanyika katika mji wa zamani, eneo la kihistoria lililotambuliwa na UNESCO mwaka wa 2001 kama eneo la Kukumbukwa Ulimwenguni. Mji wa zamani wa Lamu ni ya kipekee ukiwa umedumu kwa zaidi ya miaka 700 ukiishi watu jambo lilifanya kutambuliwa na Shirika hilo la Umoja wa Mataifa. Lamu Ina historia ndefu; umetembelewa na watu kutoka kote ulimwenguni na wakazi bado huwa wanavumbua vyombo vya udogo kutoka karne ya 14 na ushawishi wa Waarab unaonekana kupitia wakazi wa mji huo. Burundani ya kitamaduni inayofanyika nje na kuandaliwa na serikali ya kaunti ya Lamu inalenga kuinua utalii, biashara na kubadilisha utamaduni katika kisiwa hicho ambacho hakikosi kuvutia wageni. Maonyesho yalikuwa mashairi ya Waswahili, ngoma za kitamaduni, upangaji , Henna, mashindano ya mbio za Nashua, uongeleaji na mbio za punda na harusi ya Waswahili miongoni mwa shughuli zingine zilizonuiwa kutangaza utamaduni wa Waswahili. Tamasha hilo la kila mwaka ni mojawapo ya hafla zinazosubiriwa sana. Hafla zingine za kila mwaka zinazofanyika kila mwaka ni Lamu tamasha la Waislamu ya Maulidi, Tamasha la Yoga Lamu, Tamasha la Wapakaji Rangi Lamu, tamasha la Sanaa la Lamu, Shindano la Kofia la Shela na Shindano la Uvuvi ambalo huvutia wageni kwa wingi. Katika juhudi za kuvumisha utalii, serikali ya kaunti imeamua kuandaa hafla hizo katika kisiwa. Wadau wanasema kwamba tamasha hizo zina uwezo wa kuongeza misimu ya watalii na kuanzisha misimu mipya ya kupiga jeki sekta hiyo. Tamasha za kitamaduni za kila mwaka za Lamu uhusisha mnyama anayetumika zaidi Mji wa Kale-mbio za punda. Nyong'o aunga mradi wa samaki Gavana wa kaunti ya Kisumu Profesa Anyang’ Nyong’o amekaribisha uamuzi wa Baraza la Mawaziri wa kuidhinisha mradi wa samaki utakaogharimu Sh 1bilioni katika kaunti hiyo. Profesa Nyong’o alisema kwamba mazungumzo kuhusu mradi wa Mafunzo ya Uvuvi na Huduma za Ufugaji Samaki wa Kabonyo umekuwa ukiendelea kati ya serikali ya kaunti na serikali ya kitaifa kwa mwaka uliopita. “Tunashukuru Baraza la Mawaziri kwa kuidhinisha mradi huu baada ya mazungumzo kufaulu kati ya Idara ya Serikali ya Kilimo na Uvuvi na washirika wa maendeleo,” alisema. Katika taarifa kwa wanahabari, gavana huyo alisema kwamba mradi huo umejiri wakati unaofaa, wakati serikali ya kaunti inarai wawekezaji katika sekta ya uchumi wa baharini. Baraza la Mawaziri chini ya uenyekiti wa Rais William Ruto iliidhinisha mradi huo ambao utainua mapato ya wavuvi na wakulima wanaofuga samaki eneo hilo. Kituo hicho kitatoa mafunzo, utafiti, ubunifu na mbinu bora za uvuvi na ufugaji wa samaki kupitia maonyesho. Kituo cha kuongeza samaki aina ya Nile Perch kimepangiwa kuanzishwa pamoja na kituo cha ufugaji wa samaki na Taasisi ya Uvuvi ya Kenya katika ardhi ya zaidi ya ekari 100. Na Chris Mahandara (KNA)


NOVEMBA 29, 2022 6 | MATANGAZO NOVEMBA 29, 2022 Funika mdomo unapopiga chafya Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza Jitenge na walio na virusi Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi Hakikisha maeneo yote ni safi MATANGAZO | 7 H O MA K KI O H OZI UK HS NI D W A KUPUMUA MAUM VI U KOONI UK UMW A NA KICHWA DALILI UZUIAJI KOMESHA KOMESHA “ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa” MWALIKO WA ZABUNI Shirika la HUDUMA YA VIJANA KWA TAIFA linaalika zabuni zilizofumwa kutoka kwa wawaniaji wanaostahiki kwa usambazaji na uwasilishaji wa BIDHAA na HUDUMA mbalimbali kwa muda wa miaka miwili (mkataba ambao si wa kudumu) zinapohitajika kwa miaka ya kifedha ya 2022-2024. SHIRIKA LA HUDUMA YA VIJANA KWA TAIFA ZABUNI ZA MWONGOZO ZINAZOPATIKANA KATIKA MAKAO MAKUU NAMBARI YA ZABUNI MAELEZO UHITIMU DHAMANA (KSH) NYS/PROC/009/2022-2024 Kusambaza na kuwasilisha nyenzo za kufunzia AGPO N/A NYS/PROC/020/2022-2024 Kusambaza na kuwasilisha sare na vitu mbalimbali vya malazi Watengenezaji wa humu nchini au maejenti waliokubaliwa 1 M NYS/PROC/021/2022-2024 Kusambaza na kuwasilisha mavazi ya kuvaa miguuni Watengenezaji wa humu nchini au maejenti walioidhinishwa 1 M NYS/PROC/022/2022-2024 Kusambaza na kuwasilisha mablanketi OPEN 1 M NYS/PROC/023/2022-2024 Kusambaza na kuwasilisha sare na vifaa OPEN 1 M Zabuni lazima ziambatanishwe na dhamana ya zabuni ya kiasi kilichoonyeshwa kutoka kwa benki kama dhamana ya benki au kampuni ya bima iliyoidhinishwa na kusalia halali kwa siku 120. Wazabuni wa AGPO lazima wajaze fomu ya kutangaza kupata zabuni. Seti kamili ya nakala za zabuni inaweza kupakuliwa kutoka kwenye tovuti ya HUDUMA YA VIJANA YA TAIFA: www.nys.go.ke au tovuti ya wasambazaji wa IFMIS www.tenders.go.ke bila malipo au Kshs.1,000 zitatozwa ili kupata nakala ya zabuni kutoka Makao Makuu ya NYS zinazolipwa kwa NYS kwa pesa taslimu au hundi. Bei zinazonukuliwa zinapaswa kujumlisha ushuru wote, lazima ziwe katika Shilingi za Kenya na zisalie halali kwa muda wa siku (120) kuanzia tarehe ya kufungwa kwa zabuni. Nakala za zabuni zilizojazwa kikamilifu zinapaswa kuwekwa kwenye bahasha safi iliyofumwa na kuandikwa nambari ya zabuni na kuwekwa kwenye sanduku la zabuni katika Makao Makuu ya NYS orofa ya 1 ili kupokelewa mnamo au kabla ya tarehe 14 Desemba, 2022 saa nne kamili asubuhi kwa: DIRECTOR GENERAL/CEO NATIONAL YOUTH SERVICE P.O. BOX 30397-00100 NAIROBI Zabuni zitafunguliwa muda mchache baadaye saa nne kamili asubuhi mbele ya wazabuni au wawakilishi wao ambao wataamua kuhudhuria katika ukumbi wa mikutano wa NYS ulioko katika orofa ya 2. ZABUNI ZA MWONGOZO ZA NYANJANI NAMBARI YA ZABUNI MAELEZO UHITIMU DHAMANA (KSH) NYS/PROC/009/2022-2024 Kusambaza nyenzo za kufunzia AGPO N/A NYS/PROC/010/2022-2024 Kusambaza mafuta, gesi, na vilainishi WAZI 200,000 NYS/PROC/011/2022-2024 Kusambaza dawa za binadamu (Katika chuo cha mafunzo ya kijeshi cha NYS Gilgil pekee) WAZI 200,000 NYS/PROC/012/2022-2024 Bidhaa za uokaji (Kwa chuo cha mafunzo ya kijeshi cha NYS Gilgil pekee) WAZI 200,000 VITUO VYA KUWASILISHA KWA ZABUNI ZA NYANJANI Wazabuni wanaovutiwa wa mikoa watapatia seti kamili ya nakala za zabuni kutoka kwenye tovuti ya HUDUMA YA VIJANA KWA TAIFA: www.nys.go.ke au tovuti ya wauzaji wa IFMIS www.tenders.go.ke bila malipo au Kshs.1,000 zitatozwa ili kupata nakala ya zabuni kutoka Makao Makuu ya NYS na Vitengo vinavyohusika zitakazolipwa katika accounts office za NYS kwa pesa taslimu au hundi. Nakala za zabuni zilizojazwa kikamilifu zinapaswa kuwekwa kwenye katika bahasha safi iliyofumwa na kuandikwa nambari ya zabuni kisha kuwekwa kwenye sanduku la zabuni katika Makao Makuu ya NYS na Vitengo husika vya uwasilishaji vya NYS ili kupokelewa mnamo au kabla ya tarehe 14 Desemba 2022 saa nne asubuhi kwa: DIRECTOR GENERAL/CEO NATIONAL YOUTH SERVICE P.O. BOX 30397-00100 NAIROBI Zabuni zitafunguliwa mara moja baada ya hapo saa nne kamili asubuhi. katika vitengo husika vya uwasilishaji mbele ya wazabuni au wawakilishi wao watakaoamua kuhudhuria. FAHAMU: Hatua zilizowekwa na Serikali ya Kenya kuhusiana na uzuiaji wa COVID-19 zitatumika.kwa kiasi kikubwa. MKUU WA USIMAMIZI WA HUDUMA ZA UNUNUZI KWA MKURUGENZI MKUU/MKURUGENZI MKUU MTENDAJI HUDUMA YA VIJANA KWA TAIFA Jina la Eneo Mahali pa Kuwasilisha ENEO LA MASHARIKI Yatta field Unit, Mavoloni Field Unit na Athi River Sanduku la Zabuni la NYS Yatta Field Unit – Kithimani ENEO LA KASKAZINI MASHARIKI (a) Tana Basin, Bura Hola (b) Garissa Mbalambala NYS Tana Basin Field Unit – Sanduku la Zabuni la Bura Tana Sanduku la Zabuni la NYS Garissa Mbalambala Field Unit ENEO LA NYANZA (a) Lambwe (b) Kisumu Sanduku la Zabuni la NYS Lambwe Development Unit – Lambwe Sanduku la Zabuni la NYS Kisumu Field Unit – Kisumu ENEO LA PWANI (a) Mombasa (b) Mwatate (c) Hindi na Witu Sanduku la Zabuni la NYS Technical College Sanduku la NYS Mwatate Field Unit Sanduku la NYS Witu Field Unit ENEO LA BONDE LA UFA (a) NYS College – Gilgil (b) Naivasha (c) Tumaini (d) Kirimun Sanduku la NYS College – Gilgil Sanduku la NYSTTI Naivasha Sanduku la NYS Tumaini Field Unit Sanduku la NYS Kirimun Field Unit ENEO LA MAGHARIBI (a) Turbo (b) Kerio Valley Sanduku la Zabuni la NYS Turbo Field Unit Sanduku la Zabuni la NYS Kerio Valley Field Unit NO NAMBA YA ZABUNI MAELEZO UHITIMU TAAREHE YA MWISHO YA ZABUNI 1 KGN-FUEL-016-2022 Zabuni ya kusambaza 2000M³ za mafuta ya dizeli katika kituo cha Kipevu I na III Kutakuwa na kongamano la kabla ya zabuni pamoja na ziara ya lazima kwenye eneo tarehe 6 Desemba, 2022 katika Kipevu power station kuanzia saa nne kamili asubuhi Open National 13th December, 2022 at 10.00 a.m. 2 KGN-CW-09-2022 Zabuni ya kusambaza na kuwasilisha Vifaa vya Upimaji wa umeme wa kiwango kikubwa (High Voltage) katika Karakana ya Central Engineering Workshop Women Enterprises 14th December, 2022 at 10.00 a.m. 3 KGN-HYD (tana)-05- 2022 Zabuni kwa ujenzi wa nyumba na ofisi za wafanyikazi katika Vituo vya Upper Tana. Kutakuwa na ziara ya lazima kwenye eneo tarehe 6 Desemba, 2022 katika Upper Tana station kuanzia saa nne kamili asubuhi. Youth Enterprises 10th January 2023 at 10.00 a.m. 4 KGN-KIP-024-2022 Zabuni kwa ukarabati wa mtambo wa mseto katika Kipevu I power station Kutakuwa na ziara ya lazima kwenye eneo tarehe 8 Desemba, 2022 katika Kipevu power station kuanzia saa nne kamili asubuhi. Women Enterprises 10th January 2023 at 2.00 p.m. 5 KGN-ADM-09-2022 Zabuni ya kurekebisha na kutunza vifaa vya kutoa maji katika KenGen (mkataba wa usio wa kudumu kwa miaka 2) Kutakuwa na ziara ya lazima kwenye eneo tarehe 7 Desemba, 2022 katika KenGen Stima Plaza kuanzia saa nne kamili asubuhi. PWD Enterprises 11th January 2023 at 10.00 a.m. 6 KGN-HYD-041-2022 Zabuni kwa ujenzi wa karakana katika Gitaru power station Kutakuwa na ziara ya lazima kwenye eneo tarehe 6 Desemba, 2022 katika Gitaru power station kuanzia saa nne kamili asubuhi. PWD Enterprises 11th January 2023 at 2.00 p.m. 7 KGN-HYD-042-2022 Zabuni kwa kuweka uzio wa bwawa katika Masinga power station Kutakuwa na ziara ya Llazima kwenye eneo tarehe 7 Desemba, 2022 katika Masinga power station kuanzia saa nne kamili asubuhi. Youth Enterprises 12th January 2023 at 10.00 a.m. 8 KGN-HYD-043-2022 Zabuni kwa ukarabati wa nyumba za wafanyikazi katika kambi ya wafanyakazi wa KenGen ya Matendeni (Awamu B) Kutakuwa na ziara ya lazima kwenye eneo tarehe 8 Desemba, 2022 katika kambi ya wafanyakazi ya Matendeni kuanzia saa nne asubuhi. PWD Enterprises 12th January 2023 at 2.00 p.m. Kampuni zinazovutiwa zinaweza kupata maelezo zaidi kutoka kwa ofisi ya Meneja Mkuu wa Usambazaji, Simu: (254) (020) 3666230, Baruapepe: [email protected] katika siku za kawaida za kazi kuanzia tarehe ya tangazo hili. Wazabuni ambao hawawezi kupakua nakala za zabuni kutoka kwenye tovuti wanaweza kuzichukua kutoka kwa Ofisi yoyote ya KenGen Supply Chain baada ya kulipa ada isiyorejeshwa ya KSh.1, 000.00 iliyolipwa kupitia Mpesa, Paybill 400200 na akaunti 01120069076000, kisha utume ujumbe huo wa MPesa kwa ofisi ya KenGen Finance ili kupokelewa na kupewa risiti rasmi. Nakala hiyo pia inaweza kutazamwa na kupakuliwa kutoka kwenye tovuti www.kengen.co.ke na kwenye E-procurement https://eprocurement.kengen.co.ke:50001/irj/portal Wazabuni wanashauriwa kutembelea tovuti hiyo na e-procurement mara kwa mara kwa maelezo / ufafanuzi/nyongeza yoyote ya ziada. Nakala zilizopakuliwa ni HAZILIPISHWI. UWASILISHAJI WA ZABUNI: 1. Nakala za zabuni lazima ziwasilishwe mtandaoni kupitia wavutii ya KenGen ya E-Procurement inayopatikana kwenye tovuti ya KenGen (www.kengen.co.ke) 2. Wazabuni wanaovutiwa na zabuni hii LAZIMA wahakikishe kuwa wamesajiliwa katika tovuti ya E-procurement. Tafadhali hakikisha unazingatia yafuatayo; • Kwa wasambazaji wanaojisajili kwa mara ya kwanza hakikisha kisanduku cha “Public Procurement” kimetiwa alama ili maelezo ya kuingia yatumwe kwa wasambazaji kiotomatiki. • Nakala zote lazima zipakiwe kwenye Mfumo wa SRM kupitia https://eprocurement.kengen. co.ke:50001/irj/portal inapatikana katika www.kengen.co.ke • Bei zitakazowekwa chini ya kipengee cha RFx zifanane na bei katika utaratibu wa bei. Wazabuni wanaohitaji usaidizi wa aina yoyote kuhusu jinsi ya kutoa zabuni kupitia mfumo huu wanashauriwa kupakua mwongozo kutoka kwenye tovuti hiyo au wawasiliane na [email protected] Dhamana halisi ya zabuni pale inapotumika kwenye fomu na kiasi kilichobainishwa na lazima iwasilishwe kwenye bahasha safi iliyofumwa na kuandikwa nambari na maelezo ya zabuni kabla ya tarehe ya kufungwa, kwa anwani ifuatayo: General Manager, Supply Chain, Kenya Electricity Generating Company PLC, 9th Floor, KenGen Pension Plaza II, Kolobot Road, Parklands, P.O. Box 47936, 00100 NAIROBI. Fahamu: Dhamana halisi ya zabuni inapaswa kutumbukizwa kwenye kisanduku cha zabuni kilicho kwenye Ghorofa ya Chini ya KenGen, RBS building kabla ya tarehe ya mwisho ya kuwasilisha. Zabuni zitafunguliwa mtandaoni punde tu baada ya muda wa kufunga mbele ya wawakilishi wa wagombeaji watakaoamua kuhudhuria katika KenGen Pension Plaza II, chumba cha ufunguzi wa Zabuni, ghorofa ya 6. TANBIHI KenGen inazingatia viwango vya juu vya uadilifu katika shughuli zake za biashara. Piga Ripoti kuhusu tabia yoyote isiyo ya adilifu mara moja kwa simu iliyotajwa hapa ambayo haionyeshi ni nani anayepiga simu. 1) Piga Simu Bila Malipo: 0800722626 2) Faksi Bila Malipo: 00800 007788 3) Baruapepe: [email protected], 4) Tovuti: www.tip-offs.com, MENEJA MKUU, UNUNUZI INVITATION TO TENDER MWALIKO WA ZABUNI


NOVEMBA 29, 2022 8 | MATANGAZO NOVEMBA 29, 2022 Funika mdomo unapopiga chafya Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza Jitenge na walio na virusi Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi Hakikisha maeneo yote ni safi MATANGAZO | 9 H O MA K KI O H OZI UK HS NI D W A KUPUMUA MAUM VI U KOONI UK UMW A NA KICHWA DALILI UZUIAJI KOMESHA KOMESHA “ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa” NOTISI YA ZABUNI The Kenya Civil Aviation Authority Kenya Civil Aviation Authority inaalika maombi yaliyofungwa kutoka kwa mashirika yaliyohitimu kutoa huduma zifuatazo NO NAMBARI YA TENDA JINA LA TENDA TAREHE YA KUTEMBELEA ENEO WANAOHITIMU TAREHE YA MWISHO 1. KCAA/029/2022-2023 Kuweka kituo cha ukaguzi of Check Point Leseni na Mwafaka wa Huduma N/A Raia Jumanne, 13/12/2022 saa 5 asubuhi 2. KCAA/031/2022-2023 Kununua na kuleta Mkusanyiko wa Vifaa vya Jikoni katika N/A Raia 3. KCAA/034/2022-2023 Kununua na kuleta vifaa vya kufanyia kazi vya ICT N/A 4. KCAA/033/2022-2023 Proposed Construction Of Masonry Perimeter Wall At Central Transmitting Station In Mlolongo 6/12/2022 at 11:00AM at Central Transmitting Station in Mlolongo Women Wednesday, 14/12/2022 at 11am 5. KCAA/036/2022-2023 Supply, Delivery and Installation of ICT Security Infrastructure N/A Citizen Kwa maelezo zaidi kuhusu tenda mbalimbali, wanunuzi wanaweza kukagua na kuchukua stakabadhi za tenda kutoka kwa mtandao wa KCAA: www.kcaa.or.ke au lango la Public Procurement Information, www.tenders.go.ke na papo hapo kuwasilisha maelezo yao kwa ajili ya rekodi na kwa lengo la kupokea maelezo zaidi kwa [email protected] Stakabadhi zilizojazwa kwa ukamilifu zinapasa kuwekwa ndani ya bahasha na kuandikwa nambari ya tenda na kuwekwa ndani ya Sanduku ka Tenda Ground Floor, Kenya Civil Aviation Authority, Aviation House, Jomo Kenyatta International Airport, au kutumwa kwa anwani ifuatayo: The Director General, Kenya Civil Aviation Authority, P.O Box 30163-00100, Nairobi Ili kufika mnamo au kabla ya tarehe na saa iliyowekwa dhidi ya kila tenda kufikia saa tano asubuhi. Tenda zitafunguliwa baada ya hapo mble ya waliotuma maombi au wawakilishi wao ambao wataamua kuhudhuria katika KCAA Auditorium. Meneja Ununuzi Kwa niaba ya: Mkurugenzi Mkuu NAMBARI YA TENDA MAELEZO YA TENDA TAREHE YA KUZURU ENEO- (KWA HIARI) TAREHE YA KUFUNGUA/ KUFUNGWA KAA/OT/MBD/0070/2022- 2023 Marudio ya tenda ya kupangisha ardhi kwa ujenzi na usimamizi wa eneo la kuegesha magari katika uwanja wa ndege wa Wilson Wanaotaka tenda watahitajika kuwasiliana kupitia baruapepe, [email protected] ili kutengewa muda wa kuzuru maeneo husika. 14/12/2022 saa 5.00 asubuhi. KAA/OT/MBD/0071/2022- 2023 Marudio ya tenda ya ustawishaji na usimamizi wa duka la fasheni na mavazi yenye nembo katika Jomo Kenyatta International Airport Wanaotaka tenda watahitajika kuwasiliana kupitia baruapepe, [email protected] ili kutengewa muda wa kuzuru maeneo husika. 14/12/2022 saa 5.00 asubuhi. KAA/OT/MIA/0062/2022-2023 Tender for the Development and Management of a Passenger Lounge at Moi International Airport Bidders will be required to seek through the email address,[email protected] for prior appointment before visiting the sites. 15/12/2022 at 11.00 a.m. NOTISI YA TANGAZO LA ZABUNI Kenya Airports Authority inaalika maombi ya tenda kutoka mashirika yaliyohitimu kwa tenda zifuatazo: - Maelezo kuhusu tenda hizi na stakabadhi zinazoeleza kwa kina mahitaji, utaratibu wa tenda na mwongozo zinapasa kuchukuliwa kutoka kwa tovuti yetu https://www.kaa.go.ke/corporate/procurement/ au https://suppliers.kaa.go.ke/ irj/portal au Public or Procurement Information Portal katika www.tenders.go.ke bila malipo. Washiriki wanashauriwa kuwa utaratibu wa kutuma maombi ya tenda ni kwa njia ya mtandao katika tovuti https://suppliers.kaa.go.ke/irj/portal. Kwa maelezo au ufafanuzi wowote, tafadhali wasiliana nasi kupitia baruapepe yetu, [email protected] Kujipendekeza kwa tenda yoyote na mnunuzi au mwakilishi wake kutafanya maombi yako yatupiliwe mbali MKURUGENZI MKUU/CEO NA ROP JANET (KNA) Vita dhidi ya ukeketaji wa wanawake (FGM) nchini Kenya vinahitaji juhudi mpya na ushirikiano kutoka kwa wadau wote. Balozi wa Uholanzi wa Jinsia na Usawa, Pascalle Grotenhuis, anasisitiza haja ya wadau wote kushirikiana pamoja katika kuangamiza ukeketaji wa wanawake, huku shule zikifungwa kwa likizo ndefu, msimu ambao desturi hiyo mbovu utekelezwa kwa wingi. Akizungumza akiwa kijiji cha Enkorika, Kajiado ya Kati wakati wa mdahalo wa kijamii,, Grotenhuis alisema kwamba FGM ni desturi ya kitamaduni iliyopitwa na wakati na haina manufaa kwa mtoto wa kike, lakini inachofanya ni kuharibu maisha yao ya siku zijazo. Alihimiza desturi hiyo ikomeshwe, na kushauri jamii kukumbatia mbinu Mbadala za Mpito hadi utu uzima, ambazo zitaruhusu wasichana kuendelea na elimu yao na kutimiza ndoto zao. “ Wanapotahiriwa, wasichana huwa wanaozwa, na hivyo basi wanaacha masomo. Ni lazima wasichana wapatiwe nafasi ya kukamilisha masomo yao, kuwasomesha kunawapa chaguo la wanachotaka kuwa katika maisha yao,” alisema Grotenhuis. Mwakilishi wa Wadi ya Dalalekutuk, John Loisa, aliunga kauli za balozi huyo akisema kuwa kaunti ya Kajiado ilikuwa miongoni ya za kwanza kuwa na sera ya kupiga vita Ukeketaji wa Wanawake. Loisa alionya wanaotekeleza ukeketaji wa wanawake na ndoa za mapema kwamba watakabiliwa na sheria kwa kuwa desturi hiyo ni marufuku Kenya. Ukeketaji wa Wanawake ni kosa la uhalifu Kenya chini ya Sheria ya Kuharamisha Ukeketaji wa Wanawake ya 2011, Sheria ya Watoto na Sheria ya Uhalifu.. Mtu yeyote anayetekeleza au anayelipa yeyote kutekeleza desturi hiyo au anayetoa eneo la kuitekeleza ana hatia ya kuhusika na ukeketaji. Kukosa kuripoti kitendo hicho na kupatikana na vifaa vinavyotumiwa katika ukeketaji pia ni uhalifu. Yeyote akipatikana na hatia ya makosa haya anaweza kufungwa jela kwa kipindi cha kati ya miaka mitatu na Saba na kutozwa faini ya Sh500,000. Hata hivyo, desturi hiyo bado inatekelezwa miongoni mwa jamii za wafugaji na huwa inafanywa kwa siri kukwepa sheria. Kulingana na Utafiti wa Maeneo na Hali ya Afya Kenya (2014-2015), asilimia 21 ya wanawake na wasichana walio na umri wa kati ya miaka 15-49, wamepashwa tohara huku asilimia 10 ya wasichana Kenya wakikabiliwa na tisho la kukeketwa. Kiwango cha kitaifa cha ukeketaji ni asilimia 21 huku jamii kama Somali, Samburu, Kisii na Maasai zikiongozwa kwa desturi hiyo. Katika kaunti ya Kajiado, kiwango cha ukeketaji ni asilimia 78. Balozi ahimiza vita dhidi ya ukeketaji baada shule kufungwa Pascalle Grotenhuis, Balozi wa Haki za Wanawake na Usawa wa Kijinsia kutoka Netherlands wakiwa katika Enkorika, Kajiado Central. PICHA: ROP JANET. Daniel Kurau, Meneja wa AMREF Health Africa Programs, akihutubia waandishi mjini Kajiado.  Pndi baada ya kupashwa tohara, wasichana hao huozwa na hivyo kusitisha masomo yaoGrotenhuis


NOVEMBA 29, 2022 8 | MATANGAZO NOVEMBA 29, 2022 Funika mdomo unapopiga chafya Nawa mikono na sabuni/ Sanitaiza Jitenge na walio na virusi Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi Hakikisha maeneo yote ni safi MATANGAZO | 9 H O MA K KI O H OZI UK HS NI D W A KUPUMUA MAUM VI U KOONI UK UMW A NA KICHWA DALILI UZUIAJI KOMESHA KOMESHA “ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha kutembea, virusi vitakufa” NA BERNARD MUNYAO (KNA) Kundi la wakulima kutoka kaunti ndogo ya Kigumo, kaunti ya Murang’a wanapanga kusajili kampuni ya kuuza zao lao la avokado moja kwa moja hadi masoko ya kimataifa. Wakulima hao, wengi ambao ni wakulima wadogo wa chai, wanataka serikali iwasaidie kupata stakabadhi zinazohitajika kuuza avokado nje ya nchi bila kutumia maajenti na watengenezaji wa humu nchini. Wakulima ambao ni wanachama wa kikundi cha wakulima wa Avokado cha Aberdare walidai kwamba wamepunjwa kwa muda mrefu na maajenti wanaonunua matunda yao kwa bei duni Wakiongozwa na Mwenyekiti wao Onesmus Kibunda, wakulima hao walibuni mipango ya kuwa na kampuni itakayosaidia katika ukusanyaji, upakiaji na uuzaji wa avokado zao katika nchi za nje. Walisema kwamba kuingia katika kilimo cha avokado ni njia ya kuwa na njia ya kujiongezea mapato kando na kilimo cha chai. Wakulima hao wa mashamba madogo ya chai wako na miti ya avokado katika mashamba yao ya chai na sasa wanalenga kuingia kikamilifu katika soko la uuzaji nje ya nchi. Murang’a ni mojawapo ya kaunti zinazozalisha avokado kwa wingi, huku kaunti hiyo ikipata zaidi ya Sh. 9 bilioni kila mwaka kupitia uuzaji wa avokado. Katika mkutano wao, wakulima hao walisema kwamba wanataka mashirika husika ya serikali kuwazima maajenti wanaowasukuma kuvuna matunda yao kabla ya kukomaa. Walisema kwamba kuuza avokado za ubora wa chini kutafanya wateja wa kimataifa kukoma kununua matunda hayo kutoka Kenya. Kibunda alisema kwamba wamepoteza mamilioni ya pesa kupitia kutumiwa na maajenti hao na kama wakulima wako tayari kuanzisha kampuni yao ya kuuza mazao yao. “Wakulima wengi wa chai wamekumbatia upanzi wa miti ya avokado wakilenga mapato zaidi. Wanataka kusimamia biashara hiyo ili kukomesha enzi za kupunjwa na maajenti wanaonunua matunda yao kwa bei ya chini,” akasema. Kibuna, ambaye ni mwenyekiti wa kiwanda cha chai cha Ikumbi, alisema kwamba wametafuta huduma za mtaalamu wa uchumi wa kilimo wakikusudia kuzalisha matunda bora zaidi kwa soko. Mmoja wa wakulima,, Naomi Njeri Waihenya alisema kwamba wanawake wanapaswa kutumia nafasi hii na kupanda miti mingi ya avokado ili wanufaike na soko linaloendelea kupanuka. “Avokado itatusaidia kupata pesa zaidi kutoka zile tunazolipwa kwa chai. Ninahimiza wenzangu kupanda avokado kwa wingi kwa kuwa hali ya anga inafaa kwa mumea huo,”aliongeza. Nahimiza wakulima wenzangu kupanda avocado zaidi kwa kuwa mazingira ya hapa ni sawa kwa zao hilo-Njeri NA GRACE NAISHOO, KNA Serikali ya kaunti ya Kiambu ni miongoni mwa kaunti saba ambazo zimeshirikiana na shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Italia katika juhudi za kufufua kilimo cha Kahawa kwa kulenga masoko ya kigeni. Mradi huo unaoitwa Hatua za Kuanzisha upya Kilimo na kuweka Chapa Kahawa ya Kenya itambuliwe Kimataifa ndani na nje ya Afrika (ARABIKA) unahusu kufufua kilimo cha Kahawa, kwa kusaidia wakulima kuimarisha ubora wa mavuno kupitia mafunzo na uongezaji thamani kuwahakikishia mapato mazuri. Mpango huo wa ARABIKA, ambao ni mradi wa miaka mitatu unatekelezwa katika kaunti saba ambazo ni Kiambu, Murang’a, Nyeri, Kirinyaga, Machakos, Embu, Tharaka Nithi na Meru kwa kuwa zinatoa asilimia 70 ya kahawa inayozalishwa nchini. Kulingana na mkuu wa mpango huo, Giovanni Grand, ulitekelezwa kwa mara ya kwanza na serikali iliyoondoka madarakani mwaka wa 2021na utaendelea hadi mwaka wa 2024. Alishukuru serikali mpya ya kaunti ya Kiambu kwa kuendeleza mpango wa kufufua kahawa ambao kwa wakati huu uko katika awamu ya pili. “ Mradi huu unalenga vijana na wanawake pamoja na kuongeza mapato ya wazalishaji wa kahawa na kupiga jeki uchumi wa kaunti,” alisema Grand. Aliongeza kuwa mradi huo inagharimu Sh1.5 bilioni na tayari wakulima wapatao 30,000 wamenufaika na awamu ya kwanza ya mradi. “Tuko na jumula ya vyama 21 vya ushirika vya kahawa kutoka kaunti hizo saba ambavyo vimenufaika na mradi huu na mameneja 84 ambao wamepata mafunzo na ulezi wa mpango huu,” aliongeza. KWA UFUPI DESIGN AND EDITING OF MYGOV WEEKLY BY THE KENYA YEARBOOK EDITORIAL BOARD NHIF Building , 4th Floor, P.O. Box 34035-00100 Email: [email protected] Tel: 0202715390 / 0757029456 www.kenyayearbook.co.ke Vikundi vyapanda miche 10,000 ya miti Laikipia Miche zaidi ya 10,000 ya miti imepandwa katika msitu wa Mukogodo Kaunti ya Laikipia katika juhudi za kuhifadhi msitu huo ambao ni tegemeo ya maelfu ya watu kutoka jamii za wafugaji na wanyama pori katika kaunti tatu za Samburu, Laikipia na Isiolo. Zoezi hilo la kupanda miti lililoandaliwa na Chama cha Wahifadhi cha Laikipia (LCA) kwa ushirikiano na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO), Huduma ya Misitu Kenya (KFS), Huduma ya Kutunza Wanyama Pori Kenya (KWS) na serikali ya kaunti ya Laikipia lilivutia mamia ya wanaharakati wa uhifadhi wa mazingira ambao walitangulia kwa matembezi ya kilomita 10 yaliyoitwa ' tembea msitu’ ndani ya msitu huo ili kuinua uhamasishaji kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira. Mwenyekiti wa chama cha kijamii cha msitu wa Mukogodo (CFA) Bw Wilfred Mejooli alisema kwamba matembezi hayo yalinuiwa kuleta pamoja wadau kuwahamasisha kuhusu umuhimu wa ardhi ya misitu na inavyomaanisha kwa jamii zinazoishi karibu nayo. Msitu huo wa zaidi ya ekari 30,000 uko kwenye mpaka wa kaunti za Samburu na Isiolo na Laikipia na tegemeo la jamii za wafugaji katika kaunti hizo tatu, lakini hivi majuzi umetishiwa na ulishaji wa mifugo kupita kiasi unaotokana kiangazi cha muda mrefu katika eneo hilo. “Tunaounganisha wadau kushiriki katika ulinzi na uhifadhi wa msitu huu, ili kuwa na mazingira yanayosaidia maisha ya kila kitu,” alisema Mejooli. Mwenyekiti wa LCA Kip ole Polos alisema kwamba msitu huo ni mnara muhimu wa maji katika eneo hilo na hivyo basi kuna haja ya wadau na washirika kushirikiana katika juhudi za kuurejesha. “Msitu wa Mukogodo unategemewa na wanyama pori, mifugo na jamii zinazoishi karibu nao, na hivyo kuna umuhimu wa kulinda na Kuhifadhi mnara huu muhimu wa maji,” alisema Ole Polos. Naibu Kamishna wa Laikipia Kaskazini Albert Mwaringa aliyehudhuria hafla hiyo alionya kwa kuwa wanaovamia msitu huo kinyume cha sheria hawatavumiliwa na serikali. “ Tunatoa onyo kwa wachungaji wote walio ndani ya msitu kinyume cha sheria waondoke na maafisa wa usalama watatumwa kuwatimua,” alisema. Na Martin Munyi (KNA) Wakulima wa avokado watafuta njia za kuuza zao moja kwa moja nchi za nje Austria na Hungary zapatia hospitali vifaa vya matibabu Hospitali ya Rufaa ya kaunti ya Chuka imepokea vifaa vya matibabu vya thamani ya Sh7.2m kutoka serikali za Hungary na Austria kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Tharaka Nithi. Serikali hizo mbili za kigeni pia zimeshirikiana na kampuni ya Prime Health Pharm Ltd kuwa ya pekee ya kusambaza mashini na kutoa huduma za kuzitengeneza saa 24. Serikali hizo tatu pia zilijadili ushirikiano katika huduma za afya, kilimo na tekinolojia za kukusanya maji. Katika hotuba yake, Balozi wa Hungary nchini Kenya Zsolt Meszaros alisema kwamba serikali ya Hungary inafurahia kutoa vifaa kwa hospitali hiyo vya kupima damu kwenye maabara jambo ambalo litatoa matokeo ya haraka kwa mgonjwa. Hata hivyo, balozi huyo alisema kwamba ushirikiano mkubwa na Kenya ni ufadhili wa masomo wa wanafunzi 200. Ufadhili huo ni wa taaluma tofauti na ndio uwekezaji wao mkubwa nchini. Akizungumza akiwa Hospitali ya Rufaa ya Chuka, balozi Meszaros alihimiza wafanyakazi wa kuomba ufadhili huo ili warudi kupiga jeki sekta ya afya nchini. “Tunafurahia kuleta vifaa vya matibabu lakini uwekezaji mkubwa kati ya Kenya na Hungary ni mpango wa ufadhili wa masomo kwa sababu mtakaporudi, mnaweza kuwezesha watu zaidi na kuufanya uwekezaji wa mabilioni,” alisema. Kwa upande wake, mshauri wa biashara katika ubalozi wa Austria Bi Edith Predorf alisema kwamba ushirikiano mkubwa wa serikali ya Austria na Kenya ni katika sekta ya Afya. Gavana wa kaunti hiyo Bw Muthomi Njuki aliyepokea michango hiyo kutoka kwa balozi alishukuru serikali za Hungary na Austria akisema vifaa hivyo vitatumiwa vyema kunufaisha wakazi. Gavana alisema kwamba vifaa hivyo vitawezesha maabara ya hospitali hiyo kufanya vipimo 250 kwa saa badala ya 120 kwa saa vinavyofanywa kwa wakati huu. Hii itapunguza milolongo ya wagonjwa wakisubiri matokeo katika maabara na katika wodi, alisema. Na Sharon Gitau (KNA) Wakulima katika kaunti Saba kunufaika na mpango kufufua kilimo cha kahawa Gavana wa Kiambu Kimani Wamatangi, tatu kushoto akishauriana na ujumbe kutoka shirika la Italia chini ya uon- gozi wa Giovanni Grandi, afisini mwake PICHA: GRACE NAISHOO NOVEMBA 29, 2022 NAIROBI-KENYA I TOLEO No. 22/2022-2023


Get in touch

Social

© Copyright 2013 - 2024 MYDOKUMENT.COM - All rights reserved.